gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kwamba kibanda kipofu!?.. jakaya hakugharamia matibabu na kumsihi 'msiwachokoze'?!Ulimboka alitekwa na kutolewa meno lini?
Mwangosi aliuwawa lini?
Kibanda alitekwa na kutolewa jicho lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kibanda kipofu!?.. jakaya hakugharamia matibabu na kumsihi 'msiwachokoze'?!Ulimboka alitekwa na kutolewa meno lini?
Mwangosi aliuwawa lini?
Kibanda alitekwa na kutolewa jicho lini?
Ikulu ni ofsi ya umma, ni kama umeenda Kwa mkuu wa mkoaMkuu Ikulu uulie mtu kweli, embu jenga picha!
watakuwa wanabeba dhambi/laana zake kwa uovu aliotendaHii italeta shida kwa walinda legacy
Mbona mzee wa alizeti alizabwa makofi na jiweAngelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.
hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.
ndio alikuwa shujaa ila matendo yake hayo yalififisha ushujaa wakeKuna watu wanamuita "shujaa"!
Kuna watu waliandika humu mwamba alienda juu,akapiga k vant,akarudi kawaka,akaikoki,akamtazama usoni kikorofi,ukisikia paa!..Ikulu ni ofsi ya umma, ni kama umeenda Kwa mkuu wa mkoa
Jiwe aliitumia vibaya, sikushuhudia tukio ila Kwa hulka ya Jiwe naamini alimimina hizo chuma
Hivi ili mtu awe shujaa kunahitajika kitu gani hasa?ndio alikuwa shujaa ila matendo yake hayo yalififisha ushujaa wake
Hakuwa na ushujaa wowote zaidi ya propaganda, makelelendio alikuwa shujaa ila matendo yake hayo yalififisha ushujaa wake
😅🤣😀Mbona mzee wa alizeti alizabwa makofi na jiwe
Jiwe alikuwa mhuni hakuwa Shujaa Bora hata KizimkaziHivi ili mtu awe shujaa kunahitajika kitu gani hasa?
Mzee wa trat na trap😅🤣😀
Umejua kunichekesha
Kwamba Mzee wa Tozo alikuwa kama jibwa Koko Kwa Jiwe
sultan ni wa ajabu sana! Eti hajui kilichompata mtu wake wa karibukuna collabo na sultan ama?
Inasikitisha...Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.View attachment 3190072View attachment 3190073