Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Una tatizo upstairs,wahi kwa wataalamu kabla hujaharibikiwa zaidi,naona unabwabwaja tu hovyo na kumwaga pumba tu hapa,nadhani hata wewe mwenyewe huelewi unachokiandika,halafu naona umekazania sana neno madrasa! Vipi mumeo anafundisha madrasa?
Huyo ni Mwalimu wa chuo/madrasat.