Unaonaje Jeshi la Polisi wakati huu wa kampeni liende likizo kwa siku moja tu kila mtu afanye analotaka?Tukitwaa madaraka kitu cha kwanza ni kulivunja jeshi la Polisi na kulijenga upya ili lisiwe linatutumikia sisi Wanasiasa
Polisi lazima wawe na weledi katika kazi zao Tunataka jeshi la Polisi ambao halitatumiwa na kiongozi yeyote wa Chadema
Tunataka Polisi ambao rushwa kwao ni mwiko
Unaonaje Jeshi la Polisi wakati huu wa kampeni liende likizo kwa siku moja tu kila mtu afanye analotaka?
Umesha ni jibu tayari japo ujajibu swali nililo uliza , Punguza mihemko ya kisiasa twende Sawa mkuuWewe wala sitakujibu maana huna unachokijua , Dotto Rangi moto alichukuliwa na mabunduki mengi kuliko hata haya ya Tarime , lakini umefuatilia kesi aliyopewa ? kashitakiwa kwa kumtumia hawara ake picha ya ngono !
ila nimeona jamaa angeamua kukinukisha lazima wangesepa is A alivyogoma hadi mtu sita polisi wepesiiiWajaribu tu siku moja wanikamate hivyo mkono ntakaowatembezea
Ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa?!Sasa huyo askari wa Ester alikuwa anakimbia nini? Lazima atakuwa kafanya kitu huko nje, na kwanini alikuwa anakata kwenda kituoni, na huyo Ester mbona mzushi kwamba Polisi wanataka kumshuti wakati inaonekana kabisa wanataka kumkamata na zaidi ya hapo alikuwa yeye Ester anawazuia Polisi kufanya kazi yao halfu baadae atasema askari wakiume wamenishika ziwa, wani zalilisha n.k
Tulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa
View attachment 1600019
Ndo katiba ya JMT inasema mtu kabla ya kusomewa mashitaka na kukubali akamatwe hvyo kwa vurugu eti?? Kama adi apo tayari hakuna haki unasemaje itafuatwa....Hamna tatizo atapewa haki zake zote kwa mujibu wa katiba iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kuna wazee walimwambia kauli hii Nyerere pale Tabora mpaka machozi yakamtoka na mpaka leo imewekwa sanamu yake pale soko kuu.Mara 100 beberu atutawale kuliko Magufuli
Najua wewe unauwezo wa kufikiria kuliko MimiNdio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa?!
Unazani utaitetea CCM milele ni suala la mda tu.Huyo Ester naye mnafiki tu. Anajifanya kujiweka katikati ili abutuliwe na askari atafute cha kubwabwaja kwa mabeberu. Mkiambiwa kutii sheria bila shuruti hamuelewi au?
Hakuna smart hapo wanalindwa tuKwasababu wahusika hawatoi ushirikiano na polisi,hiyo ndio sababu ya kwanza,sababu ya pili walikuwa smart .hawakuacha track.....,sababu ya tatu hili tukio limefanywa kisiasa zaidi likimuhusisha mkuu wa nchi.sasa kama upinzani wanahisi fulani kahusika kwanini wasisaidie polisi?jamaa walimiss target lakini wapo smart.
Sasa kwani umesikia lini mtu wa CCM kakamatwa kama ivyo?Wewe naweeee
Sasa hapo CCM wamebebwa wapi na chadema wameonewa wapi
Tunamalizana kisela police hawa hawa kila siku kuwashika CHADEMALissu si aende police akafunguwe Jalada la Shambulio na atowe ushirikiano kwa Wapelelezi!!
Utajua hujui mdanganyeni tu uyo mzeeYule robati ni bonge la tapeli la Kimataifa,sema safari hii kwa Magu hawezi fanya kitu!!