kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Omondi ni kichwa kingine kile ....steve mpaka anakufa hatokaa amfikie jamaa kwa mafanikio kwenye comedy.... and tukubali tukatae Kenya wako vzr kwenye stand up comedy....huwa nafuatilia ile show ya Churchill wako vzr ijapokuwa kiswahili chao hakipo straight lkn still huwezi walinganisha na hizi mburula za kibongo
Huu ni ukweli wa hali y juu sana. Kuwahi tokea hapa JF.