Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Pole sana kwa kuwa na akili fupi na ushamba bila busara, kwanza hata siku moja haitatokea muingereza kukaribisha wanaotaka kwenda nchini kwa bila sababu au uhusiano na muingereza yeyote, unafikiri hivyo sababu ya ushamba wa kufikiri Ulaya ni mahali penye pesa za bure kwa wote wakati kuna ombaomba mitaani na wengi wanaumasikini wa kutupa.

Cha pili kama ikitokea hivyo watakao kimbilia meli ni wale wanaofikiri Ulaya kunawapa utajiri watu wote waliopo hapo, yani wajinga na washamba wasiojua Ulaya hasa Uingereza nilipo ni wabaguzi sana kwa mataifa yote hata ya Ulaya, Asia hasa Afrika.

Unafikiri wazungu ni bora sababu umefutwa akili na ukoloni na kuona wazungu ni miungu na majibu ya umasikini, lakini umasikini wa akili ulionao ni hatari kuliko wa pesa, wala hujui wewe ni masikini sababu ya wazungu, maisha yako ni mafupi sababu ya wazungu. Afrika nzima inaamka na kujua wazungu ni maadui wakubwa kiuchumi na kijamii lakini sie watanzania ni wajinga sana kufikiri wazungu ni wakombozi na bora kuliko sisi, tunaita self hate, you hate yourself and see whites are better, SUPER SHAME ON YOU.

Pole sana Mheshimiwa Masi Lambo. Jinsi ulivyojibu kwa hisia, nakuelewa na kuelewa mazingira uliyokuwemo.

Ninachoweza kusema, usikate tamaa haluta kontinua.

La mwisho: Ukishindwa kupambana nao, jiunge nao. Nafikiri huko ndiko Mwinyi alikojisalimisha nako, baada ya vita alivyopigana Nyerere kukiri kuwa hatashinda. Na hata Nyerere mwenyewe alimuunga mkono, na ni safari iliyodumu mpaka leo. Ikiwa pamoja na soko huria, kuita wawekezaji, kuanzisha vyama vingi (demokrasia) nk. Hivi vyote mlango Wake ulifunguka wakati wa Mwinyi.
 
Duh kweli wewe ni msukule eti beberu Ana Element za ubinadamu wewe huna hizo element amekutawala miaka na miaka na utumwani aliwauza mababu wa kizazi chako hizo element zilikuwa ziko wapi? Ndio maana tindu lisu alikuwa wakili wao kwenye madini akiitisha serikali tusipowacha wakatafuna madini yetu watatushitaki pole sana wewe usie na element za ubinadamu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
We robota unakula matunda ya uvuvuzera hata Idd Amini alikua na majitu mengi kama wew hivyo hatuwez kuelewana.Endeleaa kutoa maushuzi
 
Sawa aendelee kupandwa na mabeberu ila akumbuke kuoga akimaliza
 
ENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.’ hii ndiyo maana yake: MENE maana yake, Mungu amehesabu siku za UBUNGE wako na kuukomesha. JUU YA KIBURI CHAKO NA KUSAHAU UNAMTIKIA NANI.
 
Mabeberu wako busy kuokoaa maisha ya watu wao ni wengine ila utaona maajabu ya jiwe eti wanatumiwa na mabeberu loh.Najiuliza hv huyu bwana mkubwa asingeenda shule angekua na tabia za ajabu zaid ya id amin.Kuna kauli anaongea mpk unashangaa alivyoinconsistency kwenye hoja zake unapata tafsir kwamba anajiona anajua kila kitu wakati anajifedhehesha. A Boss is always right hajaielewa vzr
Mzee sasa umeanza kutulisha matango pori. Umesema huyu bwana mkubwa ameenda shule??? Jamani watu walioenda shule wanafanana hivyo kweli?
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
"Huo ndio mtizamo wake. Inabidi uuheshimu"
 
Ndugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali. Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu

Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi. Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu.

Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao? Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu! Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
 
Ndugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali
Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu

Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi

Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu

Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao?

Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu!

Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Ulikokuwa sisi hatukuweko, kwa nini usitaje jina moja kwa moja badala ya kuandika kama riwaya?
 
Bulaya nilikuwa namuona ni mtu anayejielewa kichwani kumbe wale wale km walioko Chadema

Mbunge unawakilisha Wananchi unaropoka vitu vya hovyo hovyo
Kama ni hako, ni ka mtu ka hovyo tu! Ufahamu ni mdogo. Huyo ni mmoja wa watu wanaojifanya kama mnyama wa mwituni, yaani asifiwe kwa ushujaa wa kushambulia wengine badala ya kutumia akili.
 
Back
Top Bottom