Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Una tatizo upstairs,wahi kwa wataalamu kabla hujaharibikiwa zaidi,naona unabwabwaja tu hovyo na kumwaga pumba tu hapa,nadhani hata wewe mwenyewe huelewi unachokiandika,halafu naona umekazania sana neno madrasa! Vipi mumeo anafundisha madrasa?
Mossad wako kivitendo zaidi,tena vitendo vyenye mazingira tata,na ni vingi tu.Omba usiwe kwenye rada yao.
Hata Tanzania ni taifa la Mungu.
viongozi wa kiarab wanalinda mamlaka yao..ndio maana wanashirikiana na magharibiNdiyo uone kuwa waarab si watu wa kuwaamini hata siku moja.
Elimu elimu elimuUna tatizo upstairs,wahi kwa wataalamu kabla hujaharibikiwa zaidi,naona unabwabwaja tu hovyo na kumwaga pumba tu hapa,nadhani hata wewe mwenyewe huelewi unachokiandika,halafu naona umekazania sana neno madrasa! Vipi mumeo anafundisha madrasa?
Jamaa_Mbishi,
Endelea na ubishi wako. Lakini hapo ulipo hujui kabisa maana ya TAIFA LA MUNGU. Surely you know nothing about ISRAEL na ndo maana unabwabwaja tu kama kasuku...Pole sana!!!
Mimi namwomba Mwenye Enzi Mungu anijalie hivyo vipaji vyao tu walahi!Hawa mossad ni balaa!
Ova
viongozi wa kiarab wanalinda mamlaka yao..ndio maana wanashirikiana na magharibi
unawaza udini tu!!..nani kaweka uislam hapo!?Wapuuzi wanawapiga vita wayahudi wakati viongozi wao wanakula na wayahudi hao hao. Waislam wa Tanzania mpo hapa?
Mkuu achana na huyo myahudi wa Nanjilinji,naona amekariri maisha!unawaza udini tu!!..nani kaweka uislam hapo!?
unawaza udini tu!!..nani kaweka uislam hapo!?
si bure..huenda ulilawitiwa madhabahuni ungali mtotoSiyo kama naweka dini, nimefanya hivyo kwa sababu nyie mnaona mwarab ndiyo Mungu wenu.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] .tena huku wakijua watapimwaBongo kuna waliotaka kupimwa mkojo saa 6 mchana.
Na nani tena ?Unatafutwa wewe siku ukikamatwa sijui utafanywa nini
Wamarekani ni kama wale wanawake wanaoning'iniza makalio dirishani wakati wakienda kwenye shughuli au sherehe Fulani za kiswahili.ni wenye midomo sana.Ndo kawaida yao hawa kujipigia debe kwa vitu vya kawaida,sass wanataka sifa za kuiba vinyesi.
Castro nae wamarekani walidivert Bomba la choo kwenye chumba cha hotel I aliyofikia new York wakati anahudhuria mkutano wa UN.
Wakakwiba uharo wa Fidel,wakachunguza na kudai ni mgonjwa na atakufa Mda si mrefu,
Fidel akavuta miaka 60 zaidi
Hapa ulipoweka masuala ya imani ndio ulipoivuruga comment yakoHivi wewe unajua maana ya ESPIONAGE au unapayuka tu?? The Mossad Agents wakitaka mkojo hata wa Magufuli au wa kwako wanaupata sasa hivi.....kwa malengo wanayotaka wao!!!Ogopa sana Taifa la WATU WA MUNGU.....!!!
Kwa sasa Tanzania wamesharudisha uhusiano na Israel lakini wakti huohuo wanaunga mkono HARAKATI ZA WAPALESTINA.....tabia za upopo...!!!!!!!.Hapa ndipo mikojo na vinyesi ya watu kama Magufuli inapotafutwa kwa kutumia vyoo bandia ili wapate wanachokita.....!!
Watch out! Ukisikia MOSSAD AGENTS kaa mbali siyo watu wa mchezo mchezo!
Kaniudhi sana etiMleta mada ni timu Lumumba
Jordan wanaonekana ni threat sana kwa waarabu wenzaohapo kuna ufundi gani zaidi ya usaliti wa waarab wa jordan!!?