reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Yaani umalaya wake kakutwa Kwa baba Jose SasaUalimu ni kazi ngumu sana mitoto ikitaka kuacha shule inasingizia walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani umalaya wake kakutwa Kwa baba Jose SasaUalimu ni kazi ngumu sana mitoto ikitaka kuacha shule inasingizia walimu
Mwl jimy awashtaki Sasa hao wazazi na Mtoto waoMie nilishasemaga dogo kaenda kwa bwana,
Dogo ni kiwembe,aibu tupu kwake na kwa wazazi wake[emoji706]
Hajaichana mikate ya chandy vya kutosha huyo,......hadi anakumbuka mtalimbo ,hajakutana na migote,ngaiza,huku bs,huku up,huku ally abdalah,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chand na BS zilimvurugaa, akaona akajipozee kwa baba josee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esther kajua kutetemesha nchi wallah.Hajaichana mikate ya chandy vya kutosha huyo,......hadi anakumbuka mtalimbo ,hajakutana na migote,ngaiza,huku bs,huku up,huku ally abdalah,
Ukumbuke mtalimbo wakati hats Muda wa kuoga unakoxa,may be kwasababu ni private,wanatafuniwa
Kalidhan PCB mchezo, asome aache ujinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuuu
Alikuwa practical ya reproduction huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chand na BS zilimvurugaa, akaona akajipozee kwa baba josee.
Mindset ya wazazi wengi huwa ni kujitapa hata mtaani wanamoishi kwa kuwaonesha majirani na ndugu wengine kuwa wana mtoto anasoma tena PCB (Science)Wazazi wanahusikaje hapo?
ni kujitahidi kuwalea katika mafundisho ya kiMunguBinti muhuni tu huyu hata muonekano wake tu unaonyesha,tulio na watoto wa kike Mungu atusaidie kwakweli.
Yan tayari wewe una jibu lako afu unasema tusubirie upeleleziMsisahau yule mwanafunzi aliye uwawa moshi na mlinzi,wakamtupa mtoni...akazikwa na manispaa..kilicho tokea badae.. shule ndo wahusika.... Tusubirie majb ya upepelezi kwanza.
unataka serikali imfanyajeNchi hii iko na mambo ya ajabu sana .. mwalimu katajwa kwa barua aliyoandika huyo mwanafunzi lakini bado serikali imekula buyu.
walimu sidhani kama mtakuja kuwa na maisha mazuri kiukweli kama hali itaendelea kuwa hivi.
ualimu umekuwa kama genge la wahuni daah inauma.
itoshe basi.
View attachment 2665851nziu
ameyawekaje maisha kuwa magumu?Huyo mwalimu anayeweka maisha magumu kwa wanafunzi hapo shuleni ndo kushikwa mpaka aseme mtoto yuko wapi.,
Kaeleza mtoto kwenye baruaameyawekaje maisha kuwa magumu?