Kabendera ni mwandishi wa habari, akawa anaandika taarifa za kiuchunguzi na kutafuta majarida ya nje aziuze, sio asaidie. Mtofautishe na yule mwandishi aliyefariki awamu ya Mwinyi aliyeandika kuhusu Loliondo kuuzwa, huyo alitaka kusaidia nchi.
Waandishi kama Kabendera kuna wanaotuma taarifa nje, kuna wanaopewa agenda kutoka nje waziandike kwa wasomaji wa ndani na wa nje. Mfano andika agenda ya ubaya wa bwawa la umeme linalojengwa, andika ubaya wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba linachafua mazingira (hii kandarasi walikuwa nayo Wakenya).
Snowden hakuwa spy, alikuwa contractor wa NSA na CIA kutokana na utaalamu wake. Akavujisha siri, akaiba data za serikali akashtakiwa, ila huwezi msikia analialia kumlalamikia Obama sababu alijua anachofanya. Kabendera yeye alijua kupokea miamala tu, kuhusu akigundulika hakutaja kujisumbua.