Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Kabendera ni mwandishi wa habari, akawa anaandika taarifa za kiuchunguzi na kutafuta majarida ya nje aziuze, sio asaidie. Mtofautishe na yule mwandishi aliyefariki awamu ya Mwinyi aliyeandika kuhusu Loliondo kuuzwa, huyo alitaka kusaidia nchi.

Waandishi kama Kabendera kuna wanaotuma taarifa nje, kuna wanaopewa agenda kutoka nje waziandike kwa wasomaji wa ndani na wa nje. Mfano andika agenda ya ubaya wa bwawa la umeme linalojengwa, andika ubaya wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba linachafua mazingira (hii kandarasi walikuwa nayo Wakenya).
Kama Kabendera alikuwa amenunuliwa na watu wa nje na serikali ilikuwa na uthibitisho huo ingemnunua tu au kumlipa zaidi aungane na kina Musiba kuisema vizuri, hii ilikuwa njia rahisi zaidi na safi ya kudili naye.
 
Kuna bwana mmoja alikuwa anauza madawa ya kulevya..amefariki juz hapa alikuwa gerezani(miaka 30)..mtu WA tanga..
Siku amekamatwa akasafirishwa mpaka state...mzee akamuona ..akamuuliza kumbe wewe ndio desh desh Yanga!!?..Kisha akasema nilikuwa nataka nikuone...Kisha akawaambia walio mleta.."Nendeni mkashughulike nae"....
Mzee alikuwa mkali lakini sio kufikia hatua ya kuua kwa bastola yake""..I stand to be corrected.
Yupi yule baniani
 
Habari za uchunguzi alizokuwa anaandika Kabendera sio siri za usalama wa taifa(state secrets), ni mambo ambayo yalikuwa yako katika public domain kabisa au kumuuliza tu mtu wa kawaida anayefanya kazi ndani ya serikali akakuambia, jambo la ziada labda kwa sababu yeye ni mwandishi habari mzuri kwa Kingereza ambazo zinaweza kusomwa duniani kote level ya Jenerali Ulimwengu ambao ni nadra sana kwa Tanzania ndio maana ilionekana jambo la ajabu na kubwa sana.

Haifai kumfananisha Kabendera na kina Snowden au Chelsea Manning hata Kidogo na wala hajawahi kuhusishwa na mambo ya aina hiyo.

Marekani waandishi wameandika kupinga Ukuta wa Trump, kupinga Immigration plan ya Biden, kupinga Marekani kusaidia Ukraine, wakati wa vita vya Vietnam waandishi walipinga, uvamizi wa Iraq na Afghanistan wapo waandishi waliopinga, kusaidia Israel wapo waandishi wanaopinga
Hawakuwa wanaandika kuuza wapate fedha, walikuwa wanaandika na lengo la kusaidia.
Ndio maana nimemtofautisha Kabendera na Mhaya mwenzake aliyeandika kupinga deal la Ngorongoro kati ya serikali ya Mwinyi na Waarabu.

Hata na sisi tunao waandishi waliopinga bwawa la umeme kwenye makala zao. Haimaanishi kila mwandishi aliyepinga alikamatwa. Marekani waliopinga msaada kwa Israel na Ukraine hawana kesi, Snowden aliyetoa siri za surveillance ana kesi.
 
Picha ya mwangosi akipigwa bomu ziliwekwa mitandaoni na magazetini uliziona? Hivyo ndio mabomu ya machozi yanavofyatuliwa kwa kupigwa close range tena tumboni kwa mtu? Unataka kusemaje? Umeamua kutetea kilicho chako kiimani kipuuzi kabisa
Jamaa anajitoa fahamu tu
MWANGOSI.jpg
 
Hawakuwa wanaandika kuuza wapate fedha, walikuwa wanaandika na lengo la kusaidia.
Ndio maana nimemtofautisha Kabendera na Mhaya mwenzake aliyeandika kupinga deal la Ngorongoro kati ya serikali ya Mwinyi na Waarabu.

Hata na sisi tunao waandishi waliopinga bwawa la umeme kwenye makala zao. Haimaanishi kila mwandishi aliyepinga alikamatwa. Marekani waliopinga msaada kwa Israel na Ukraine hawana kesi, Snowden aliyetoa siri za surveillance ana kesi.
Waandishi wa habari, makala au analysts wa vyombo vikubwa vya habari duniani wanalipwa pesa nzuri tu, pesa anayolipwa mtu anayeandikia The Economist au The Times haiwezi kuwa ndogo hasa ukizingatia anatoka Tanzania ambapo waandishi wa calibre yake ni wa kutafuta kwa tochi nchini. Sasa Kabendera aliyekuwa anaandikia magazeti mengi makubwa ya kimataifa kwa nini asiwe na pesa nzuri hadi ufikirie kanunuliwa?!
 
Angelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.

hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.
Inawezekana ni moja ya mbinu kati ya nyingi kumchafua hayati JPM na kufifisha legacy yake; kwenye malumbano kusifiana hakupo, kuchafuana ndio mtindo.
Kibaya zaidi, hayati JPM alishanyamaza; hawezi tena kujitetea kwa lolote litakalosemwa dhidi yake na wapinzani wake.
Bado utumishi uliotkuka wa hayati JPM utaendelea kukumbukwa kwa miaka mingi ijayo tangu akiwa Mbunge, Naibu Waziri, Waziri hatimae Rais.
Kipindi cha chini ya miaka kumi JPM kuwa Rais, alifanikiwa kusukuma mambo mengi makubwa ambayo kwa awamu zilizomtangulia hayakuwa kufanyika; yanajulikana, sina haja ya kuyataja.
Najua JPM alikuwa mwanadamu kama mimi na wewe, alikuwa na mapungufu yake kama ambavyo watangulizi wake walikuwepo nayo na watakaofuata pia watakuwa nayo.
Msameheni pale alipowakosea, kama mimi na wewe tunavyosamehewa na wenzetu tuliowakosea sana; tusimhukumu, nasi tusije tukahukumiwa.
Mungu ampe pumziko la amani hayati JPM; Amin.
 
Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.

View attachment 3189981View attachment 3189980

Sio kweli mbele ya mwenyezi Mungu. Ukweli ni kuwa yeye aliwekwa kifungoni wakati wa utawala wa JPM

Operations za Kibiti zilikuwa mbali na haya anayoyasema. Pia atuambie nani alikuwa nyuma ya waliokuwa wanaua wana usalama na kuteka ili waanzishe dola yao kule kibiti maana inaelekea anafahamu mengi
 
Back
Top Bottom