Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Uo mdomo ndio ulio kuponza? Wakikuambia lete ushahidi?Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.View attachment 3190072View attachment 3190073
Mikasi kimya kimyaKimya kimya si unaniona mtu mzima, ngoja nipite kimya kimya
Angelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.View attachment 3190072View attachment 3190073
Umekielewa ulichokicharaza?Jamaa akapata fursa ya kutokea kwa kuandika kitabu. Mbona wanaopotezwa na serikali za dunia hii ni wengi kabisa,magufuli hajaua hata watu buku. Wengine akina Stalin mao ze.dong waliua mamilioni
Akina nani?..labda familia iende mahakamaniUo mdomo ndio ulio kuponza? Wakikuambia lete ushahidi?
Nancy alikua ameshamwambia Nina, kaka yake Evans aligombana na Tina, nime-chill ndani ya gari na mziki wa kimya kimyanakala zinapatikana wapi
Muulize mzee pinda,ulimboka alizidi sana,na hata hivyo hakuuawaUlimboka alitekwa na kutolewa meno lini?
kwa hiyo waliamua kunyamaza ili na wao yasiwakute mabaya? Basi kama hayupo waliyemuogopa waseme tu uovu wake bila wogaWadau wanaelewa haya kitambo tu , ila waliamua kunyamaza
Mwangosi?Muulize mzee pinda,ulimboka alizidi sana,na hata hivyo hakuuawa
Kwamba risasi zitakugomea?Mkuu Ikulu uulie mtu kweli, embu jenga picha!
Mwangosi bomu la machozi la ffu lilimpata tumboni,mi lilinipiga mgongoni 2002 maandamano ya waislam,lengo la bom la machozi siyo kuuaMwangosi?
Ikulu kuna underground babu,na vifaru vipoMkuu Ikulu uulie mtu kweli, embu jenga picha!
Jamaa ame andika kijumla jumla sanaAngelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.
hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.
Muongo njia yake ni fupi, kuna Muongo anaetumia njia ndefu? Kimya kimya si umeniona mtu mzimaAngelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.
hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.
Amazon.co.ukHiki kitabu nitakipataje? Nakosa uvumilivu wa kukisubiri kinifikie.
Nina wasiwasi kisije kuzuiliwa kuuzika.
Ila Ben Saanane aliniuma sana, pumzika kwa amani rafiki mwema.