Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Yupo sawa..mimi leo nipo Tyar kufanya kazi CIA kuliko kuwa msukule wa lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha upumbavu wewe!!! yule ni muwakilishi wa wananchi na yeye anafanya kazi ya kuwawakilisha wananchi na pia yeye bulaya alichaguliwa na wananchi wala hakuchaguliwa na rais wala serikali! Wanachokifanya chadema ni kulinda uhai wao kwa hali na mali.... meko kajichichimbia kwao wewe unadhani kwanini meko kajichimbia kwao? akili za kuambiwa mix na za kwakoNdugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali
Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu
Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi
Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu
Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao?
Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu!
Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Sio mzima huyo angekuwa mzima asingeolewa na mwanamke mwenzakeNdugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali
Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu
Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi
Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu
Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao?
Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu!
Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Ulikokuwa sisi hatukuweko, kwa nini usitaje jina moja kwa moja badala ya kuandika kama riwaya?
Nipe tafsiri ya BEBERU
Kama ni hako, ni ka mtu ka hovyo tu! Ufahamu ni mdogo. Huyo ni mmoja wa watu wanaojifanya kama mnyama wa mwituni, yaani asifiwe kwa ushujaa wa kushambulia wengine badala ya kutumia akili.
Ndugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali. Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu
Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi. Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu.
Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao? Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu! Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Yupo sawa..mimi leo nipo Tyar kufanya kazi CIA kuliko kuwa msukule wa lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hatufai ,abaki kuwa mbunge wa twitter,mdomo umeponza kichwa,sidhani kama wapiga kula wake wanahaja nae tena,kajimaliza mwenyewe,pia nahisi anavutishwa ganja na kina mdee ,hakuwaga hivi Easter BulayaNdugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali
Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu
Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi
Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu
Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao?
Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu!
Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Hivi CCM mna nini vichwani mwenu? Mbona hapo hujatoa tafsiri na badala yake ume-translate tu kutoka Swahili to English?
wacha upumbavu wewe!!! yule ni muwakilishi wa wananchi na yeye anafanya kazi ya kuwawakilisha wananchi na pia yeye bulaya alichaguliwa na wananchi wala hakuchaguliwa na rais wala serikali! Wanachokifanya chadema ni kulinda uhai wao kwa hali na mali.... meko kajichichimbia kwao wewe unadhani kwanini meko kajichimbia kwao? akili za kuambiwa mix na za kwako
Wale wale huwa mnakimbilia kuwaramba buttocks tukiwatia adabuNipe tafsiri ya BEBERU
Sio mzima huyo angekuwa mzima asingeolewa na mwanamke mwenzake
Nyinyi ni wa kuchapwa risasi kama risasi kama tundu risasiYupo sawa..mimi leo nipo Tyar kufanya kazi CIA kuliko kuwa msukule wa lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani analipwa bure?
CIA wafanye kazi na nyie vigeugeu ?,pathetic!Yupo sawa..mimi leo nipo Tyar kufanya kazi CIA kuliko kuwa msukule wa lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bulaya nilikuwa namuona ni mtu anayejielewa kichwani kumbe wale wale km walioko Chadema
Mbunge unawakilisha Wananchi unaropoka vitu vya hovyo hovyo