eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Mwandishi kwa makusudi kabisa ameamua kutumia picha ambayo ilikua ni siku Magufuli anawasilisha silaha zake kufanyiwa ukaguzi kwa maelekezo ya RC wa Dar.
Ambaye alitaka kila mkazi wa Dar apelekw silaha zake kufanyiwa ukaguzi. Ndipo ikapatikana hiyo picha. Watakaoona hicho kitabu na hawajui juu ya hilo wakisoma hicho kipande cha "he always carried a gun" kuna mtazamo wataupata.
Huyu kibaraka wa magharibi ana shida sana. Yeye anatunga tu hadithi za uongo. Sijui ni kwa manufaa ya nani