Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Kuna bwana mmoja alikuwa anauza madawa ya kulevya..amefariki juz hapa alikuwa gerezani(miaka 30)..mtu WA tanga..
Siku amekamatwa akasafirishwa mpaka state...mzee akamuona ..akamuuliza kumbe wewe ndio desh desh Yanga!!?..Kisha akasema nilikuwa nataka nikuone...Kisha akawaambia walio meta.."Nendeni mkashughulike nae"....
Maghufuli alikuwa mkali lakini sio kufikia hatua ya kuua kwa bastola yake""..I stand to be corrected.
Muulize mama janet
 
Kuna bwana mmoja alikuwa anauza madawa ya kulevya..amefariki juz hapa alikuwa gerezani(miaka 30)..mtu WA tanga..
Siku amekamatwa akasafirishwa mpaka state...mzee akamuona ..akamuuliza kumbe wewe ndio desh desh Yanga!!?..Kisha akasema nilikuwa nataka nikuone...Kisha akawaambia walio mleta.."Nendeni mkashughulike nae"....
Mzee alikuwa mkali lakini sio kufikia hatua ya kuua kwa bastola yake""..I stand to be corrected.
Walienda kushughulika naye kivipi?
 
Alaaniwe yule gaidi wa chato. Aendelee kuoza na kuungua moto wa milele, Dhambi ya kuua huwa inapita mpaka kizazi cha nne kama ilivyomuadhibu mfalme ahabu na ukoo wake.

Raisi wa hovyo kuwai kutokea toka kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.
 
Alaaniwe yule gaidi wa chato. Aendelee kuoza na kuungua moto wa milele, Dhambi ya kuua huwa inapita mpaka kizazi cha nne kama ilivyomuadhibu mfalme ahabu na ukoo wake.

Raisi wa hovyo kuwai kutokea toka kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.
Hapo sijaona laana ya kumkuta shujaa wetu
 
Ikulu ni ofsi ya umma, ni kama umeenda Kwa mkuu wa mkoa
Jiwe aliitumia vibaya, sikushuhudia tukio ila Kwa hulka ya Jiwe naamini alimimina hizo chuma
Ukilingnisha na ofisi ya Rc unakosea.

Ikulu ina utofauti kwa sababu, ni ofisi na makazi ya Rais hapo hapo.

Rc haishi ofisini anapofanyia kazi.

Sasa kufanyia mauaji nyumbani kwako na huku una mamlaka ya kuamrisha tu mtu kwenda kufyekewa mbali na ikawezekana, nd'omimi akili inagoma kuamini.

Na huyu mwandishi anajulikana kwa adha aliyoipata kwenye utawala huo, siyo wa kumuamini sana.
 
Back
Top Bottom