that's too bad for him.
hata leo yupo tz.that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.
namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.
namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
hata leo yupo tz.
Chill mkuu,punguza stress ni utani tu,hio ndo comedy usitake kila k2 serious.that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.
namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
eric omondi kakosea, vitu kama hivyo aachie vifanywe na watu wenye profile ndogo kwenye jamii. sio vya kufanywa na mtu kama yeye.Hehehe!! Pesa madafuuuu...
kwanini sasa nimguse??Thubutu kumgusa....
unajuaje??? kama katumwa kama ilivyo kwa jaguar.eric omondi kakosea, vitu kama hivyo aachie vifanywe na watu wenye profile ndogo kwenye jamii. sio vya kufanywa na mtu kama yeye.
najua kwasababu nilishawahi kuwa mratibu kwenye moja ya show yake iliyowahi kufanyika arusha.Chill mkuu,punguza stress ni utani tu,hio ndo comedy usitake kila k2 serious.
Btw we umejuaje analipwa na tshs
Kwa hiyo jamaa analipwa cash.najua kwasababu nilishawahi kuwa mratibu kwenye moja ya show yake iliyowahi kufanyika arusha.
wewe endelea tu kumjaza ujinga...Mnaishi maisha magumu sana, full minuno hata kwa comedy....
Mmewachokoza Kwa Instagram Mjipange Kazi mnayo kenya cha mtoto hapo
View attachment 1139872
kwa social media omondi amegusa sehemu isiyo sahihi kabisa.Mmewachokoza Kwa Instagram Mjipange Kazi mnayo kenya cha mtoto hapo
View attachment 1139872