Mwandishi kwa makusudi kabisa ameamua kutumia picha ambayo ilikua ni siku Magufuli anawasilisha silaha zake kufanyiwa ukaguzi kwa maelekezo ya RC wa Dar.
Ambaye alitaka kila mkazi wa Dar apelekw silaha zake kufanyiwa ukaguzi. Ndipo ikapatikana hiyo picha. Watakaoona hicho kitabu na hawajui juu ya hilo wakisoma hicho kipande cha "he always carried a gun" kuna mtazamo wataupata.
What is your point?
Hakubeba bunduki kila mara?
Hiyo picha inawezekana ni sehemu ya kutengeneza plausibility kwamba Magufuli alimuua Saanane kwa mkono wake mwenyewe.
Ukiweka madai kwamba Alhaji Ali Hassan Mwinyi alimuua mtu kwa mkono wake mwenyewe, kwa bastola, wakati hakuna ushahidi wowote kwamba Alhaji Ali Hassan Mwinyi alikuwa na bastola, hatujui hata kama alijua kutumia bastola, madai hayo yanapata ugumu kukubalika.
Ukiweka madai kwamba Magufuli alimuua mtu kwa mkono wake mwenyewe, ingawa madai hayo bado yana ugumu kuyahakiki, lakini ugumu wake si mkubwa kama yale madai ya Alhaji Ali Hassan Mwinyi, kwa sababu angalau Magufuli tunajua alikuwa na bastola, kuna ushahidi wa picha anaionesha, most likely anajua kuitumia.
Hiyo picha ni ya Magufuli, inajulikana, huwezi kusema kapakaziwa picha si yake.
What is your point?
Na magufuli ndio alikuwa sura halisi ya ShetaniHakuna aya yoyote kwenye vitabu vya Mungu iliyoagiza tumsamehe Shetani
Kabendera sio kibaraka kama ambavyo mtakatatifu meko alitaka kutuaminisha watanzania kuwa ni Kibaraka wa bariccHuyu kibaraka wa magharibi ana shida sana. Yeye anatunga tu hadithi. Sijui ni kwa manufaa ya nani
Nakubaliana nawe kabisa Rais ni mwanadamu wa kawaida kabisa kama sisi na ametoka miongoni mwetu, na hata miongoni mwetu wengine ni bora kwa kila kitu kuzidi Rais.Mkuu Cheo Cha Urais kinakaliwa na Binadamu ..
Najua unashangaa sana kuona Jina Rais kuuwa ...
Lakini tambua yule alikuwa Binadamu tena mwenye hisia Kali na wakati mwingine alishindwa kutawala hisia zake ...
Nakupa mfano mmoja ...Mkuu wa Mkoa DSM alishauwa mtu ..akashusha na bia mbili baada ya tukio.. Tena akajisifia kibaka akiingia kwangu kuchukua kuku wangu hii ndio dawa ..
Anashindwa kujua mtu hana silaha na ni kibaka..lenga hata mguu
Wote tunachekelea huu upumbavu wa mwandishi...Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Kwa magufuli iliwezekana kabisaAngelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.
hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.
Tena mh rais wetu anatakiwa asiache kusema chochote hata kukemea tu maana alikua msaidizi wa kwanza wa mheshimiwa dkt Magufuli.Watoke na majibu ya hilo na mengine,nirahisi sana kujiosha.
Magufuli alidhani angeishi mileleNanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Sio mheshimiwa, ni mtukufu aliyetukuka sana, mkuu wa malaikaMwandishi kaandika kwa hasira sana, hadi book cover kaweka picha ya mheshimiwa
Hili ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi?Hata kipindi kile anafanyiwa upekuzi, alikutwa na miamala mingi tu katika akaunti yake ya benki ambayo haina maelezo kama ameuza nini au kafanya kazi gani.
Akina Samia wenyewe hawapendi hata kusikia jina la mtakatifu meko alafu leo uwaambie wakemee akina kabendera are you serious? Samia na Kabendera ni wahanga wa umafia wa MagufuliTena mh rais wetu anatakiwa asiache kusema chochote hata kukemea tu maana alikua msaidizi wa kwanza wa mheshimiwa dkt Magufuli.
Kamwe haimpasi kuacha kuchafuliwa magufuli, hata kama alikua na mabaya kiasi gani kuna namna anapaswa kusitiriwa.
Jana nimekunywa supu ya kwasakwasa!! aka NYUMBUNanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Hoja ninkwamba hiyo ni picha ya kweli ya Magufuli na picha yoyote halali ya Magufuli ni halali kuitumia kwenye cover la kitabu cha Magufuli.
Malalamiko yangekuwa na point kama picha ingekuwa si ya kweli ni ya kutengenezwa.
Sasa ukiikataa picha hii kutumika kwenye cover la kitabu unakataa nini?
Picha si ya Magufuli?
Magufuli hakuwa na bastola?
Sina huo mudaTunaomba Link...
...Ni Hayo Tu!
Poa Vet. Doc..
PowaaaPoa Vet. Doc..
..Ni Hayo Tu!