Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Huyo mlinzi bonge la bwege, eti kakimbilia kushika chuma, sasa ndio nini?
Mlinzi gani huyo laini laini anakimbilia kushika chuma? Alafu wakiwa humu jf, wanajifanyaga wajuaji, ooh hatutakubali, safari hii sasa basi, mara ooh polisi tutakula nao sahani moja. Haya hao wapo wamekubeba mbele ya mabodyguard wenzio
 
Katika muendelezo wa ubabe kwa wapinzani, Jeshi a Polisi limevamia ofisi ya mgombea ubunge kupitia Chama cha Chadema Esther Matiko huko mara na kukamata kwa kutumia fujo kubwa.

Matukio haya hivi karibuni yameendelea kutokea nchini ambapo wagombea wa Chadema kila mmoja kwa wakati wake amekuwa akifanyiwa fujo na polisi.

Hali hiyo haikumuacha salama mwenyekiti wa Chadema na hata mgombea urais wa Chadema.

Huu uonevu utakoma lini?
Kwa nini unasema mwendelezo wa ubabe ? We unajua matiko amefanya nini?? Au hata akifanya kosa aachwe tu kwa sabab ni mgombea wa upinzani??
 
Hapa hizi uniform ndio zina tambulisha kuwa hawa ni Askari Polisi ,kitendo na namna ya ukamataji wake hakitofautiani na Makundi ya kihalifu pale wanapo kwenda kumteka Mtu.

Jamaa wame mkamata kibabe sana, Wapinzani tuna dharauliwa sana; sidhani kama wanaweza kufanya hivi kwa upande wa CCM.

Shame Police
Ukamati sio maungamo kwamba ukambembeleze....labda nikwambie, mpaka mtu anakamatwa ina maana kakataa kutui sheria bila shurti
 
Huyo mlinzi bonge la bwege, eti kakimbilia kushika chuma, sasa ndio nini?
Mlinzi gani huyo laini laini anakimbilia kushika chuma? Alafu wakiwa humu jf, wanajifanyaga wajuaji, ooh hatutakubali, safari hii sasa basi, mara ooh polisi tutakula nao sahani moja. Haya hao wapo wamekubeba mbele ya mabodyguard wenzio
Povu linaendelea kukuvua nguo
 
Kosa kubwa walilofanya wazungu ni kukubali kumpa mswahili uhuru na ndilo chimbuko la matatizo yetu hadi mwisho wa dahari.

Tungebaki chini ya ukoloni walau tungepata maendeleo lkn uhuru bandia huu tulionao ndio umetuponza na tutaendelea kuwa hivi hivi siku zote.
 
Haya ndiyo maendeleo ya serekali ya awamu ya 5 walioletewa wananchi si ajabu tukasikia amebambikizwa mauaji.
 
Safi sana ushahidi kama hii mtu hawesi kuchomoka....

Jitahidini sana hasa siku ya uchaguzi kuchukua evidence...

Hawa watu washachoka vibaya mno...
 
Kosa kubwa walilofanya wazungu ni kukubali kumpa mswahili uhuru na ndilo chimbuko la matatizo yetu hadi mwisho wa dahari.

Tungebaki chini ya ukoloni walau tungepata maendeleo lkn uhuru bandia huu tulionao ndio umetuponza na tutaendelea kuwa hivi hivi siku zote.
Nnafikiri hata hiyo 1961 tulikuwa hatujafikia hatua ya kujitawala... Mwalimu aliforce tu


Huyu wa sasa ndiyo katurudisha miaka 50 nyuma karibia na ujima...
 
Safi sana ushahidi kama hii mtu hawesi kuchomoka....

Jitahidini sana hasa siku ya uchaguzi kuchukua evidence...

Hawa watu washachoka vibaya mno...
Kyela tumejipanga kurekodi matukio kwa masaa 72 kila kituo
 
kachukuliwa na polisi. shida iko wapi,maana polisi ndio chombo kilichopo kisheria kinacho husu na ulinzi na usalama.
tuache tutajulishwa sababu ni nini na makosa yao ni nini, tusijenge tabia ya kulaumu bila kujua.
 
Mwambieni Magufuli ASIWAJARIBU KABISA PENTAGON.

Pentagon wamekwisha kumuonya JIWE na hasikii, LUMUMBA mwambieni Mzee wenu PENTAGONI ni makao makuu ya ulinzi ya Jeshi la Marekani.

Think Tank haina mchezo. Atabiduliwa
Acha ujinga tuko chini ya Marekani TZ
ni Nchi Huru
 
Huyo mlinzi bonge la bwege, eti kakimbilia kushika chuma, sasa ndio nini?
Mlinzi gani huyo laini laini anakimbilia kushika chuma? Alafu wakiwa humu jf, wanajifanyaga wajuaji, ooh hatutakubali, safari hii sasa basi, mara ooh polisi tutakula nao sahani moja. Haya hao wapo wamekubeba mbele ya mabodyguard wenzio
Wabongo maneno mengi vitendo less!! Yaani Mi ndiyo ningekua Boss wa huyo Mlinzi saa hizi kazi hana! Sasa hapo si Mlinzi ndiyo analindwa na Boss wake! Hahaahaahaa!!
 
Bado nasisitiza, hawa polisi familia zao tunaishi nazo, kwann hatuwezi kukamata mtoto au mke tia bisu la shingo! Watatia adabu hawa mbwa
Wahurumieni wake na watoto ktk visasi hivi. Wasiwe wahanga wa mambo wasiyoyajua, ni dhambi kubwa mno mbele ya Muumba.
 
Back
Top Bottom