Wewe akili zenu nani anazijua.Wapinzani akili zao wanazijua wao wenyewe...alafu ndio wanataka wakabidhiwe nchi ๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe akili zenu nani anazijua.Wapinzani akili zao wanazijua wao wenyewe...alafu ndio wanataka wakabidhiwe nchi ๐๐๐๐๐
Yupo sahihi. Rais huwa Nampa big-up anapofanya vena Ila kwa Hilo aondoe siasa. Bahati nzuri Alison's sayansi huwa Ni uhalisia tu sio makisio. Na hasa suala Hilo ambalo hata yeye limemuondoa Ikulu. Mh. Please Mungu amguse aone umuhimu wa uhai wa wapiga kura wake.Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Kwa kosa gani? Ku verify na kuthibitisha kwamba matokeo mengi ya Corona ni fake? Acheni kujitoa ufahamu. Palipo tatizo kama palipo jema lazima pabainishwe na kufanyiwa kazi.Bulaya yuko sahihi Magufuli hafai ajiuzulu
Mabeberu ni kina nani? Mbona nchi hii tunakuwa kama vichaa nchi hii!Bulaya anajisahau sana,hata ukiwa mpinzani kuna makombora ya kurusha
Huko ni kujivua nguo hadharani
Mkuu kwa nini huyo Mbowe asiwe anatoa ushauri kusapoti jinsi ya kupambana na Corona kuliko kupinga kila juhudi ya mheshimiwa.Wewe akili zenu nan anazijua.
Bunge gani hilo lakuabuduHarudi tena bungeni huyo kubabake.
Ni Mara Mia wakoloni weupe kuliko mkoloni mweusi asiye na staha kwa weusi liendalo kama gari bovuHuu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Harudi tena bungeni huyo kubabake.
Kote sawa tu, hata ccm vilevileWapinzani akili zao wanazijua wao wenyewe...alafu ndio wanataka wakabidhiwe nchi ๐๐๐๐๐
Kuna shida mahali. Mh. Rais anatakiwa awe mwangalifu katika kauli zake. Anapenda sana kulitumia hilo neno 'mabeberu', kwa mambo ambayo hana uhakika nayo. Mtu yeyote akiwa tofauti na mawazo yake, basi huyo anatumika na mabeberu. Kiongozi hustahili kuwa hivyo. Usifiche udhaifu kwa kuwakejeli wanaokukosoa.Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Wanakuwa wahisani pale wanapotoa msaada, wakianza kukosoa wanaitwa mabeberuHivi ni Mabeberu au *Wahisani*?
The true revolution comes from inside yourself....!
Hayo ni kwenye Utawala wa sheriaRasi anatoa eti INSTRUCTIONS watu wasilipwe uko ni kuingilia mamlaka ya bunge. Uganda tumeshuhudia spika mwanamke akimchimbia biti Museveni. Huo ndo utawala wa bunge. Raisi hana mamlaka ya matumiz ya bunge kwa mujibu wa katiba yetu. Ni Tanzania pekee yanapotokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Good kumbe mmejisema wenyewe mnatumika,...........Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu
Wakomunist na wajamaa wote ndio walivo ufichia udhaifu wao au kushindwa kwao kwa kuwalaumu mabeberuKuna ahida mahali. Mh. Rais anatakiwa awe mwangalifu katika kauli zake. Anapenda sana kulitumia hilo neno 'mabeberu', kwa mambo ambayo hana uhakika nayo. Mtu yeyote akiwa tofauti na mawazo yake, basi huyo anatumika na mabeberu. Kiongozi hustahili kuwa hivyo. Usifiche udhaifu kwa kuwakejeli wanaokukukosoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa
Wakomunist na wajamaa wote ndio walivo ufichia udhaifu wao au kushindwa kwao kwa kuwalaumu mabeberu
Dam55 unakataa nini? Nakwambia afadhali ya Mkolonii. Nambie Mkoloni aliwaua wangapi? Aliwapoteza wangapi? aliwafunga wangapi kwa makosa ya money laundering , sabotage or like charges. Sedition charge waaafrika madikiteita wanaitumia kuliko alivyoitumia mkoloni. AFADHALI YA MKOLONI"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!