Uncle msanii na msima ramani, ukute uncle ndo alimsomea ramani msizwa wapige hiyo 200m ya mind[emoji3][emoji3]Speed ya Msizwa ilikua kubwa sana, uncle Shamte anajua kula mdogo mdogo. Sasa yeye hata miezi sita ya ndoa haijafika anataka Diamond awe ana perform Msizwa Lounge.