You talk about problems where those problems came from, Is it because of Europe exploitation? Is this not the source of underdevelopment, poverty, Ignorance and hunger in Africa?Does that justifies our failure to tackle our own problems and ending up on begging everything?
Ume sahau kitu, utapimwa mkojo na choo kubwa bila ugonjwaTatizo ni kuwa hawashauriki,ukijaribu kuwakosoa/kuwashauri unapewa kesi ya uchochezi,kutakatisha fedha,uhujumu uchumi au haya watakuteka/kushambuliwa na wasiojulikana.
Hawa jamaa huwa wanajiamini kuwa wao tu ndiyo wapi sahihi.
Sio ngonjera, ametoa yaliyo moyoni mwake.Mbumbumbu tu ndio hawata elewa alicho wakilisha.Mimi nimejaribu kuongea na mbowe anipe nafasi ya political consulted pale ufipa,lakini anajivuta vuta Sana,,
Bulaya Wala haihitaji kumjibu hivyo rais,hi inakuwa na negative impact kwao,wanapoanza kujibishana na rais Kama waki kwenye ngonjera,
What they need to do,is to make their point and keep quiet letting things flow,
Mwisho wa siku mda utaamua Nani alikuwa sawa
Kabisa, binafsi pia siwezi kutumikia kiongozi mpumba**Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Kwani aliye tuuza utumwani alikuwa ni nani mkuu?, si ni hawa waarabu unao waseme walikuja kutafuta mali au sio hao? Hizo mali si ni pamoja na sisi hujui kuwa tulikuwa mali mkuu?Tuelewane mimi naongelea contemporary mode of government! Huko utumwani siko huko. Naongelea ujio wa Mjerumani na Mwigereza. Mwarabu haku Mkoloni in the real sense of Ukoloni! alikuja kutafuta mali bila wazo la colonisation of Africa. Ujenzi wa reli ilikuwa ni kazi ambazo hata leo kuna ajali kazini
Usmarter wake upi kupinga kila kitu? Kuwaswaga wabunge wa chadema? Kukimiliki chama au?Pumbafu wew hujui Mbowe ni smarter than Jiwe
Bulaya anajisahau sana,hata ukiwa mpinzani kuna makombora ya kurusha
Huko ni kujivua nguo hadharani
Wewe ulitakaje labda kwa mfano?Huu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Hiyo ni self hatred - slave mind. Yaani Bulaya anajichukia na kumhusudu mkoloni mambo leo/beberu! It is a pity! BrainwashedHuu ndio ujumbe alio utoa mbunge wa Bunda mh Ester Bulaya kwenye ukurasa wake wa Twitter baada ya hotuba ya Rais.
Nanukuu
"Ni bora sisi tuendelee kuwatumikia mabeberu kuliko kukutumikia wewe"
Hizi ndio kauli za viongozi walio chaguliwa na wananchi na kupewa dhamana ya kuwawakirisha bungeni.
Kama taifa bado tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie.!!
Bulaya amethibitisha alichokuwa anashutumiwa lisu kushirikiana na mabeberu dah chadema kweli ma traitors
Aibu kubwa sanaHiyo ni self hatred - slave mind. Yaani Bulaya anajichukia na kumhusudu mkoloni mambo leo/beberu! It is a pity! Brainwashed
Mpenda mabeberuYour brain is completely shambolic.Papai positive wew
Kupewa uraia ni tofauti na alicho sema bulaya hata hapa Tanzania Kuna maelfu ya watu wamepewa uraia kwa kuomba kwa kuzaliwa nk ishu nikuwa je Ni Bora uzalendo wako au Bora kumtumikia beberu Kama anavyoona bulaya?"WAISRAELI WOTE WAPEWE URAIA WA TANZANIA" Alisema mkuu. sina hakika kama huu ni uzalendo au vipi.......
Tafakari.........
Kuliko jiwe bora beberu anaelement za kibinadam.Nyie shangilien tu jiwe tu km mizombie.Eti wanatumika na mabeberu what a senseless statement yaan watu wapo busy kupambana na maisha ya watu wao na wengine dunian waanze kumfikuria mtu km jiwe anayewategemea misaada.Hata km mnalipwa au umepewa vyeo km Mwigulu tumia common sense kuelewa propaganda za pindi anapotetea upuuzi wake huku taifa likiangamia.Mpenda mabeberu
Kupewa uraia ni tofauti na alicho sema bulaya hata hapa Tanzania Kuna maelfu ya watu wamepewa uraia kwa kuomba kwa kuzaliwa nk ishu nikuwa je Ni Bora uzalendo wako au Bora kumtumikia beberu Kama anavyoona bulaya?