Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Kumbe alhaji mwinyi aliua
 
Wewe unataka ushahidi gani?

Pia unaweza kuandika chochote unachoona kinafaa, kama kuna mtu ana tatizo na kilichoandikwa ataenda kufungua kesi mahakamani.

Kwa hiyo yale ambayo yameandikwa na Kabendera kwamba amempiga risasi saa 8 Ikulu, hayahitaji ushahidi. Hivyo tumuamini?
 
Wewe unataka ushahidi gani?

Pia unaweza kuandika chochote unachoona kinafaa, kama kuna mtu ana tatizo na kilichoandikwa ataenda kufungua kesi mahakamani.
Nahisi kupitia kitabu hiki Beni ataachiwa huko aliko.
 

Yoda
Chukua maarifa haya kutoka kwa huyu mjuvi. Ana majibu ya maswali mengi uliyouliza.
 

Bro pitia upya ulichoandika. Wanaita contradiction
 
Nasema nina uhakika kwa sababu hana ushahidi mwingine wa kuaminisha watu kuhusu allegation aliyoitoa kwa Magu...

Mtu mwenye akili isiyo fikiri kimantiki ni rahisi kuamini ni kweli Magufuli alimuua Ben kwa kuangalia picha ya cover tu...

Hili hapa lazima mamlaka ziingilie kati. Maana hapa ni kuichafua serikali bila kujali rais aliyeko madarakani
 
Hizi taarifa alizipata na kudhibitisha lini kwanza?

Kama alizipata kabla muhusika hajafa kwanini aje atoe kitabu chake leo hii muhusika akiwa hayupo?

Na kama amekuja kuzipata baada ya muhusika kuwa marehemu, hicho kitabu chake kina masaada Gani Kwa Sasa? Tukamfukue marehemu kisha tumfungulie kesi ya mauaji au??
 
Wamuite?

Vipi kama wakamuita naye akatoa uthibitisho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…