Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Ila viongozi wakristu nchi hii huwa washamba sana,yaani ubabe,udikteta koko nk,kuongoza kwenyewe hawawezi,wakikalia kiti sijui hujiona miungu watu!
Kabisa. Mzee wetu Mohamed, Soca, Yule bwana mdogo wa kule Mbeya alichana picha amepotea mpaka leo... Hawa wameuawa na kiongozi mkristo. Akasema wanaleta drama. Kifo ni kifo tu.
 
Kabendera ni mwandishi wa habari, akawa anaandika taarifa za kiuchunguzi na kutafuta majarida ya nje aziuze, sio asaidie. Mtofautishe na yule mwandishi aliyefariki awamu ya Mwinyi aliyeandika kuhusu Loliondo kuuzwa, huyo alitaka kusaidia nchi.

Waandishi kama Kabendera kuna wanaotuma taarifa nje, kuna wanaopewa agenda kutoka nje waziandike kwa wasomaji wa ndani na wa nje. Mfano andika agenda ya ubaya wa bwawa la umeme linalojengwa, andika ubaya wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba linachafua mazingira (hii kandarasi walikuwa nayo Wakenya).

Snowden hakuwa spy, alikuwa contractor wa NSA na CIA kutokana na utaalamu wake. Akavujisha siri, akaiba data za serikali akashtakiwa, ila huwezi msikia analialia kumlalamikia Obama sababu alijua anachofanya. Kabendera yeye alijua kupokea miamala tu, kuhusu akigundulika hakutaja kujisumbua.
Habari za uchunguzi alizokuwa anaandika Kabendera sio siri za usalama wa taifa(state secrets), ni mambo ambayo yalikuwa yako katika public domain kabisa au kumuuliza tu mtu wa kawaida anayefanya kazi ndani ya serikali akakuambia, jambo la ziada labda kwa sababu yeye ni mwandishi habari mzuri kwa Kingereza ambazo zinaweza kusomwa duniani kote level ya Jenerali Ulimwengu ambao ni nadra sana kwa Tanzania ndio maana ilionekana jambo la ajabu na kubwa sana.

Haifai kumfananisha Kabendera na kina Snowden au Chelsea Manning hata Kidogo na wala hajawahi kuhusishwa na mambo ya aina hiyo.

Marekani waandishi wameandika kupinga Ukuta wa Trump, kupinga Immigration plan ya Biden, kupinga Marekani kusaidia Ukraine, wakati wa vita vya Vietnam waandishi walipinga, uvamizi wa Iraq na Afghanistan wapo waandishi waliopinga, kusaidia Israel wapo waandishi wanaopinga
 
Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.

View attachment 3189981View attachment 3189980
Habari za kuambiwa hizi. Hakushuhudia moja kwa moja ni upuuzi
 
Umeamini kirahisi rahisi kama demu anaekwenda kutiw.a
Screenshot_20250101-231006_YouTube.jpg
 
Uongo.yaani magufuli ampige risasi yeye mwenyewe?haiwezekani na ni uongo kabisa.Bora angesema alikuawa na wasiojulikana angalau tungeamini na siyo kwamba magufuli mwenyewe eti alimpiga risasi Kwa mikono yake yenyewe.Kabendera acha uongo.Chuki zako za magufuli usimtungie uongo mzalendo wetu magufuli
Jamaa liongo kweli lipimbavu
 
Back
Top Bottom