Erick Omondi Trolls Tanzanian Currency .

Erick Omondi Trolls Tanzanian Currency .

that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.

namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
 
that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.

namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
hata leo yupo tz.
 
that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.

namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.

Mnaishi maisha magumu sana, full minuno hata kwa comedy....
 
that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.

namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
Chill mkuu,punguza stress ni utani tu,hio ndo comedy usitake kila k2 serious.
Btw we umejuaje analipwa na tshs
 
eric omondi kakosea, vitu kama hivyo aachie vifanywe na watu wenye profile ndogo kwenye jamii. sio vya kufanywa na mtu kama yeye.
unajuaje??? kama katumwa kama ilivyo kwa jaguar.
 
Mmewachokoza Kwa Instagram Mjipange Kazi mnayo kenya cha mtoto hapo
IMG_20190627_124555_929.jpeg
 
Back
Top Bottom