Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Beberu tu? Mi ukiweka mbwa nimpigie kura leo jiwe atoke nitampa mbwa. Jitu limejifungia linasema hamna korona huku lenyewe ukiliambia litoke lisimame mbele ya watu haliwezi 😂 unasikia tu chapeni kazi, mara kaanza kuwalaumu na viongozi wa dini kufunga makanisa.

Kama ye mbabe asikae anaitisha waandishi wa habari wanakaa mbali, ajichanganye na watu kama zamani tuone kua kweli haamini uwepo wa hii kitu.
Kelele nyingi matendo zero. Haijawahi tokea dunia nzima, ni aibu kubwa kaletea watanzania huyu kilaza
Utachagua mbwa kwa sababu una uumbwa ndani yako. Yaani una mawazo na fikra za ki-mbwa mbwa. Mfano lazima ufuate kama mabwana zako wa magharibi walivyo fanya! Kumtii bwana!
Magufuli hajasema haamini uwepo wa corona, lakini wewe unasema haamini! Amesema watu wachukue tahadhali - wewe unasema ajichanganye! Unahitaji kufungwa mnyororo shingoni hata wakati wa kwenda kumpigia huyo mbwa kura. Maana tafauti hatutaiiona bila kufungwa mnyororo.
 
Ndugu suma between the lines. Amesema wote bila kuangalia kigezo. Yaani si kisheria bali kwa mapenzi yake. WOTE MILIONI 5 BILA KUACHWA HATA MMOJA.
Kasema ni Bora kuwatumikia mabeberu Sasa hapo ambacho hakijaeleweka ni nini
 
Kuliko jiwe bora beberu anaelement za kibinadam.Nyie shangilien tu jiwe tu km mizombie.Eti wanatumika na mabeberu what a senseless statement yaan watu wapo busy kupambana na maisha ya watu wao na wengine dunian waanze kumfikuria mtu km jiwe anayewategemea misaada.Hata km mnalipwa au umepewa vyeo km Mwigulu tumia common sense kuelewa propaganda za pindi anapotetea upuuzi wake huku taifa likiangamia.
Duh kweli wewe ni msukule eti beberu Ana Element za ubinadamu wewe huna hizo element amekutawala miaka na miaka na utumwani aliwauza mababu wa kizazi chako hizo element zilikuwa ziko wapi? Ndio maana tindu lisu alikuwa wakili wao kwenye madini akiitisha serikali tusipowacha wakatafuna madini yetu watatushitaki pole sana wewe usie na element za ubinadamu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Miaka mingi ilikuwa inasemwa chadema ni mawakala wa ubeberu wanabisha leo wamejiropokea wenyewe
 
Kwani aliye tuuza utumwani alikuwa ni nani mkuu?, si ni hawa waarabu unao waseme walikuja kutafuta mali au sio hao? Hizo mali si ni pamoja na sisi hujui kuwa tulikuwa mali mkuu?

Contemporary mode of government?!!?
Kwani kabla ya ukoloni, slave trade ilikuwa kipindi gani mkuu??
Nazungumzia waliotupa uhuru hawaku wakatili kama hawa wa kwetu! Huko nyuma sijakuongelea. All in all, Slavery was a mode of killing as shooting with a gun, abduction, imprisonment are in today's regimes of the world, africa in particular
 
Kupewa uraia ni tofauti na alicho sema bulaya hata hapa Tanzania Kuna maelfu ya watu wamepewa uraia kwa kuomba kwa kuzaliwa nk ishu nikuwa je Ni Bora uzalendo wako au Bora kumtumikia beberu Kama anavyoona bulaya?

Kwanza ukiniuliza mimi, neno BEBERU alilifuta Mzee mwinyi mwaka 1990. Kwa sasa hivi hilo neno halipo.

Kuna baadhi ya maneno yaliishia pale Nyerer alipomkabidhi nchi Mwinyi: Kwa mfano, Mnyonyaji, Nyapara, Beberu, kabaila nk.

Nitajie nchi moja tu ambayo wewe utawaita mabeberu ambayo serikali ya awamu ya 5 haina uhusiano naye wa kimataifa. Au ni nchi gani ambayo serikali ya awamu ya 5 kamwe haitakwenda kuiomba msaada. Au nitajie nchi 5 tu kwa mtazamo wako wewe ungewaita ni mabeberu
 
Utachagua mbwa kwa sababu una uumbwa ndani yako. Yaani una mawazo na fikra za ki-mbwa mbwa. Mfano lazima ufuate kama mabwana zako wa magharibi walivyo fanya! Kumtii bwana!
Magufuli hajasema haamini uwepo wa corona, lakini wewe unasema haamini! Amesema watu wachukue tahadhali - wewe unasema ajichanganye! Unahitaji kufungwa mnyororo shingoni hata wakati wa kwenda kumpigia huyo mbwa kura. Maana tafauti hatutaiiona bila kufungwa mnyororo.
Mtu Kama huyu ndio anasema Bora nizaliwe mbwa ulaya na mtu Kama huyu ndio wanaosema Bora utumwa urudi ukiona mtu Yuko hivi Ni wakumuonea huruma tu maana Hana sifa ya ubinadamu ameshindwa kujitambua na wako wengi sana mi nawaitaga misukule
 
Mimi nadhani tonatofautiana perception kila mmoja atakuja na jibu lake kuhusiana na mtazamo wa Bulaya
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Huyu zitakua hazimtoshi anaposema bora awatumikie mabeberu anamaanisha hamkomoi rais anawakomoa watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu Kama huyu ndio anasema Bora nizaliwe mbwa ulaya na mtu Kama huyu ndio wanaosema Bora utumwa urudi ukiona mtu Yuko hivi Ni wakumuonea huruma tu maana Hana sifa ya ubinadamu ameshindwa kujitambua na wako wengi sana mi nawaitaga misukule

Ndugu utumwa urudi vipi wakati sasa hivi sote ni watumwa. Mtumwa asipojifahamu kuwa yeye ni mtumwa, ujue yule bwana wao amefanikiwa vyakutosha.
 
Kwanza ukiniuliza mimi, neno BEBERU alilifuta Mzee mwinyi mwaka 1990. Kwa sasa hivi hilo neno halipo.

Kuna baadhi ya maneno yaliishia pale Nyerer alipomkabidhi nchi Mwinyi: Kwa mfano, Mnyonyaji, Nyapara, Beberu, kabaila nk.

Nitajie nchi moja tu ambayo wewe utawaita mabeberu ambayo serikali ya awamu ya 5 haina uhusiano naye wa kimataifa. Au ni nchi gani ambayo serikali ya awamu ya 5 kamwe haitakwenda kuiomba msaada. Au nitajie nchi 5 tu kwa mtazamo wako wewe ungewaita ni mabeberu
Kwanza ni uongo hakuna neno linalo koma kutumika pili dunia ya Sasa adui yako kuwa na mawasiliano nae ndio Jambo muhimu zaidi mfano Cuba/USA ,USA/rusia, Egypt/Israel, Qatar/Israel dunia ya Sasa kuwa na mahusiano na adui yako Ni muhimu zaidi lakini sio kushirikiana nae bulaya kajipambanua kuwa ni kweli tunashirikiana nao kahitimisha zile tetesi
 
Ndugu utumwa urudi vipi wakati sasa hivi sote ni watumwa. Mtumwa asipojifahamu kuwa yeye ni mtumwa, ujue yule bwana wao amefanikiwa vyakutosha.
Siwezi kukushanga ukisema wewe ni mtumwa Kama kiongozi wako anakiri bora ya beberu wewe ukakiri ni mtumwa kunatofauti gani na nilivyo yasema kwenye comment yangu uliyo Ni qoute
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Huyo mbunge ni mjinga sana wala hakuenda shule kusoma ila kukua, mpumbavu sana kibaraka wa wazungu, anawaabudu wazungu kwa sababu ni mpumbavu wala hajui ukoloni ni nini, hafai kuongoza kama wabunge wengi tu, karibu bunge zima limejaa wapumbavu wa vyama vyote.
 
Mtumwa wa akili asiye na akili wewe, wala hujui wakoloni ni nini na wanafanya nini, ushamba wako wa kuwaabudu wazungu ni wa kijing pia.
Hawa ndio wanaosema Bora wangezaliwa mbwa ulaya mtu Kama huyo wazungu wakitaka kuurudisha utumwa huwa wanajitolea kushirikiana nao ni aibu kubwa sana
 
Back
Top Bottom