Erick Omondi afanya REFIX ya KULIKO JANA.. acha yule mbongo aendeleze majungu

Erick Omondi afanya REFIX ya KULIKO JANA.. acha yule mbongo aendeleze majungu

Wakuu hii ni mpya tu baada ya yule jamaa kuropoka

hivi karibuni niliona uzi hapa kuhusu msaniii mmoja wa bongo movie akituponda watanzania tunaom suppport Omondi

Hivi anapata wapi nguvu hiyo ? Omondi ni mtu wa anga zingine jamani ...
Haya mambo huyo steve hawezi yafanya


Offcourse kaharibu, halafu nyimbo kama hizo anaimba sauti ya 1.75 by the way haichekeshi....

nakushauri tu omondi sijui, hebu nenda kaangalie video za zekomedi original, waangalie wenzenu walivyo wabunifu.

sasa wewe sijui ubunifu wako kwenye hiyo nyimbo na mahali ulipochukulia na nguo nyeupe zilizovaliwa na watu wengi....


kwa kumalizia...UMEHARIBU WIMBO
 
Offcourse kaharibu, halafu nyimbo kama hizo anaimba sauti ya 1.75 by the way haichekeshi....

nakushauri tu omondi sijui, hebu nenda kaangalie video za zekomedi original, waangalie wenzenu walivyo wabunifu.

sasa wewe sijui ubunifu wako kwenye hiyo nyimbo na mahali ulipochukulia na nguo nyeupe zilizovaliwa na watu wengi....


kwa kumalizia...UMEHARIBU WIMBO
Nani kasema hayo?
 
watu wanachukia ccm halafu ikija mwaka wa uchaguzi wanachagua ccm
 
Steve kifupi, hovyo kuanzia kichwani hadi mwilini.. kadumaa kotekote..!!
 
Your humble opinion!
Fikiria Steve unampeleka Churchill show Nairobi! Pale hakuna majungu ni kuonesha kipaji. Gonga YouTube uangalie msanii kama Prof. Hamo achilia mbali Eric Omondi ndo ujue tofauti na huyu ngumbalu anayeponda akili kubwa
 
Nimeona post ya mke mdogo wa kiba kule instagram ana mponda Omond kwa kuigiza katundikwa kwenye cross nimeshangaa sana yule mjita/mjaluo sijui dada princes Bless amekurupuka na kuanza kuponda bila hata kujua ABC za picha ya Omondi kuwa kwenye Cross.hawa wake za Kiba wana muangusha sana asee wakurupukaji.mbona Kidoti hanaga haya mambo.!!
Sasa hujui Kidoti anamzidi akili Kiba?
 
Fikiria Steve unampeleka Churchill show Nairobi! Pale hakuna majungu ni kuonesha kipaji. Gonga YouTube uangalie msanii kama Prof. Hamo achilia mbali Eric Omondi ndo ujue tofauti na huyu ngumbalu anayeponda akili kubwa
[emoji16]
 
Back
Top Bottom