Omondi ni kichwa kingine kile ....steve mpaka anakufa hatokaa amfikie jamaa kwa mafanikio kwenye comedy.... and tukubali tukatae Kenya wako vzr kwenye stand up comedy....huwa nafuatilia ile show ya Churchill wako vzr ijapokuwa kiswahili chao hakipo straight lkn still huwezi walinganisha na hizi mburula za kibongo
Kumbuka Erick Omondi ni msomi wa Chuo kikuu na kale kabwana gumbalu. Sasa hapo mizani inakuwaje
Ngumbalu ni nini?
usipomsifia wakati kweli ana chura utakuwa ni wivu tuPunguzeni ukali Wa Maneno jamani.Kuweni wazalendo,unamsifia Mke Wa jirani yako kwamba ana chura Wa ukweli mbele ya mkeo?
Hapana ni kichwa panzi ama kichwa gongo wa CCMStive Nyerere ni kichwa maji
Kama anapita huku sidhani kama atarudia tena hivi kaishia darasa la ngapi?Stev Nyerere ni ccm.
Roho mbaya in nature.
Usikute ni kachawi
Krismas nidai biaStev Nyerere ni ccm.
Roho mbaya in nature.
Usikute ni kachawi
Mke kama yy nianajifanya chiz umfanyaje?Punguzeni ukali Wa Maneno jamani.Kuweni wazalendo,unamsifia Mke Wa jirani yako kwamba ana chura Wa ukweli mbele ya mkeo?
Hahahahah shkamoo mkuuMtu aliekataa ubini wake na kuanza kutumia ubini wa mtu mwingine anaanzaje kuwa na akili timamu?!
Mbona Eric Omondi akaujiita Eric Kenyatta?!