Ukiwa mmoja Kati ya hao millioni moja...asabti kwa kuchangia views.Ahhahaha youtube wasanii wenu kufikisha views milioni moja inawachukua mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]alafu unajisifia mmetwanga,
Angalia KoT afu ulete majibueti eh!!
Sisi tunawatandika Facebook, youtube, instagram nkUkiwa mmoja Kati ya hao millioni moja...asabti kwa kuchangia views.
Wewe unaelewa #KOT Kenyans on Twitter? Hebu angalia Kenyans vs Tanzagizans on Twitter uone vile wenzako walikunja mikia na kupotea wasionekane Tena. [emoji25][emoji25]
kwani KT ina member wangapi,jumlisha na wa nje??Angalia KoT afu ulete majibu
Mshamba wewe! KoT in Kenyans on Twitter na yenu ni ToT yani Tanzagizans on Twitter...mshamba Sana bure kabisa.kwani KT ina member wangapi,jumlisha na wa nje??
Endeleeni kujitandika... washamba.Sisi tunajitandika Facebook, youtube, instagram nk
Hahaha imepenya hiyoEndeleeni kujitandika... washamba.
Mnaishi maisha magumu sana, full minuno hata kwa comedy....
sio za diamond pekeeHuyu huyu Omondi ambaye Kukariri nyimbo za Diamond kunamuweka mjini?
Huwezi fanyie comedy currency mzee, ni sawa na mtu afanye dhihaka ile bendera yenu ya Taifa.
Na mbwembwe zote hizi halafu mfungwe mtahama humu aisee[emoji2][emoji2]
Majitu yanatukimbiza. Na majitu yenyewe ni nyiekwani hizo mbio mnakimbia nini ikiwakimbiza[emoji23][emoji23][emoji23]???
ni alama ya TaifaMnaishi maisha magumu sana, full minuno hata kwa comedy....
sasa mnajisifiaje peke yenu??Majitu yanatukimbiza. Na majitu yenyewe ni nyie
ni alama ya Taifa
Ni madafu lkn hauna hata hapo ulipoHehehe mtalialia sana na hayo madafu yenu, tena Eric yuko huko huko anaendelea kuchekesha wale hawajavurugwa na maisha...
Binafsi sina uwezo wa kumchukulia hatua. Nilikuwa naweka mambo sawa huenda utaratibu wa Kenya na Tanzania ni tofauti. Pia jinsi unavyompa sapot likitokea la kutokea usisite kumsaidia badala ya kubaki nyuma ya baobonye ukijifichaHehehe mtalialia sana na hayo madafu yenu, tena Eric yuko huko huko anaendelea kuchekesha wale hawajavurugwa na maisha...
Wazungu wanatusifu Sana kwenye mbio, huna habari?sasa mnajisifiaje peke yenu??