Espionage: Majasusi wa Mossad walivyoiba mkojo wa Rais Hafez Al-Assad wa Syria kwa kutumia choo cha bandia

Espionage: Majasusi wa Mossad walivyoiba mkojo wa Rais Hafez Al-Assad wa Syria kwa kutumia choo cha bandia

nchi ya Jordan baada ya kurudisha maeneo kwa Israel walibaki wakimbizi WA Jordan ndani ya Israel Jordan ikawakataa wasirudi kwao Jordan ndio wakaamua waitwe wapalestina ndio ukawa mwanzo WA wapalestina. Na safari nyingine jina la palestina lilitumika Ni wakati rumi inatawala mashariki ya Kati ndio Hilo eneo wakalipa jina la palestina kabla ya hapo hakukuwa na jina la palestina ILA jina la Israel lilikuwapo tangu miaka 2000 BC.Jordan ikaamua kujenga uhusiiano na Israel maana Israel alikuwa jirani mwenye nguvu, Israel aliokoa Mara kadhaa ufalme WA Jordan kupinduliwa na wapinzani ndani ya Jordan ndipo urafiki WA Israel na Jordan ukazidi kuimarika . Eli Cohen alikuwa jasusi mahiri wa Israel aliyepenya mpaka sehemu nyeti za syria na kuchota siri za jeshi la syria hatua hizo zilichangia kiasi kikubwa ushindi wa vita ya 1967. Eli cohen alibadilisha jina na kuitwa jina la kiarabu( kisyria) na alizungumza kiarabu vizuri. warusi walikuja kumgundua akituma signal kwa siri israel , akanyongwa hadharani mjini damascus akawa shujaa wa israel(fallen warrior). Harakati bado zinaendelea kutafuta wapi alikozikwa ili mifupa yake irudishwe Israel kuzikwa .
Sio kweli,Palestina kama jina IPO hapo kabla hata ya Jordan,Iraq,modern Israel,au hata saud Arabia,
Kwa mawazo yako unafikiri kipindi waingereza wanatawala hapo,eneo lilijulikana kwa jina lipi,kama sio Palestina?
 
British Mandate for Palestine (legal instrument)

This article is about the Mandate instrument passed by the League of Nations granting Britain a mandate over the territories of the Ottoman Empire, that today are the State of Israel, the West Bank, the Gaza Strip and Jordan. For a history of the period, see Mandatory Palestine and Emirate of Transjordan.
The British Mandate for Palestine (valid 29 September 1923 - 15 May 1948), also known as the Mandate for Palestine or the Palestine Mandate, was a "Class A" League of Nations mandate for the territories of Palestine, in which the Balfour Declaration's "national home for the Jewish people" was to be established, and Transjordan, a separate Arab Emirate, both of which were conceded by the Ottoman Empire following World War I.
League of Nations - Mandate for Palestine and Transjordan Memorandum
British Command Paper 1785, December 1922, containing the Mandate for Palestine and the Transjordan memorandum
 
Sio kweli,Palestina kama jina IPO hapo kabla hata ya Jordan,Iraq,modern Israel,au hata saud Arabia,
Kwa mawazo yako unafikiri kipindi waingereza wanatawala hapo,eneo lilijulikana kwa jina lipi,kama sio Palestina?
ndiyo maana nimesema walipokuja warumi kutawala na kufuta ufalme wa israel ndiyo wakita eneo hilo palestina
Sio kweli,Palestina kama jina IPO hapo kabla hata ya Jordan,Iraq,modern Israel,au hata saud Arabia,
Kwa mawazo yako unafikiri kipindi waingereza wanatawala hapo,eneo lilijulikana kwa jina lipi,kama sio Palestina?
Jina Jordan lilikuwepo na Arabia .Israel ilikuwepo kabla ya palestina

The Origins of the Name “Palestine”
 
ndiyo maana nimesema walipokuja warumi kutawala na kufuta ufalme wa israel ndiyo wakita eneo hilo palestina
Jina Jordan lilikuwepo na Arabia .Israel ilikuwepo kabla ya palestina

The Origins of the Name “Palestine”
We mkuu,urudi usome history upya,
Ufalme wa Israel ya zamani uliangushwa na waasyria na haukupata kurudi tena.
Warumi hawajawahi kuuangusha utawala wa Israel...
Ukitaka ujue mtililiko mzuri,inabidi uanze kusearch Amorite ni nani,kwa ufupi Amuru kingdom,ilikuwa maeneo hayo ya caanan,kabla hats Abraham hajatoka mesopotamia ya Ur.
Hii kingdom ilikuwa inapay tribute kwa empire kubwa ya Egypt,see..?
Elewa caanan haijawahi k
ndiyo maana nimesema walipokuja warumi kutawala na kufuta ufalme wa israel ndiyo wakita eneo hilo palestina
Jina Jordan lilikuwepo na Arabia .Israel ilikuwepo kabla ya palestina

The Origins of the Name “Palestine”
Ujuwe uwepo wa tawala Fulani miaka 1000 iliyopita,haijustify uwepo wake sasa,mfano kulikuwana mwanamutapa empire,Leo haiwezi rudi na kudai eneo,
Hats hapa Tanzania hatujui miaka 1000 iliyopita hii nchi iliitwaje.
Lakini tena nijuavyo wapeles ndo waliuangusha ufalme wa Amuru kabla hats Abraham hajahamia caanan,
amuru kingdom ilikuwa hapo caanan,lakini ikipay tribute kwa Egypt empire.
Hawa sea peoples ambao baadae walikujafahamika kama wafilist ndo waliuangusha Amuru na kujiestablish maeneo ya caanan,has a kando kando ya bahari ya mediterania.
Wakati Abraham anahamia caanan,aliwakuta wafilist wako well establish,infact ndio waliompokea Abraham hapo caanan
 
The Torah does not record the Philistines as one of the nations to be displaced fromCanaan. In Genesis 15:18-21 the Philistines are absent from the ten nations Abraham's descendants will displace as well as being absent from the list of nations Moses tells the people they will conquer (Deut 7:1, 20:17). God also directed the Israelites away from the Philistines upon their Exodus from Egyptaccording to Exodus 13:17. In Genesis 21:22-27, Abraham agrees to a covenant of kindness with Abimelech, the Philistine king, and his descendants. Abraham's son Isaacdeals with the Philistine king similarly, by concluding a treaty with them in chapter 26 (Genesis 26:28-29
 
mleta mada ni nani anatumika kuichafua nchi? umeanza mada vizuri mwisho unataka kuleta vurugu hapa, lengo lako nini hasa? wanaoichafua nchi ni Magufuli na genge lake.
Hata mimi namshangaa kusema vijana waache kutumika ilhali cc tunajua nchi yetu inaamani sana hakuna hata siku1 tukaskia kijana kalipua bomu ama hata kujiapiza kwa mabaya juu ya nchi yake...
 
H
Sasa cha ajabu ni nini hapo? kuiba mkoj. o au kuupima mkojo?
Mbona maabara nyingi tu zinapima mkojo? huo mkojo haukuchanganyika na maji huko chooni ilhali kulikua na bakuli moja tuu?
uwez kuona cha ajabu kwa sabab si wote wanaojua kusoma wanaweza kuelewa na kutafsiri walichosoma.KUKUSAIDIA baada ya kupima mkojo waliweza kuharakisha malengo yao ya aman mashariki ya kati coz walijua huyo bwana hana muda mrefu wa kuishi so waliweza kumtumia kwa mafanikio. na ukizingatia israel walikuws wanamkubali.Maswala ya diplomasia. Soma tena utapata contents zingine.
 
Hata mimi namshangaa kusema vijana waache kutumika ilhali cc tunajua nchi yetu inaamani sana hakuna hata siku1 tukaskia kijana kalipua bomu ama hata kujiapiza kwa mabaya juu ya nchi yake...
REKEBISHA,nchi yetu haina amani ina UTULIVU. mbona mnakosa jicho la tatu hata kwa mambo mepesi kuona na kuelewa.vijana wa siku hizi ni kulishwa maneno na kuimba km kasuku. Utafikiri mtoto wa chekechea anaejifunza a,e,i,o,u
 
H

uwez kuona cha ajabu kwa sabab si wote wanaojua kusoma wanaweza kuelewa na kutafsiri walichosoma.KUKUSAIDIA baada ya kupima mkojo waliweza kuharakisha malengo yao ya aman mashariki ya kati coz walijua huyo bwana hana muda mrefu wa kuishi so waliweza kumtumia kwa mafanikio. na ukizingatia israel walikuws wanamkubali.Maswala ya diplomasia. Soma tena utapata contents zingine.
Wewe ndio hujamuelewa mleta mada ila unajifanya una akili kuliko wote kumbe huna lolote,mleta mada amesifu zaidi uibaji mkojo na kuupima na sio kama ulivyojiaminisha wewe mr genius! tuliza akili soma tena mada.
 
Wewe ndio hujamuelewa mleta mada ila unajifanya una akili kuliko wote kumbe huna lolote,mleta mada amesifu zaidi uibaji mkojo na kuupima na sio kama ulivyojiaminisha wewe mr genius! tuliza akili soma tena mada.
Kuna wakat kubishana na mtuasiyeelewa ni kupoteza mda.sifa A au kutia chumvi kwa mleta mada hakunihusu. Mm nmesoma na nikaelewa kwa mujibu wa mada hao mossad malengo yao yalikua ni nini na hili ndio lengo la mleta mada
Malengo ya mossad yalikua ni ya kiintellijensia na kidiplomasia. WW UMESOMA MADA UNAPAMBANA NA PERSONALITY YA MLETA MADAmm cku zote nasoma kutafuta THEMES AU CONTENTS ZA HABARI na ndicho nlichofanya. Km ni kufikir nmekuzidi san na umekiri mm ni Mr Genius.mkuu hili ni jamvi la great thinkers jpo ktk msafara wa mamba na kenge pia wamo. UMEJIDHALILISHA KWA KUONYESHA UPEO MDOGO. kuwa mpole ufiche aibu.
 
We mkuu,urudi usome history upya,
Ufalme wa Israel ya zamani uliangushwa na waasyria na haukupata kurudi tena.
Warumi hawajawahi kuuangusha utawala wa Israel...
Ukitaka ujue mtililiko mzuri,inabidi uanze kusearch Amorite ni nani,kwa ufupi Amuru kingdom,ilikuwa maeneo hayo ya caanan,kabla hats Abraham hajatoka mesopotamia ya Ur.
Hii kingdom ilikuwa inapay tribute kwa empire kubwa ya Egypt,see..?
Elewa caanan haijawahi k

Ujuwe uwepo wa tawala Fulani miaka 1000 iliyopita,haijustify uwepo wake sasa,mfano kulikuwana mwanamutapa empire,Leo haiwezi rudi na kudai eneo,
Hats hapa Tanzania hatujui miaka 1000 iliyopita hii nchi iliitwaje.
Lakini tena nijuavyo wapeles ndo waliuangusha ufalme wa Amuru kabla hats Abraham hajahamia caanan,
amuru kingdom ilikuwa hapo caanan,lakini ikipay tribute kwa Egypt empire.
Hawa sea peoples ambao baadae walikujafahamika kama wafilist ndo waliuangusha Amuru na kujiestablish maeneo ya caanan,has a kando kando ya bahari ya mediterania.
Wakati Abraham anahamia caanan,aliwakuta wafilist wako well establish,infact ndio waliompokea Abraham hapo caanan
mkuu usichanganye philistine na Palestine hivi Ni vitu viwili tofauti. Ufalme wa rumi chini ya jenerali titus ndiyo yaliuangusha ufalme wa herod the great wa israel ndiyo ikawa mwanzo wa israel kufukuzwa ktk nchi yao na kukosa mamlaka. Ukiangalia kwa vifungu ktk historia wakanani ambao ndiyo wafilisti(philistine) makazi yao yalikuwa pwani ya maeneo ya gaza wakipakana na misri. Abraham alipokuja kutoka aram na ur alikuta kuna maeneo yapo wazi akayamiliki na maeneo mengine alinunua. Zamani kulikuwa na falme ndogondogo kama koo au vijiji zikimiliki maeneo madogomadogo. mfano jebusites(wayebusi) walikuwa maeneo ya yerusalemu,wengine ndiyo Amorites,hitites,hivites sasa mfalme daudi akapiga falme ndogondogo zote na kutawala eneo lote kuanzia kusini mpaka kaskazini ndiyo ukawa mwanzo wa falme ya israel ndiyo ramani ya leo ya israel na ile nyota kwenye bendera yao wanaita nyota ya daudi,vilevile daudi alinunua eneo kwa jamaa mmoja myebusi ingawa alikuwa na uwezo wa kupora akajenga hekalu ndiyo sehemu wanaita temple mount pale yerusalemu, wababiloni walipokuja kuangusha ufalme wa israel, wa persia chini ya mfalme koreshi waliwaruhusu kurudi kwenye nchi yao kujenga tena hekalu. sasa ndiyo wakaja warumi wakawapiiga kwa mara ya pili
 
Kuna wakat kubishana na mtuasiyeelewa ni kupoteza mda.sifa A au kutia chumvi kwa mleta mada hakunihusu. Mm nmesoma na nikaelewa kwa mujibu wa mada hao mossad malengo yao yalikua ni nini na hili ndio lengo la mleta mada
Malengo ya mossad yalikua ni ya kiintellijensia na kidiplomasia. WW UMESOMA MADA UNAPAMBANA NA PERSONALITY YA MLETA MADAmm cku zote nasoma kutafuta THEMES AU CONTENTS ZA HABARI na ndicho nlichofanya. Km ni kufikir nmekuzidi san na umekiri mm ni Mr Genius.mkuu hili ni jamvi la great thinkers jpo ktk msafara wa mamba na kenge pia wamo. UMEJIDHALILISHA KWA KUONYESHA UPEO MDOGO. kuwa mpole ufiche aibu.
Sasa wewe hata kuandika lugha yako kwa ufasaha tu hujui utaweza kujadili mada?!
Kajifunze kwanza kuandika kisha njoo tena.
 
H
Sasa wewe hata kuandika lugha yako kwa ufasaha tu hujui utaweza kujadili mada?!
Kajifunze kwanza kuandika kisha njoo tena.
hujui ujadili kipi,umeenda kwenye typing error,mimi sijadili kutafuta ushindi,ni kujifunza tu mkuu.nikichemka nikarekebishwa sioni tatizo kujifunza.ila ni dalili za dawa niliyokunywesha kuingia na kufanya kazi. Unaweaweseka.Kwahiyo mleta mada amewasifu mossadi roho ikakuuma.daah,punguza udini na chuki za kipumbavu uweze kujifunza .una elimu ya madrasa pekee nini sababu Elimu ya madrasa bila ya kuchanganyia ni fujo tu. Ndio matope km haya. Km mtu unasoma nusu kurasa na huelewi kitu ni tabu tupu. kuwa mpole.
 
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi,kama hujui kuandika kwa ufasaha lugha yako wewe mwenyewe ni kazi bure,lugha ni muhimu katika kucomment na kuchangia ,sio bora kuchangia tu,

Wewe kiazi kweli kumbe ndio maana umekomaa kusifia ujinga,kumbe akili yako iliwaza mambo ya udini! kwa akili yako ya hovyo usifikiri huyo yahudi ni dini yako,naona umechokonolewa kidogo tu umetoka mazima na kupoteza credibility na kuanza kubwabwaja hovyo humu,bila shaka hao mossad siku wakimtaka mkeo utawapa tu kwa jinsi unavyowaogopa.
Very low! So sad! Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa.kumbe sikukosea kusema ni akili za Madrasa.nimepoteza muda kweli kweli. Sorry, very sorry mkuu. Kwaheri! Elimu Elimu Elimu.
 
Very low! So sad! Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa.kumbe sikukosea kusema ni akili za Madrasa.nimepoteza muda kweli kweli. Sorry, very sorry mkuu. Kwaheri! Elimu Elimu Elimu.
Una tatizo upstairs,wahi kwa wataalamu kabla hujaharibikiwa zaidi,naona unabwabwaja tu hovyo na kumwaga pumba tu hapa,nadhani hata wewe mwenyewe huelewi unachokiandika,halafu naona umekazania sana neno madrasa! Vipi mumeo anafundisha madrasa?
 
Hivi wewe unajua maana ya ESPIONAGE au unapayuka tu?? The Mossad Agents wakitaka mkojo hata wa Magufuli au wa kwako wanaupata sasa hivi.....kwa malengo wanayotaka wao!!!Ogopa sana Taifa la WATU WA MUNGU.....!!!
Kwa sasa Tanzania wamesharudisha uhusiano na Israel lakini wakti huohuo wanaunga mkono HARAKATI ZA WAPALESTINA.....tabia za upopo...!!!!!!!.Hapa ndipo mikojo na vinyesi ya watu kama Magufuli inapotafutwa kwa kutumia vyoo bandia ili wapate wanachokita.....!!
Watch out! Ukisikia MOSSAD AGENTS kaa mbali siyo watu wa mchezo mchezo!


Hata Tanzania ni taifa la Mungu.
 
Back
Top Bottom