Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Kaongea kauli mbovu kabisa

Kakosa busara, weledi, utashi na uzalendo

Wabunge wa Aina hii wanaaibisha Sana vyama vya upinzani
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!

Hivi kati ya Ester Bulaya aliyejibu namna hii na Yule ambaye ameshindwa Kuheshimu Mawazo na Maamuzi yao yaliyo na Mashiko mapana kwa Afya ya Wabunge wote na hadi kwa Watanzania ila anatumia Ubabe wake wa Kipuuzi na Kishamba nani ndiyo alitakiwa alaumiwe na Watu wamshangae? Ukitulia na Kutumia Akili yako vyema utagundua Ester Bulaya yupo sahihi.
 
Sijaelewa mheshimiwa bulaya ana maana gani kusema hawezi kumtumikia JPM, Ninchojua wale watu ambao wapo kwenye ajira za umma wanatumikia watanzania na wale ambao mr JPM anawalipa yeye ndo wanamtumikia sasa sijui kama mheshiwa naye yumo kwenye payroll ya ya Magufuri hapo nakubaliana nae kukataa. Lakini kama yupo kwenye malipo ya umma na anasema hataki kutumikia maagizo harali ya serikari yaliyotolewa na kiongozi harari basi ajiuzuru ndo tutajua hataki kutumika, maana kuna agizo wasipewe posho sasa kama hataki azifate kwa nguvu aone kazi.
 
Ni Mara Mia wakoloni weupe kuliko mkoloni mweusi asiye na staha kwa weusi liendalo kama gari bovu
Unaukumbuka ule msemo ni heri kutawaliwa na Simba mmoja kuliko kutawaliwa na panya 1000?
 
Kuna shida mahali. Mh. Rais anatakiwa awe mwangalifu katika kauli zake. Anapenda sana kulitumia hilo neno 'mabeberu', kwa mambo ambayo hana uhakika nayo. Mtu yeyote akiwa tofauti na mawazo yake, basi huyo anatumika na mabeberu. Kiongozi hustahili kuwa hivyo. Usifiche udhaifu kwa kuwakejeli wanaokukosoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko sahihi, ila pia si kwamba anaficha udhaifu kwa kuwapinga wanao mkosoa Ila anasema kile anachokiamini yeye, huyu ni mmoja wa viongozi wachache sana wenye sifa ya kusimamia kile wanachokiamini.

Lakini pia mkuu tukumbuke kuwa linapokuja suala la misimamo ya waafrica kwenye kujitawala waafrica wenyewe huwa wanakosa kauli moja.
Kumbuka kipindi cha Back to Africa Movement Gurvay alipingwa na W.E.B D.Bois alisema kuwa yeye atakuwa wa mwisho kuludi Africa.

Mgawanyiko wa fikira hauku anza leo mkuu, ile formula ya Divide and rule bado ipo mkuu.
 
Dam55 unakataa nini? Nakwambia afadhali ya Mkolonii. Nambie Mkoloni aliwaua wangapi? Aliwapoteza wangapi? aliwafunga wangapi kwa makosa ya money laundering , sabotage or like charges. Sedition charge waaafrika madikiteita wanaitumia kuliko alivyoitumia mkoloni. AFADHALI YA MKOLONI
Mkuu nadhani wewe hujua hata historia ya Africa hata kidogo wewe mkuu, ungekuwa unajua usinge uliza haya.
Watu waliuzwa kama maharage sokoni, watu wangapi walifia kwenye kufanya kazi za kikoloni, unajua ni watu wangapi walifia mikononi mwao wakati wakijenga hizi reli za kikoloni kwa lazima, unakumbuka kipande system??
Mkuu nadhani ulikuwa unatania tu hauko serious!!
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Ni sawa wacha awatumikie mabeberu si ndio hao hao mabeberu wanaotetea ushoga?sisi Waafrika kwa mfano tukioa wanawake zaidi ya mmoja tunaambiwa huko ni kukiuka haki za binadamu lakini kwenye ushoga tunaambiwa hiyo ni haki ya kila mmoja,sishangai huyu dada kukubali kuwatumikia mabeberu badala ya watu wa Bunda na nchi yake.
 
Rasi anatoa eti INSTRUCTIONS watu wasilipwe uko ni kuingilia mamlaka ya bunge. Uganda tumeshuhudia spika mwanamke akimchimbia biti Museveni. Huo ndo utawala wa bunge. Raisi hana mamlaka ya matumiz ya bunge kwa mujibu wa katiba yetu. Ni Tanzania pekee yanapotokea

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu ni kina nani? Mbona nchi hii tunakuwa kama vichaa nchi hii!
Leo wanaotukosoa huko nje tunawaita mabeberu, kesho wakitupa misaada na mikopo tunawaita "wadau wa maendeleo"!
Sio fair mtu mmoja akiamua kujitia ukichaa basi nchi nzima tujifanye wote vichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
We utanitumikia mtu mjinga anayekimbilia chato.....watu wanakufa kwa kasi ya 4G ww unawadanfanya wananchi umekimbilia kujificha polini?
Mbwa zu ndo watakutumikia wale walamba makalio kwa ajili ya vyeo pale lukumba
nadhani uhuru wamepata watu wachache ambao ni washika dau na tumeruhusu new form of colonialism ambayo ni dictatorship gvt iliyo more advanced.na bado tunasumbuliwa sana na ukabila ambao pia ni more advanced kwa hapa kwetu Tanzania ni ngumu sana kujua hilo ila kwa washika dau ukabila ni miongoni mwa ajenda, na unafiki hapa kwetu ndo usiseme.MAENDELEO YAPO ILA YANA CHAMA MAHALUMU
KWA HIYO UNATAKA AMTUMIKIE HUYO MAGUFULI WAKO MSUKUMA ASIYEJUA LOLOTE...VITU VIDOGO VIDOGO VINAMSHINDA, WATU WANAPOTEZWA KWENYE HUU UTAWALA DHALIMU. IDI AMIN KIDOGO ALIKUWA BORA
There are so many ways to kill a Rat.
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Wamekua kama walimbwende tu kufikiria leo wanavaa gauni gana viatu gani na kubeba begi gani. Wamepata pesa hadi wamesahau kama walitumwa na wananchi. Kwa sasa kinawasumbua wafanye lipi kurejea bungeni. Tuone kama watapenya tundu la sindano.. . Eti bora kuwatumikia beberu kuliko jpm. Ngoja tuone hao watanzania watakaomrudisha huyu mjivuni jike bungeni.
 
Hushangai yule aliyewaambia watumishi wake

Hawa musiwabomoleshe nyumba zao kwa kuwa walinipigia kura

Wakati huo huo ameboa nyumba zetu Morogoro road.
Isnt it obvious that the guy is sick ?
Hii kauli binafsi sitokaa niiisahau kamwe! Ndio maana nchi imwkuwa ya ukanda, ukabila, utengano na kila aina ya ubomoaji wa mshikamano uliokuwepo,
 
Mkuu kwa nini huyo mbowe asiwe anatoa ushauri kusapoti jinsi ya kupambana na korona.kuliko kupinga kila juhudi ya mheshimiwa.
Mimi naamini kazi moja wapo ya upinzani sio kupinga tu bali hata kuishauri serikali
Tatizo ni kuwa hawashauriki,ukijaribu kuwakosoa/kuwashauri unapewa kesi ya uchochezi,kutakatisha fedha,uhujumu uchumi au haya watakuteka/kushambuliwa na wasiojulikana.
Hawa jamaa huwa wanajiamini kuwa wao tu ndiyo wapi sahihi.
 
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.

Nanukuu

"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"

Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.

Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Mimi nimejaribu kuongea na mbowe anipe nafasi ya political consulted pale ufipa,lakini anajivuta vuta Sana,,
Bulaya Wala haihitaji kumjibu hivyo rais,hi inakuwa na negative impact kwao,wanapoanza kujibishana na rais Kama waki kwenye ngonjera,
What they need to do,is to make their point and keep quiet letting things flow,
Mwisho wa siku mda utaamua Nani alikuwa sawa
 
Mimi nimejaribu kuongea na mbowe anipe nafasi ya political consulted pale ufipa,lakini anajivuta vuta Sana,,
Bulaya Wala haihitaji kumjibu hivyo rais,hi inakuwa na negative impact kwao,wanapoanza kujibishana na rais Kama waki kwenye ngonjera,
What they need to do,is to make their point and keep quiet letting things flow,
Mwisho wa siku mda utaamua Nani alikuwa sawa
HUNA POINT KWA NINI RAIS ASIJIBIWE AU KAWA MUNGU
 
Tuelewane mimi naongelea contemporary mode of government! Huko utumwani siko huko. Naongelea ujio wa Mjerumani na Mwigereza. Mwarabu haku Mkoloni in the real sense of Ukoloni! alikuja kutafuta mali bila wazo la colonisation of Africa. Ujenzi wa reli ilikuwa ni kazi ambazo hata leo kuna ajali kazini
Mkuu nadhani wewe hujua hata historia ya Africa hata kidogo wewe mkuu, ungekuwa unajua usinge uliza haya.
Watu waliuzwa kama maharage sokoni, watu wangapi walifia kwenye kufanya kazi za kikoloni, unajua ni watu wangapi walifia mikononi mwao wakati wakijenga hizi reli za kikoloni kwa lazima, unakumbuka kipande system??
Mkuu nadhani ulikuwa unatania tu hauko serious!!
 
Back
Top Bottom