Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kuna quotation ya kitabu imewekwa humu.Mkuu,
Umesoma kitabu?
Kitabu sijakisoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna quotation ya kitabu imewekwa humu.Mkuu,
Umesoma kitabu?
Soma kitabu basi ujue kama katolea maelezo ya kina unayoyataka ama la.Kuna quotation ya kitabu imewekwa humu.
Kitabu sijakisoma.
Kumbe alhaji mwinyi aliuaKabendera ni mwandishi wa habari, akawa anaandika taarifa za kiuchunguzi na kutafuta majarida ya nje aziuze, sio asaidie. Mtofautishe na yule mwandishi aliyefariki awamu ya Mwinyi aliyeandika kuhusu Loliondo kuuzwa, huyo alitaka kusaidia nchi.
Waandishi kama Kabendera kuna wanaotuma taarifa nje, kuna wanaopewa agenda kutoka nje waziandike kwa wasomaji wa ndani na wa nje. Mfano andika agenda ya ubaya wa bwawa la umeme linalojengwa, andika ubaya wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba linachafua mazingira (hii kandarasi walikuwa nayo Wakenya).
Snowden hakuwa spy, alikuwa contractor wa NSA na CIA kutokana na utaalamu wake. Akavujisha siri, akaiba data za serikali akashtakiwa, ila huwezi msikia analialia kumlalamikia Obama sababu alijua anachofanya. Kabendera yeye alijua kupokea miamala tu, kuhusu akigundulika hakutaja kujisumbua.
Wewe unataka ushahidi gani?
Pia unaweza kuandika chochote unachoona kinafaa, kama kuna mtu ana tatizo na kilichoandikwa ataenda kufungua kesi mahakamani.
Umekisoma hicho kitabu??Kwa hiyo yale ambayo yameandikwa na Kabendera kwamba amempiga risasi saa 8 Ikulu, hayahitaji ushahidi. Hivyo tumuamini?
Nahisi kupitia kitabu hiki Beni ataachiwa huko aliko.Wewe unataka ushahidi gani?
Pia unaweza kuandika chochote unachoona kinafaa, kama kuna mtu ana tatizo na kilichoandikwa ataenda kufungua kesi mahakamani.
Kabendera angekuwa nchi kama Russia angeuwawa kwa sumu, China angenyongwa, Marekani angeuwawa na kudaiwa amefanya suicide, Israel uko ndio angefungwa kama Mordechai Vanunu.
Kabendera alikuwa anauza taarifa za nchi nje kwa siri, lengo sio kusaidia nchi bali kupata faida binafsi za kiuchumi. Uko ndio akapata hela akajenga mjengo wake mkubwa alionao sasahivi.
Taarifa zake sometimes zilikuwa sahihi, ila hazikuwa na faida kwetu akiziuza nje.
Huyu hata angeambiwa andika kusema Tanzania inadhamini na kuwapa silaha waasi wa DRC ili inunue madini kwao angeandika. Yeye mradi alipwe, ndio maana alikamatwa na hela hazijulikani zimetoka wapi na kwa malipo ya nini. Waandishi kama hawa wapo wengi Nigeria na bara la Afrika, wananunuliwa kwa vipande vya fedha.
Kuhusu kukataliwa kutoka kizuizini akamzike mama yake hiyo sio ajabu mbele ya sheria. Wenzake kina Snowden wakichezea national interests hawaleti chuki kwa waliowakamata, hakunaga mole, double agent au spy anayekamatwa alafu akamchukia aliyemkamata. Huyo anakuwa kavamia fani.
Umekisoma hicho kitabu??
Magufuli alifanya hili tukio kwa mkono wake na humu jf ililetwa mpaka thread na ilikuwa ni kipindi ambacho kulikuwa na madai kwamba aliuliwa kwenye Moja ya safe houses za usalama halafu akapelekwa kwenye kisiwa Fulani kule bahari ya Hindi akamezwa na chatu ndio wavuvi wakaja wakaona shati na handkerchief baada ya madai haya ndio jamaa mmoja akaja akasema hapana aliuwawa na JPM kwa mkono wake mwenyewe.
Nasema nina uhakika kwa sababu hana ushahidi mwingine wa kuaminisha watu kuhusu allegation aliyoitoa kwa Magu...
Mtu mwenye akili isiyo fikiri kimantiki ni rahisi kuamini ni kweli Magufuli alimuua Ben kwa kuangalia picha ya cover tu...
Kuna mshabiki wa karma humu sitaki kumtag, ila kwa idol wake hawezi na hajawahi kuhusisha kufa kwake na karmaAliye mtuma watu wamuue nae kafariki kikatili sana hii ndio karma
Ali Kibao walikuwa wanagombea mwanamke nini?Tumshukuru Mungu kwa kuwa awamu hii watu hawatekwi na kuuawa sababu za kisiasa,
Mheshimiwa mhishiwa aliyefunikiwa chiniPicha ya Mh kumbe mtu yoyote ana weza itumia popote
Ukiwa kama chawa pro max mwandamizi kutoka pale Lumumba ni vigumu sana kuamini habari kama hizi. Hakuna atakayekushangaaMi siamini...
...Ni Hayo Tu!
Si aliua vikuku tu havina thamani tumekupataJamaa akapata fursa ya kutokea kwa kuandika kitabu. Mbona wanaopotezwa na serikali za dunia hii ni wengi kabisa,magufuli hajaua hata watu buku. Wengine akina Stalin mao ze.dong waliua mamilioni
Sawa Kunguni XL...Ukiwa kama chawa pro max mwandamizi kutoka pale Lumumba ni vigumu sana kuamini habari kama hizi. Hakuna atakayekushangaa
Kipindi cha Magu hakuna mwenye utimamu wa akili aliyepinga utawala ule wa kiimla ,ama taasisi zilizokuwa zikitetea justice ama uhuru wa Habari na ulinzi wa taarifa ilibaki salama.
JF yenyewe ilipitia misukosuko sio poaa wakimlazimisha Max atoe taarifa za watu,baada ya kukaza wakamfungulia makes kibao,Max Kisutu ilikuwa kama ghetto tu, haikutosha wakajaribu kufungia akaunti zote za taasisi, JF ikalazimika kupunguza wafanyakazi almost nusu, ili kubana matumizi,Max ikabibi Apunguzi mawakili aanze kujitetea mwenyewe kuukabili ukata, that dude was a lucifer typically.,halafu unakuja unasemasema tu kumtetea
Wamuite?Both opposition and government sources I have spoken to…
Hii ni serious allegation. Hivi Kabendera yupo Tanzania au alishahamia nje ya Nchi? Urais ni taasisi na wanaweza kumuita athibitishe hiki alichoandika
Ngoja tununue hicho kitabu tukisome neno kwa neno