Pre GE2025 Ester Bulaya: Lissu ana uwezo wa kutufikisha kwenye Demokrasia ya kweli. Apongeza CHADEMA kwa Uchaguzi Uhuru na Haki Bungeni Dodoma

Pre GE2025 Ester Bulaya: Lissu ana uwezo wa kutufikisha kwenye Demokrasia ya kweli. Apongeza CHADEMA kwa Uchaguzi Uhuru na Haki Bungeni Dodoma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Mbunge wa Viti maalum, Ester Bulaya amekipongeza chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Freeman Mbowe na Mwenyekiti mpya Tundu Lissu kwa Uchaguzi Uhuru na Haki akiwa Bungeni.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Bulaya amesema Tundu Lissu anao uwezo wa kukiongoza chama hicho na kukifikisha kwenye demokrasia ya kweli.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama

Bulaya ameyasema hayo Februari 13, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).

 
Wanaanza kujipendekeza? Wao wasubiri julai warudi CCM, huku hakuna chao tena
Team Lisu mnashida sana vichwani mwenu.

Jana huyu Lisu alikuwa anahutubia, akaomba watu wajiunge na chama ili kuweza kufikisha agenda zenu mbele.

Wewe unasema wanajipendekeza, hivi kwa akili yako unadhani wanachama na wafuasi mtawatoa wapi mkianza kuwakataa hao wakongwe?

Lisu aliisha shinda jengeni chama, nyie bado mko kwenye mawazo mgando.

Bunge likisha vunjwa hao ni wanachama wa kawaida kama mwanachama mwingine yule.

Wanao utashi kwenda popote, wakiamua kurudi chadema huwezi kuwazuia, hao sio wakenya ni watanzania.

Ndio maana chama kimedumaa.
 
Wakuu

Mbunge wa Viti maalum, Ester Bulaya amekipongeza chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Freeman Mbowe na Mwenyekiti mpya Tundu Lissu kwa Uchaguzi Uhuru na Haki akiwa Bungeni.

Bulaya amesema Tundu Lissu anao uwezo wa kukiongoza chama hicho na kukifikisha kwenye demokrasia ya kweli.

Bulaya ameyasema hayo Februari 13, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).

Anajikosha Ili arudishwe na COVID 19 wenzake si ndio? 😂😂
 
Team Lisu mnashida sana vichwani mwenu.

Jana huyu Lisu alikuwa anahutubia, akaomba watu wajiunge na chama ili kuweza kufikisha agenda zenu mbele.
Wewe unasema wanajipendekeza, hivi kwa akili yako unadhani wanachama na wafuasi mtawatoa wapi mkianza kuwakataa hao wakongwe?

Lisu aliusha shinda jengeni chama, nyie bado mko kwenye mawazo mgando.

Bunge likisha vunjwa hao ni wanachama wa kawaida kama mwanachama mwingine yule.

Wanao utashi kwenda popote, wakiamua kurudi chadema huwezi kuwazuia, hao sio wakenya ni watanzania.

Ndio maana chama kimedumaa.
Yote uliyoyasema hapo juu ni sawa kabisa. Lakini hapo ulipomalizia ya "CHAMA KUDUMAA" Hapana. Chadema bado ni tishio sana kwa watawala. Ndo maana mzee Wasira akikaa anawaza CHADEMA tu. Akilala anaiota CHADEMA. Akiwa barabarani anaona magari yote yameandikwa CHADEMA.
 
ila hawa wamerubuniwa na ccm, usikute pia walitishwa kuwa picha zao za uchi zitatolewa hadharani, watasingiziwa kodi, ndugu zao watauwawa, pia njaa so walikuwa hawana namna. hata wewe ccm ikiamua ikakukule tako hauna ujanja wa kukimbia au kukataa muulize roma na sativa. Hii nchi mpaka lissu atakapokuwa raisi ndo mambo ya kijinga yatakoma
 
Yote uliyoyasema hapo juu ni sawa kabisa. Lakini hapo ulipomalizia ya "CHAMA KUDUMAA" Hapana. Chadema bado ni tishio sana kwa watawala. Ndo maana mzee Wasira akikaa anawaza CHADEMA tu. Akilala anaiota CHADEMA. Akiwa barabarani anaona magari yote yameandikwa CHADEMA.
Sasa Wasira ndiye kipimo cha uhai wa chadema?

Yule hana hoja, anazunguka kutaka ku prove kwamba hajazeeka, ukweli unaujua kesha choka, anatamani alale masaa 25 kilasiku kujipumzisha lakini hawezi kwasababu ya tamaa zake.

Ipo siku utaelewa tu kwanini nasema chadema imedumaa.
 
Team Lisu mnashida sana vichwani mwenu.

Jana huyu Lisu alikuwa anahutubia, akaomba watu wajiunge na chama ili kuweza kufikisha agenda zenu mbele.
Wewe unasema wanajipendekeza, hivi kwa akili yako unadhani wanachama na wafuasi mtawatoa wapi mkianza kuwakataa hao wakongwe?

Lisu aliusha shinda jengeni chama, nyie bado mko kwenye mawazo mgando.

Bunge likisha vunjwa hao ni wanachama wa kawaida kama mwanachama mwingine yule.

Wanao utashi kwenda popote, wakiamua kurudi chadema huwezi kuwazuia, hao sio wakenya ni watanzania.

Ndio maana chama kimedumaa.
Unaongeleaje wale waliomfukuza uanachama yule aliyehoji Samia kupitishwa kinyemela? Au wao chama chao hakijadumaa kwakuwa kinabebwa na dola?
 
Back
Top Bottom