Esma Platnum amefanya exclusive interview na Zamaradi amefunguka mengi kuhusu ndoa yake iliyopita

Maisha yote ni full usanii, TV zinazouzwa dukani ni za wizi kutoka Afrika Kusini.

Ninamshauri Esma baada ya hii interview asiongelee tena hili swala.

Wanawake tatizo mnapenda sana hela,sometimes hamuangalii wala kuchunguza mtu ana kazi gani.

Huyu inabidi apumzike/ajipe likizo ya mapenzi yule wa kwanza alikuwa chawa,kuwadi na mpenda vitonga,huyu mwingine muongo ,mjanja wa mjini.
 
Kunguru hafugikagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…