Erick Omondi afanya REFIX ya KULIKO JANA.. acha yule mbongo aendeleze majungu

Erick Omondi afanya REFIX ya KULIKO JANA.. acha yule mbongo aendeleze majungu

Akaze buti tu, labda siku moja atafika level za Cholo y Moco. Ni investiment ya maana pia.

 
Steve kwani msanii si mjanja mjanja tu yule msanii gani miaka nenda rudi anafanya jambo lile hakuna jipya zaidi ya ujanja tu R. I. P ngosha kanumba maana vijana wenzako wanadharirika uku hatujui wanataka nini siasa, mziki au filamu maana Kote wapo alafu hawafit njaa mbaya basi tu
 
Steve kwani msanii si mjanja mjanja tu yule msanii gani miaka nenda rudi anafanya jambo lile hakuna jipya zaidi ya ujanja tu R. I. P ngosha kanumba maana vijana wenzako wanadharirika uku hatujui wanataka nini siasa, mziki au filamu maana Kote wapo alafu hawafit njaa mbaya basi tu
Well said
 
Tuseme ukweli tu. Artists wengi wa TZ hasa bongo movie na music elimu yao ndogo sana. Walitambue ombwe hilo walilizibe kwa kwenda shule!
Tazama Nigeria, south africa, Kenya na kwingineko wana vyeti...madigrii na madiploma ..
Hawa wa Tz ni longolongo tu na kujishebedua.
 
Tuseme ukweli tu. Artists wengi wa TZ hasa bongo movie na music elimu yao ndogo sana. Walitambue ombwe hilo walilizibe kwa kwenda shule!
Tazama Nigeria, south africa, Kenya na kwingineko wana vyeti...madigrii na madiploma ..
Hawa wa Tz ni longolongo tu na kujishebedua.
Your humble opinion!
 
Nimeona post ya mke mdogo wa kiba kule instagram ana mponda Omond kwa kuigiza katundikwa kwenye cross nimeshangaa sana yule mjita/mjaluo sijui dada princes Bless amekurupuka na kuanza kuponda bila hata kujua ABC za picha ya Omondi kuwa kwenye Cross.hawa wake za Kiba wana muangusha sana asee wakurupukaji.mbona Kidoti hanaga haya mambo.!!
 
Stive nyerere anatakiwa apite huku akutane Na maoni genuine Ili Kama Ni muelewa atabadilika haya ndo maoni ya watz wengi kwamba comedy hawezi.analazimisha fani
 
Kale kapimbi shule hakuna, umri mkubwa, kazi kuigiza maisha ya juu ya viongozi wa ccm, na kupenda wanawake wenye maumbo (makalio) makubwa
 
Kale kapimbi shule hakuna, umri mkubwa, kazi kuigiza maisha ya juu ya viongozi wa ccm, na kupenda wanawake wenye maumbo (makalio) makubwa
Dohh
 
Nimeona post ya mke mdogo wa kiba kule instagram ana mponda Omond kwa kuigiza katundikwa kwenye cross nimeshangaa sana yule mjita/mjaluo sijui dada princes Bless amekurupuka na kuanza kuponda bila hata kujua ABC za picha ya Omondi kuwa kwenye Cross.hawa wake za Kiba wana muangusha sana asee wakurupukaji.mbona Kidoti hanaga haya mambo.!!
Ni wajinga sana
 
Back
Top Bottom