Hizi ni fikra za ajabu sana. Where on earth does a police force negotiate terms of arrest with a suspected criminal?
Have you proved that he is suspected criminal?
Tunduma wanachama wa chadema pamoja na wagombea wa udiwani walivamiwa wakakamatwa hadi leo wako ndani na wamebambikiwa kesi.
Arusha polisi wamevamia ngome ya uratibu ya CHADEMA na kukamata wote waliokuwa hapo na kutoa taarifa kuwa ni wahamiaji haramu.
Tarime kwa John Heche wamevamia na kuwakamata wote waliokuwa hapo na computer walizokuwa wanatumia hadi leo hakuna maelezo ya kujitosheleza.
Mgombea mwingine Christina Ruge, amepeleka malalamiko tume ameenda kuulizia majibu ya malalamiko yake kavamiwa na polisi kapigwa hadi kulazwa hospital.
Mgombea wa Urais Chadema misafara yake kupigwa mabomu ya machozi kusimama kusalimia wananchi.
Kwa mifano hii michache polisi this time around wamevamia ofisi ya Mgombea wa Chadema Esther Bulaya, kwa utendaji wao kutokana na matukio hayo utakaa uwasubirie? At least alipokimbilia tukio limeonekana.
Masaa 24 yamepita umesikia taarifa yeyote ya polisi sababu ya kumkamata?
Kuwa upande unaonufaika na mfumo huu na kukejeli, kushambulia, kudhihaki wanaokuwa oppressed ni ukosefu wa akili wa kiwango cha juu. Hivi CCM hamuoni kweli? Mnajitoa ufahamu au ni wapumbavu?
In any injustices there is no neutrality, being neutral is siding with the oppressor.
Nyie hata unafiki hamna mnaonyesha jinsi mlivyo, ila kusaliti amani mnaisaliti Tanzania. Na uzalendo siyo kusupport walio madarakani bali maslahi ya nchi. Ila wakati ni mwalimu mzuri mark my words shabikieni udhalimu