Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Bado nasisitiza, hawa polisi familia zao tunaishi nazo, kwann hatuwezi kukamata mtoto au mke tia bisu la shingo! Watatia adabu hawa mbwa
Nawashauri polisi wakutafute na wakikupata wakushughulikie kisawasawa!! Au haupo TZ
 
Polis na kikundi cha watu wasiojulikana wamechangia kupandikiza chuki na ndio sababu ya kukatakiwa kwa ssm,

Ila teknolojia inawaumbua vibaya sana huyo mlinzi kafanya vyema kukimbilia kwenye kamela ili kila kitu kionekane waze.
 
Bado nasisitiza, hawa polisi familia zao tunaishi nazo, kwann hatuwezi kukamata mtoto au mke tia bisu la shingo! Watatia adabu hawa mbwa

Unahitaji kuombewa kwa Mungu, kwa sababu hujui unachokisema. Bila police, hata hii fursa ya kufikiria na kuandika vitu vya ajabu ajabu kama hivi usingeipata. Kama unapenda sana lawlessness hamia Somalia kisha utupe mrejesho!
 
Polis na kikundi cha watu wasiojulikana wamechangia kupandikiza chuki na ndio sababu ya kukatakiwa kwa ssm,

Ila teknolojia inawaumbua vibaya sana huyo mlinzi kafanya vyema kukimbilia kwenye kamela ili kila kitu kionekane waze.
Si bado amekamatwa lakini au?
 
kachukuliwa na polisi. shida iko wapi,maana polisi

Kyela tumejipanga kurekodi matukio kwa masaa 72 kila kituo
Mawakala wa CDM wajipange vilivyo kwa recording...najua watakataliwa kuingia na simu ama wataamuliwa wazizime..ila njia zipo nyingi tu

Recording ya idadi ya watu waliopiga kuta siku hiyo kwa kila kituo ni MUHIMU sana ili kuzuia janja ya CCM ya kura hewa.
 
Tunawashukuru sana wazalendo wanaorekodi matukio haya ya kihalifu
Acheni ujinga. 2007 Kenya waliuana kweli kweli lakini Uhuru na Ruto hadi leo wanadunda baada ya kuwamaliza mashahidi wote. Kama hamtatia bidii kuchukua madaraka hizo evidence zenu zitakuwa kwa ajili ya kumbukumbu za wajukuu wenu na msijidanganye na sanctions mara nyingi wanaumia wananchi na serikali zinaishia kuwa oppresive zaidi angalia Burundi na Zimbabwe. Upinzani msipoingia barabarani story zenu za kuchukua madaraka zitaishia midomo tu na kujaza server za mitandaoni.
 
Sio kweli? Nani ana akili mbovu kuratibu mauaji kwa kutumia mtu siku hizi? Lazima utakamatwa tu,unadhani kuua mtu ni rahisi? Lazima uwe smart.hao walinzi njaa tu .hamna kitu linapokuja suala la mipango nyeti kama mauaji.hizo ni propaganda tu.hakuna kiongozi yoyote wa upinzani ambaye ni tishio kufikia kuuwawa na CcM.
Kwani kwa lissu mlifanyaje, si mliwatumia hao hao wahuni wenu sema ndo hivyo mpango ya ccm si mipango ya Mungu.
 
Sasa kama wanafuga majambazi unataka polisi wawaachie tu? Eti huo ndio uhuru anaohubiri Tundu Antipas Mughwai Lisu.
Sijaelewa majambazi wamewafugaje, sio haki kabisa hii ni nchi yetu sote nchi zote zilizoharibika amani mostly ni kwasababu ya polisi na vyombo vya dola kutumika kwa kuegemea upande mmoja
 
Mwambieni Magufuli ASIWAJARIBU KABISA PENTAGON.

Pentagon wamekwisha kumuonya JIWE na hasikii, LUMUMBA mwambieni Mzee wenu PENTAGONI ni makao makuu ya ulinzi ya Jeshi la Marekani.

Think Tank haina mchezo. Atabiduliwa
PENTAGON ndio kina Amsterdam. Chama cha Mbowe, vibaraka wa mabeberu hamna chenu oct 28.
 
Back
Top Bottom