Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Na yule Shamte ni janja janja dalali la mjini. Ngoja lije liibe hati ya nyumba ya madale lisepe.Mama yake kamshika uncle, uncle hafurukuti pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yule Shamte ni janja janja dalali la mjini. Ngoja lije liibe hati ya nyumba ya madale lisepe.Mama yake kamshika uncle, uncle hafurukuti pale
Speed ya Msizwa ilikua kubwa sana, uncle Shamte anajua kula mdogo mdogo. Sasa yeye hata miezi sita ya ndoa haijafika anataka Diamond awe ana perform Msizwa Lounge.Na yule Shamte ni janja janja dalali la mjini. Ngoja lije liibe hati ya nyumba ya madale lisepe.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] MkuuLiwe bure lakini ...isiwe na ww ni km kina msizwa. .unatumia upenyo kutengeneza fursa...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Yani jamaa anaonyesha wazi wazi kuwa yupo kwenye mahusiano kwaajili ya mali tu ila sio kwa mapenzi, kamfanya mama dangote kawa chizi, mapenzi yao yanawaendesha mputa mputa kama watotoNa yule Shamte ni janja janja dalali la mjini. Ngoja lije liibe hati ya nyumba ya madale lisepe.
Hivi uncle anafanya shughuli gani mjini hapa za kumuingizia kipato za kumpa kiburiSpeed ya Msizwa ilikua kubwa sana, uncle Shamte anajua kuka mdogo mdogo. Sasa yeye hata miezi sita ya ndoa haijafika anataka Diamond awe ana perform Msizwa Lounge.
Nimetoa angalizo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mkuu
Anafanya matangazo kwenye account yake ya insta😄😄😄😄Hivi uncle anafanya shughuli gani mjini hapa za kumuingizia kipato za kumpa kiburi
Shamte namjua tokea yuko kwao 8 8 moroHivi uncle anafanya shughuli gani mjini hapa za kumuingizia kipato za kumpa kiburi
Vifuko vya wa Paki,Huyu dem kafunguka vitu vingi na inaelekea ameshamjua jamaa vizuri hadi mitkas zake
Kwwnye interview hapo ukimsikia anakuambia jamaa kama alikuwa anataka muingiza kwenye mitkas ambazo siyo ambazo zinaweza muaribia maisha!
Kingine ukimsikia hapo kwenye mahojiano anakuambia jamaa hana hela ila ana fake maisha kwanza ana madeni mengi anadaiwa mabegi aliyochkua kwa wpk???
Wajanja hapo tushaunga dots tushapata code!
Ova
Mambo ya kulelewa na ndevu zote zile tena zenye mvi [emoji28][emoji28][emoji28]Anafanya matangazo kwenye account yake ya insta[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bora hata uchebe tunajua ni fundi magari...lkn uncle hasomeki kabisa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mkuu naona unamjua vilivyoShamte namjua tokea yuko kwao 8 8 moro
Ni mario kitambo sana ila sahv kweli kampata wa kumlea,in short jamaa ni ganda la ndizi
Ova