Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Hizi tetesi zilikuwepo.
Moja ya tetesi ni kwamba, JK alitonywa na wasamaria wema kwenye dola kuwa usiku huu utatembelewa, hivyo badili makzi yako kwa udiku huu. JK akaenda kulala kwa ndugu anayejulikana usiku huo.
Jamaa wakafika kweli, wakamkosa.
 
Hizi tetesi zilikuwepo.
Moja ya tetesi ni kwamba, JK alitonywa na wasamaria wema kwenye dola kuwa usiku huu utatembelewa, hivyo badili makzi yako kwa udiku huu. JK akaenda kulala kwa ndugu anayejulikana usiku huo.
Jamaa wakafika kweli, wakamkosa.
Tukiwa wakweli.
Ingekuwa nchi za wenzetu Kikwete sasahivi asingekuwa jela?
 
Sidhani kama hoja hapa ni kwamba JPM hakujenga SGR, hakununua ndege, REA,....
Kinachojadiliwa hapa ni kuendesha genge la wahuni.
 
Unajua alivokuwa anamtesa?? Aliwahi kumbebesha matofali na wanae lori zima .alizaa na mdogo ake wa damu kabisa,alikuwa anampiga sana kuna kipindi alivunjwa mguu akalazwa mange akasanua
Hilo linafahamika nchi nzima
 
Hizi tetesi zilikuwepo.
Moja ya tetesi ni kwamba, JK alitonywa na wasamaria wema kwenye dola kuwa usiku huu utatembelewa, hivyo badili makzi yako kwa udiku huu. JK akaenda kulala kwa ndugu anayejulikana usiku huo.
Jamaa wakafika kweli, wakamkosa.
Aiseee🙄🙄
 
Unavyopayuka utafikiri wewe utaishi milele, na wakati utakufa mwezi ujao tu hapa na kila mtu atakusahau akiwemo baba ako.
Jiwe amekufa miaka 3 iliyopita. Bado wewe mfuasi wake.
 
Jiwe amekufa miaka 3 iliyopita. Bado wewe mfuasi wake.
Mimi mpaka wewe na familia yako wote mfe ndio na mimi ntafuata hapo baadae..

Unaleta chuki za kishoga hapa, na utaendelea kuumia mpaka kiama chako.
 
Mimi mpaka wewe na familia yako wote mfe ndio na mimi ntafuata hapo baadae..

Unaleta chuki za kishoga hapa, na utaendelea kuumia mpaka kiama chako.
Jiwe kafa nawe lazima ufuate.
 
Unajua alivokuwa anamtesa?? Aliwahi kumbebesha matofali na wanae lori zima .alizaa na mdogo ake wa damu kabisa,alikuwa anampiga sana kuna kipindi alivunjwa mguu akalazwa mange akasanua
Mange? Kwamba ndio reference yako ya kuaminika?

Aisee kweli watanganyika baadhi yenu hamna tofauti na kondoo au nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…