DOKEZO Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea

DOKEZO Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chand na BS zilimvurugaa, akaona akajipozee kwa baba josee.
Hajaichana mikate ya chandy vya kutosha huyo,......hadi anakumbuka mtalimbo ,hajakutana na migote,ngaiza,huku bs,huku up,huku ally abdalah,
Ukumbuke mtalimbo wakati hats Muda wa kuoga unakoxa,may be kwasababu ni private,wanatafuniwa
 
Hajaichana mikate ya chandy vya kutosha huyo,......hadi anakumbuka mtalimbo ,hajakutana na migote,ngaiza,huku bs,huku up,huku ally abdalah,
Ukumbuke mtalimbo wakati hats Muda wa kuoga unakoxa,may be kwasababu ni private,wanatafuniwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esther kajua kutetemesha nchi wallah.
Khaaaah
 
Wazazi wanahusikaje hapo?
Mindset ya wazazi wengi huwa ni kujitapa hata mtaani wanamoishi kwa kuwaonesha majirani na ndugu wengine kuwa wana mtoto anasoma tena PCB (Science)

Unataka kusema wazazi hawajapata aibu kuona Ester wao kaacha shule kaenda kuolewa na muuza mikaa?
 
Msisahau yule mwanafunzi aliye uwawa moshi na mlinzi,wakamtupa mtoni...akazikwa na manispaa..kilicho tokea badae.. shule ndo wahusika.... Tusubirie majb ya upepelezi kwanza.
Yan tayari wewe una jibu lako afu unasema tusubirie upelelezi
 
Sijui angekuwa mtoto wa muuza mkaa kama angetafutwa hivi
 
Back
Top Bottom