Msipende kumgeza Mbeligiji kila kitu,mwachane yeye ndiyo awe anabishana na police wale wanajuwana!! Wengine tutii Sheria bila shuruti ili tudumishe Amani yetu!!Yaani hawa polisi wataacha watu wakapige kura za hasira,kura za huruma na kura za kulipa visasi dhidi ya uonevu
HII HAIJAKAA VIZURI,NCHI HII NI YETU SOTE
Mbeligiji amefikaje hapa mkuu. Anzisha uzi wa huyo mbeligiji wakoMsipende kumgeza Mbeligiji kila kitu,mwachane yeye ndiyo awe anabishana na police wale wanajuwana!! Wengine tutii Sheria bila shuruti ili tudumishe Amani yetu!!
kwanza kusema" No mothers ,No fathers, No uncles ,We are in laiti directions ,peoples used tu dai " kama vile Magufuli aliongea mbele ya Rais wa Malawi Dr Chakwera mabeberu ya meshamulemaza???kidhungu nyie niabu tupu lakini masome yetu yote nchini yapo kwa English.Foolish young boy.Mabeberu washakulemaza. Umekuwa mtumwa kamili.
Mi nakujibu kiswahili wewe unaniandikia sijui makorokocho gani....
Lukobha ghwa nyoko!
Hoja Kuu kwenye video ni Mlinzi kuwakimbia Askari na hatimae kakamatwa!!Huyo askari anaonekana amemdhalilisha Matiko kwa makusudi anamtia dole kwenye makalio tena kwa uwazi kabisa. Hapana hili haliwezi kuachwa hivi hivi!
Askari wa pili kamtia dole la matako Esther MatikoTulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa
View attachment 1600019
Acha maneno mengi hapa, Maandamano ya Mange Kimambi mlijifungia ndani mkamuacha Dada wa watu akaandamana peke yake huko kwao Marekani!!Inawezekana jirani zako hawana Tv kwasababu ungekua unaenda kuchungulia majeshi inchi zingine hawana hamu yakula kwasababu yanini.Shida haujuwi ratio ya asikari kwa raia ni ipi....Man up.
Ujinga upi umefanywa kiasi cha kuhalalisha ujinga wa huyo polisi we mpumbaf?Huyo mgombea jimbo la mchinga hawezi kufanya ujinga kama huo.
Kumbuka ujinga hufanywa na wajinga
kwanza mulisema Lissu haji sio? amekuja..mulisema akifika tuu atakamatwa mumeweza?Mondi akikata tuu mauno watu wanasepa .Mh Lissu amechemusha damu hakuna kurudi nyuma .Unaongelea habari za mrembo tuu ambaye aliku mbari nchini lakini alifanikiwa kuvitowa vifaru na ndege zakivita kambini...makunguru nyie lazima mnyoke msiempenda amekuja.Kwanza ilikuwa kosa lakiufundi kubali kapeni ziwe 60days ...hata siku tano tuu Lissu angewazika rasmi.Acha maneno mengi hapa, Maandamano ya Mange Kimambi mlijifungia ndani mkamuacha Dada wa watu akaandamana peke yake huko kwao Marekani!!
kwanza hizi mbuzi zinakuwa zinashau this is not a police state ...hovyo kabisaUjinga upi umefanywa kiasi cha kuhalalisha ujinga wa huyo polisi we mpumbaf?
Kweli wewe ni bonge la boya. Kuongea kiingereza ni usomi?kwanza kusema" No mothers ,No fathers, No uncles ,We are in laiti directions ,peoples used tu dai " kama vile Magufuli aliongea mbele ya Rais wa Malawi Dr Chakwera mabeberu ya meshamulemaza???kidhungu nyie niabu tupu lakini masome yetu yote nchini yapo kwa English.Foolish young boy.
Inaonekana wewe unashikwa shikwa sana makalio na kwako Ni kawaida sanaMwanamke kafanyiwa nn hapo? Au hujaelewa hata hiyo video inahusu nini? Huoni kama huyo Ester anazuia polisi wasifanye kazi yao when yeye mwenyewe hao polisi wala hawakuwa na mpango naye.
Kiswahili fasaha hujui. Wewe sio raia wa TZkwanza mulisema Lissu haji sio? amekuja..mulisema akifika tuu atakamatwa mumeweza?Mondi akikata tuu mauno watu wanasepa .Mh Lissu amechemusha damu hakuna kurudi nyuma .Unangelea habari za mrembo tuu ambaye aliku mbari nchini lakini alifanikiwa kuvitowa vifaru na ndege zakivita kambini...makunguru nyie lazima mnyoke msiempenda amekuja.Kwanza ilikuwa kosa lakiufundi kubali kapeni ziwe 60days ...hata siku tano tuu Lissu angewazika rasmi.
kwanini umeshindwa kuishauri serikali yako masoma yatoke kwenye English yaje kwenye kilugha chako?? acha kuwa muoga nani akakwambia mtu akiongea au kuandika kidhungu ni maajabu? sura kama ngedere anakula majani wewe.Kweli wewe ni bonge la boya. Kuongea kiingereza ni usomi?
Kiingereza kimekuwa ni hesabu?
Kutwa kucha kulialia ajira na elimuzenu za kukariri lugha
za watu.
Ushamba unawasumbua sana. Elimu za kuungaunga na ushamba ni aibu kwako. Lugha ya babu yako unaijua? Mpuuzi mkubwa!
Hujinga mumeshapandikizwa hata Kakobe mulisema ni raia haramu ,Nyani wewe raia wa Tz ni mtu ambaye anaongea kiswahili ??hivi msingi ulikanyaga?? sawa walete wa idara ya uhamiaji home yangu.Fisi weusi wewe.Kiswahili fasaha hujui. Wewe sio raia wa TZ
Kiukweli unautanzania wa kuunga unga. Naamini hata kadi ya kura uliipata kihuni huni. Lugha yetu ya taifa ni Swahili na kiswahili hukijui. Ok lugha ya kijijini kwenu unaijua? Hii ni Tz mpuuzi wewe. Utaijua vizuri 28octlHujinga mumeshapandikizwa hata Kakobe mulisema ni raia haramu ,Nyani wewe raia wa Tz ni mtu ambaye anaongea kiswahili ??hivi msingi ulikanyaga?? sawa walete wa idara ya uhamiaji home yangu.Fisi weusi wewe.
Niliamua maishani siwapi nafasi watu kama wewe.Mkuu, hivi alietiwa dole, tena kiongozi wa upinzani aache kulalamika hadi uje ulalamike wewe? kweli? hii ni ajabu coz hata Ester alimuangalia tu askari na kuendelea kuhoji. Kama angekuwa katiwa dole, pale pangechimbika. Matiko asingekubali kiboya vile. mi nina imani matiko alielewa kuwa ilikuwa bahati mbaya tena kuna uwezekano alimgusa sehemu ambayo sio unafikiria wewe. We unafanya masihara na dole? Tena publically, acheni masihara yenu nyie.
Labda uniambie ni demu wako huyo sasa unaona wivu.
Hata mimi sipendi mwanamke adhalilishe, ila kwa reaction aliyoonyesha matiko, ndio inanipa shida kuamini.
Kwa hili jibu lako, kuna tatizo kubwa sana kwenye jamii yetu.Kama dada yangu au ndugu yangu wanafanya ujinga, ache wapate wanachostahili.
Polisi wapo kutimiza majukumu yao ya kumkamata mtuhumiwa, huyo dada anaingilia kuzuia, inafikiri atapata nini?
Hivi toka mchakato wa uchaguzi uanze umeishawahi kusikia polisi wamemkamata mwana CCM yeyote?Kwanini huyu jamaa kakimbilia ndani? Hoko nje kafanyaje? Kwanini ameshikwa pekeake?
Arusha polisi wamevamia ofisi ya Lema na kukamata waliokuwepo ndani hata wageni waliokuja kutafuta huduma.Sasa wwe unaejua kitu unakimbiliaje kulaumu Jeshi la Police wakati hujajua hata huyo Mtuhumiwa kosa lake!? Au ndiyo Mahaba yanakupelekesha ress!?
Mlolongo wa matukio ya kukamatwa kwa viongozi, wagombea na wanachama wa vyama vya upinzani na kuwabambikia kesi. Wewe kwa akili yako unaona ni madogo?Kwa sababu ya mlinzi wa ester kukamatwa???