MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Mkono unaujua wewe?Mimi mwenyewe nakutafuta na nikikumata kwanza nakuzaba vibao kadhaa kabla sijakufikisha kituoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkono unaujua wewe?Mimi mwenyewe nakutafuta na nikikumata kwanza nakuzaba vibao kadhaa kabla sijakufikisha kituoni.
Mkuu wewe ni muhalifu?Unasema polisi siyo wajinga? Haya, hayajakukuta
Kwa nini unasema mwendelezo wa ubabe ? We unajua matiko amefanya nini?? Au hata akifanya kosa aachwe tu kwa sabab ni mgombea wa upinzani??Katika muendelezo wa ubabe kwa wapinzani, Jeshi a Polisi limevamia ofisi ya mgombea ubunge kupitia Chama cha Chadema Esther Matiko huko mara na kukamata kwa kutumia fujo kubwa.
Matukio haya hivi karibuni yameendelea kutokea nchini ambapo wagombea wa Chadema kila mmoja kwa wakati wake amekuwa akifanyiwa fujo na polisi.
Hali hiyo haikumuacha salama mwenyekiti wa Chadema na hata mgombea urais wa Chadema.
Huu uonevu utakoma lini?
Ukamati sio maungamo kwamba ukambembeleze....labda nikwambie, mpaka mtu anakamatwa ina maana kakataa kutui sheria bila shurtiHapa hizi uniform ndio zina tambulisha kuwa hawa ni Askari Polisi ,kitendo na namna ya ukamataji wake hakitofautiani na Makundi ya kihalifu pale wanapo kwenda kumteka Mtu.
Jamaa wame mkamata kibabe sana, Wapinzani tuna dharauliwa sana; sidhani kama wanaweza kufanya hivi kwa upande wa CCM.
Shame Police
Povu linaendelea kukuvua nguoHuyo mlinzi bonge la bwege, eti kakimbilia kushika chuma, sasa ndio nini?
Mlinzi gani huyo laini laini anakimbilia kushika chuma? Alafu wakiwa humu jf, wanajifanyaga wajuaji, ooh hatutakubali, safari hii sasa basi, mara ooh polisi tutakula nao sahani moja. Haya hao wapo wamekubeba mbele ya mabodyguard wenzio
Nnafikiri hata hiyo 1961 tulikuwa hatujafikia hatua ya kujitawala... Mwalimu aliforce tuKosa kubwa walilofanya wazungu ni kukubali kumpa mswahili uhuru na ndilo chimbuko la matatizo yetu hadi mwisho wa dahari.
Tungebaki chini ya ukoloni walau tungepata maendeleo lkn uhuru bandia huu tulionao ndio umetuponza na tutaendelea kuwa hivi hivi siku zote.
Povu linaendelea kukuvua nguo
Kyela tumejipanga kurekodi matukio kwa masaa 72 kila kituoSafi sana ushahidi kama hii mtu hawesi kuchomoka....
Jitahidini sana hasa siku ya uchaguzi kuchukua evidence...
Hawa watu washachoka vibaya mno...
Halafu alikuwa naeneo ya Kanda hiyo kuongea na wabasiasa. Je hivyo ndivyo alivyowaelekeza?IGP anapaswa kuachia ngazi haraka
Acha ujinga tuko chini ya Marekani TZMwambieni Magufuli ASIWAJARIBU KABISA PENTAGON.
Pentagon wamekwisha kumuonya JIWE na hasikii, LUMUMBA mwambieni Mzee wenu PENTAGONI ni makao makuu ya ulinzi ya Jeshi la Marekani.
Think Tank haina mchezo. Atabiduliwa
Wabongo maneno mengi vitendo less!! Yaani Mi ndiyo ningekua Boss wa huyo Mlinzi saa hizi kazi hana! Sasa hapo si Mlinzi ndiyo analindwa na Boss wake! Hahaahaahaa!!Huyo mlinzi bonge la bwege, eti kakimbilia kushika chuma, sasa ndio nini?
Mlinzi gani huyo laini laini anakimbilia kushika chuma? Alafu wakiwa humu jf, wanajifanyaga wajuaji, ooh hatutakubali, safari hii sasa basi, mara ooh polisi tutakula nao sahani moja. Haya hao wapo wamekubeba mbele ya mabodyguard wenzio
Tulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa
View attachment 1600019
Basi aendelee kukimbia tuone mwisho wake!!
Wahurumieni wake na watoto ktk visasi hivi. Wasiwe wahanga wa mambo wasiyoyajua, ni dhambi kubwa mno mbele ya Muumba.Bado nasisitiza, hawa polisi familia zao tunaishi nazo, kwann hatuwezi kukamata mtoto au mke tia bisu la shingo! Watatia adabu hawa mbwa