Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Kama kumsikiliza Prof Lumumba na kumuelewa hilo kwangu ni jambo la kila siku, sidhani kama kuna siku inapita bila kusikiliza speech zake.

Ubaya wa viongozi wa Africa uko wazi kabisaa hili halina ubishi, wapenda madaraka ni wengi sana, hawana maono yoyote na muelekeo wa bara la Africa.
Na wengi wao wanatumiwa na hao hao wazungu kukandamiza waafrica wenzao kwasababu ya tamaa za matumbo yao, hawajali uafrica wao na hawajui nini tunahitaji sisi kama Africa.

Any civilization that know what they want always reachs their destinations, do we know what we want we as Africans?

Umesema vema watu watakimbilia ulaya ndio watakimbilia huko, Ila unajua ni kwanini watakimbilia Ulaya.?

Is this not because of poverty in Africa? If that is true, it this not because of white's exploitation our resources?

Do you remember the Briton Wood Institution and their restrictions to Africa?
do you remember the Brandit report commission to Africa?
Don't you remember the new colonial project?
How about globalization is this a good thing to Africa.?

Why do always they threaten us by sanctions?

Watu wetu wanakimbila ulaya kwasababu ya umasikini tulio nao na umasikini huu haukusababishwa na viongozi we pekee japo nao ni majipu yaliyo iva, ili unyonyaji tulio fanyiwa na tunao endelea kufanyiwa ndio sababu ya umasikini huu mkuu. na hata akitokea kiongozi mwenye maono mazuri bado tu atapigwa na hao wazungu.
Yoote umeyasema lakini kiini cha tatizo ni hapa uliposema "Any civilization that know what they want always reachs their destinations, do we know what we want we as Africans?" Hili ndio tatizo, hasa kwa viongozi wetu. Na ndio maana tunakwenda mbele miaka 10, halafu tunarudi nyuma miaka kumi. Over.....
 
Huyo hawezi kwenda kujificha hai vijijini

Magufuli ni raisi wa aina gani ambae anakimbia ikulu na kwenda kujificha kwake kijijini
Ameshazoea kuzurura si unajua Tena tabia za muhuni
 
Hivi ni Mabeberu au *Wahisani*?

The true revolution comes from inside yourself....!
Yote ni majina yao, matumizi ya hayo majina inategemea tu na wakati.

Mfano Wakichangia bajeti yetu au kutupatia misaada tutawaita wahisani au washirika wetu wa maendeleo.

Wakitukosoa kuhusu demokrasia au haki za binadamu tutawaita mabeberu.
 
Yote ni majina yao, matumizi ya hayo majina inategemea tu na wakati.

Mfano Wakichangia bajeti yetu au kutupatia misaada tutawaita wahisani au washirika wetu wa maendeleo.

Wakitukosoa kuhusu demokrasia au haki za binadamu tutawaita mabeberu.
Mbwa ni mbwa tu hata umpe jina zuri atabaki kuwa mbwa tu, beberu ni beberu hata aitwe muhisani/mfadhili ni beberu tu
 
Mimi nimejaribu kuongea na mbowe anipe nafasi ya political consulted pale ufipa,lakini anajivuta vuta Sana,,
Bulaya Wala haihitaji kumjibu hivyo rais,hi inakuwa na negative impact kwao,wanapoanza kujibishana na rais Kama waki kwenye ngonjera,
What they need to do,is to make their point and keep quiet letting things flow,
Mwisho wa siku mda utaamua Nani alikuwa sawa
Hivi Kuna watu wa ajabu Sana . We unadhani cheo Cha uraisi ni Cha mbinguni Kama Mungu kwamba huwezi kumjibu zaidi ya kumuomba. Acha fikra potofu kiasi hicho. Raisi wa nchi au taasisi yoyote Ni binadamu na anaweza kufanya makosa sio Mungu hata wenyewe maraisi duniani wanajijua kuwa Ni wanadamu kumbuka Hilo usijempa utukufu wa Mungu wa kutoulizwa au kubishiwa jambo.
 
Yoote umeyasema lakini kiini cha tatizo ni hapa uliposema "Any civilization that know what they want always reachs their destinations, do we know what we want we as Africans?" Hili ndio tatizo, hasa kwa viongozi wetu. Na ndio maana tunakwenda mbele miaka 10, halafu tunarudi nyuma miaka kumi. Over.....
Sasa mkuu ndio uone hapo kuwa wakati mmoja napambana kupinga ukoloni mambo leo na unyonyaji, kiongozi mwingine anakuja hadharani anasema bora awatumikie hao hao wanyonyaji.
How comes?

Hawa watu hata kama wanatupa misaada ya namna gani hawawezi kuwa wema hata siku moja mkuu.
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Cha ajabu ni nini kwenye huo ujumbe? Mimi nimeuelewa vizuri ujumbe huu kuliko kituko cha mzee wako. kama ni alma za uandishi na uwasilishaji wa hotuba ila ningeipa 0%
 
Beberu tu? Mimi ukiweka mbwa nimpigie kura leo jiwe atoke nitampa mbwa. Jitu limejifungia linasema hamna korona huku lenyewe ukiliambia litoke lisimame mbele ya watu haliwezi 😂 unasikia tu chapeni kazi, mara kaanza kuwalaumu na viongozi wa dini kufunga makanisa.

Kama ye mbabe asikae anaitisha waandishi wa habari wanakaa mbali, ajichanganye na watu kama zamani tuone kua kweli haamini uwepo wa hii kitu.

Kelele nyingi matendo zero. Haijawahi tokea dunia nzima, ni aibu kubwa kaletea watanzania huyu kilaza
Sas kama huo ugonjwa haupo na yeye hauogopi si aende kuwatembelea wale wagonjwa pale Amana na kukumbatiana nao?
 
Mabeberu ndio tunaowaomba watupe mikopo isio na riba au watusamehe kulipa madeni kipindi hiki cha corona.
Ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......... Juzi nikamsikia akisema, tunawaomba watusamehe madeni tuna tatizo la korona halafu hapo hapo anasema, mabeberu, hakuna korona, mara anapeleka mapapai maabara kuharibu vifaa vyetu. Kituko cha mwaka hiki. halafu anaziamini sana dawa za Sangoma, kwa nini?
 
Inabidi umsikilize Prof Lumumba uelewe watawala wetu ni watu wa aina gani? Na kuwa wakati ule tulilazimishwa kwenda ulaya kama watumwa, leo tunkufa baharini tukiwakimbia viongozi wetu kwenda Ulaya- Ni maneno ya msomi Prof Lumumba.

Ukitaka kujua kama leo hii muingereza ni mzuri au mbaya, lete meli 100 zile kubwa, halafu waambie watanzania wanaotaka kutupilia mbali uraia wa Tanzania na kwenda kuishi uingereza wapande hizo meli. Sijui kama kuna meli itarudi Tupu.

Najua sisi ni wazuri wa domo, licha ya macho yetu kuona ukweli.
Pole sana kwa kuwa na akili fupi na ushamba bila busara, kwanza hata siku moja haitatokea muingereza kukaribisha wanaotaka kwenda nchini kwa bila sababu au uhusiano na muingereza yeyote, unafikiri hivyo sababu ya ushamba wa kufikiri Ulaya ni mahali penye pesa za bure kwa wote wakati kuna ombaomba mitaani na wengi wanaumasikini wa kutupa.

Cha pili kama ikitokea hivyo watakao kimbilia meli ni wale wanaofikiri Ulaya kunawapa utajiri watu wote waliopo hapo, yani wajinga na washamba wasiojua Ulaya hasa Uingereza nilipo ni wabaguzi sana kwa mataifa yote hata ya Ulaya, Asia hasa Afrika.

Unafikiri wazungu ni bora sababu umefutwa akili na ukoloni na kuona wazungu ni miungu na majibu ya umasikini, lakini umasikini wa akili ulionao ni hatari kuliko wa pesa, wala hujui wewe ni masikini sababu ya wazungu, maisha yako ni mafupi sababu ya wazungu. Afrika nzima inaamka na kujua wazungu ni maadui wakubwa kiuchumi na kijamii lakini sie watanzania ni wajinga sana kufikiri wazungu ni wakombozi na bora kuliko sisi, tunaita self hate, you hate yourself and see whites are better, SUPER SHAME ON YOU.
 
Sasa huyu ndugu akamwamini nani? Viongozi wa dini, wataalamu, na kila mtu hamwamini. Tatizo ni nini? Tufiche tatizo ili iwe nini? Mwigulu karudishwa baada ya kusema tusizitangaze taarifa za wanaougua ugonjwa huu.
 
Sas kama huo ugonjwa haupo na yeye hauogopi si aende kuwatembelea wale wagonjwa pale Amana na kukumbatiana nao?
Inafaa mbowe aende sababu Hana umuhimu wowote Ni muhuni tu raisi aende kufanya nini raisi atulie wateule wake wanapiga kazi aende muhuni mbowe au malesbian kina bulaya na mdee
 
Hivi jamaa ana wataalamu wa Saikolojia? Maana kuna siku ataokota kopo na kumtupia mtu. Kila wakati ni kufoka tu, kwani tatizo ni nini?
 
Inafaa mbowe aende sababu Hana umuhimu wowote Ni muhuni tu raisi aende kufanya nini raisi atulie wateule wake wanapiga kazi aende muhuni mbowe au malesbian kina bulaya na mdee
Mbona alikuwa anaenda mhimbili kuwatembelea wagonjwa akina Mangula na wengineo. Ila maana upendo umepoa?
 
Sasa mkuu ndio uone hapo kuwa wakati mmoja napambana kupinga ukoloni mambo leo na unyonyaji, kiongozi mwingine anakuja hadharani anasema bora awatumikie hao hao wanyonyaji.
How comes?

Hawa watu hata kama wanatupa misaada ya namna gani hawawezi kuwa wema hata siku moja mkuu.
Sasa mnapokea misaada yao ya nini wakati mnajua ni wabaya?
 
Mbona alikuwa anaenda mhimbili kuwatembelea wagonjwa akina Mangula na wengineo. Ila maana upendo umepoa?
Unafikiri raisi mjinga Kama wewe akifa wakati bado tunamuhitaji miaka mingine mitano? Akifa mbowe hakuna shida Hana faida yoyote wanao muhitaji mbowe Ni kikundi Chake cha wahuni tu sisi tunawaza mbali mh raisi bado ana miaka mingine mitano ya kuongoza
 
Unafikiri raisi mjinga Kama wewe akifa wakati bado tunamuhitaji miaka mingine mitano? Akifa mbowe hakuna shida Hana faida yoyote wanao muhitaji mbowe Ni kikundi Chake cha wahuni tu sisi tunawaza mbali mh raisi bado ana miaka mingine mitano ya kuongoza
Nini kitamuua?
 
Back
Top Bottom