Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Dah kumbe binti mwenyewe alikuwa kwa Baba Jose anapika na kupakuwa akiwachora tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kishauonja mtalimbo,na hii age yake.Sidhani kama ataconcetrate kwenye masomo.Sema anaharibu kesho yake.Kapatikana leo, kumbe kweli aliolewa kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko vizur mkuuPandahill naijua vizuri sana hio shule
Na mwalimu Jimmy namjua vizuri sana
Of course mwalimu Jimmy alibadilika na kuwa mwalimu mkali sana baada ya kupewa cheo cha discipline master wanafunzi wa zaman walimzoea kama mwalimu mpole na mstaarabu
Kikubwa nachojua kuhusu Pandahill Ni kwamba hawawezi ua mtoto wakamficha yule mwanafunzi angekua amepigwa mpaka kufa Lazima wanafunzi wangesema
So kuna mawili mwanafunzi karuka ukuta kaenda kule juu milimani kajiua kule kwenye maji ya moto ( huwa wanafunzi wanaenda kule kwenye tour)
Au mwanafunzi yupo kwa bwana yake na anahangaisha watu tu
So wahangaike hapo Jimmy hawezi ua mwanafunzi na pandahill hawawezi zika mwanafunzi. Waende milimani kule juu
Au huyo Caroline ataje bwana wa rafiki yake
Huyu mtoto anatusumbua tu, ona alienda kwa muuza mkaaSiamini kuwa shule imemficha, mtoto amepitia mawazo ya kujitafuta PCB kashindwa kuhimili mikiki saizi anawatesa wazazi tu.
Hizi shule ni uvumilivu, unapokwama kuna mahali pako ambapo unaweza wasilisha changamoto zako ukapata msaada wa kimawazo kabla ya kufanya maamuzi.
Niko hapa kusubiri report ya mwisho njue kosa liko wapi.
Tumhoji Jimmy kwanza
Halafu kanasumbua uma tu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esther alikua kwa baba Jose.
Kakutwa kwa mwanamke anayedai aliletwa na mtu anayeitwa baba Jose, kwa hiyo ALIOLEWA NA MWANAMKE!! Kukimbia shule maana yake shule kuna mateso ya kipumbavu, kila mwaka utasikia mwanafunzi afariki baada ya kipigo cha mwalimu. Elimu ya kitanzania mateso sana ndiyo maana wakiajiriwa wanalipiza kwa WIZI NA RUSHWA.Kapatikana leo, kumbe kweli aliolewa kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiiYaani siku zote kumbe Watu wanaangaika kutafuta ka Malaya kaliko fichwa ndani!!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu eti anasoma PCB khaaah.Mie nilishasemaga dogo kaenda kwa bwana,
Dogo ni kiwembe,aibu tupu kwake na kwa wazazi wake[emoji706]
Afu eti anasoma PCB woiiiiiii, huyu dogo anaharibu fyucha yake mapemaa mnooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kishauonja mtalimbo,na hii age yake.Sidhani kama ataconcetrate kwenye masomo.Sema anaharibu kesho yake.
Wee nae kwan hujaona huyo mwanamke alokutwa na Esther kasema aliambiwa ni mkewe wa baba josee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kakutwa kwa mwanamke anayedai aliletwa na mtu anayeitwa baba Jose, kwa hiyo ALIOLEWA NA MWANAMKE!! Kukimbia shule maana yake shule kuna mateso ya kipumbavu, kila mwaka utasikia mwanafunzi afariki baada ya kipigo cha mwalimu. Elimu ya kitanzania mateso sana ndiyo maana wakiajiriwa wanalipiza kwa WIZI NA RUSHWA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuuuHalafu kanasumbua uma tu,
Kamechezea boko huko kwa starehe zake kujipoza machungu ya shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu eti anasoma PCB khaaah.
Wazazi wanahusikaje hapo?Mie nilishasemaga dogo kaenda kwa bwana,
Dogo ni kiwembe,aibu tupu kwake na kwa wazazi wake[emoji706]
Binti muhuni tu huyu hata muonekano wake tu unaonyesha,tulio na watoto wa kike Mungu atusaidie kwakweli.kumekucha tena Esther nilisikia anashukuru ametafutiwa shule ni shule gani hio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chand na BS zilimvurugaa, akaona akajipozee kwa baba josee.PCB wa siku hizi?
Hivi Pcb unapata wapo mda wa kuwaza mapenzi,sisi enz zetu haya kuoga unasahau.....Ametuchafua saba huyu atuombe radhi PCB wote hamna PCB wa hv
UlipatiaIkute kaolewa.