DOKEZO Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea

DOKEZO Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pandahill naijua vizuri sana hio shule
Na mwalimu Jimmy namjua vizuri sana
Of course mwalimu Jimmy alibadilika na kuwa mwalimu mkali sana baada ya kupewa cheo cha discipline master wanafunzi wa zaman walimzoea kama mwalimu mpole na mstaarabu
Kikubwa nachojua kuhusu Pandahill Ni kwamba hawawezi ua mtoto wakamficha yule mwanafunzi angekua amepigwa mpaka kufa Lazima wanafunzi wangesema

So kuna mawili mwanafunzi karuka ukuta kaenda kule juu milimani kajiua kule kwenye maji ya moto ( huwa wanafunzi wanaenda kule kwenye tour)

Au mwanafunzi yupo kwa bwana yake na anahangaisha watu tu

So wahangaike hapo Jimmy hawezi ua mwanafunzi na pandahill hawawezi zika mwanafunzi. Waende milimani kule juu

Au huyo Caroline ataje bwana wa rafiki yake
Uko vizur mkuu
 
Wale woote waliowasema waalimu vibaya wa hiyo shule wawaombe msamaha hata kimya kimya.
Sio vizuri kuhitimisha jambo bila ya uhakika maana unaweza kumuonea mtu asiye na hatia.
Waalimu msife moyo, hizi ni changamoto za kazi tu.
M/mungu awasimamie katika kazi zenu, awaongoze mtende haki na kufuata maadili ya kazi yenu.
Amin.
 
Siamini kuwa shule imemficha, mtoto amepitia mawazo ya kujitafuta PCB kashindwa kuhimili mikiki saizi anawatesa wazazi tu.

Hizi shule ni uvumilivu, unapokwama kuna mahali pako ambapo unaweza wasilisha changamoto zako ukapata msaada wa kimawazo kabla ya kufanya maamuzi.

Niko hapa kusubiri report ya mwisho njue kosa liko wapi.
Tumhoji Jimmy kwanza
Huyu mtoto anatusumbua tu, ona alienda kwa muuza mkaa
 
Kapatikana leo, kumbe kweli aliolewa kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kakutwa kwa mwanamke anayedai aliletwa na mtu anayeitwa baba Jose, kwa hiyo ALIOLEWA NA MWANAMKE!! Kukimbia shule maana yake shule kuna mateso ya kipumbavu, kila mwaka utasikia mwanafunzi afariki baada ya kipigo cha mwalimu. Elimu ya kitanzania mateso sana ndiyo maana wakiajiriwa wanalipiza kwa WIZI NA RUSHWA.
 
Tunasema wanawake wasipigwe hapo hapo tunaruhusu wanafunzi wa A Level kidato cha 5 n 6 ambao ni watu wazima ambao wanachagua Rais na Wabunge, wapigwe fimbo akili zetu zina shida. Wanafunzi wa A Level wanafungiwa kuliko wafungwa wa gereza la keko. Lazma wanafunzi watoroke, kitakachofuata ni kujiua. Viboko viwe mwisho form 2 tu ndiyo watoto.
 

Attachments

  • FB_IMG_1687669662498.jpg
    FB_IMG_1687669662498.jpg
    35.8 KB · Views: 6
Kishauonja mtalimbo,na hii age yake.Sidhani kama ataconcetrate kwenye masomo.Sema anaharibu kesho yake.
Afu eti anasoma PCB woiiiiiii, huyu dogo anaharibu fyucha yake mapemaa mnooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kakutwa kwa mwanamke anayedai aliletwa na mtu anayeitwa baba Jose, kwa hiyo ALIOLEWA NA MWANAMKE!! Kukimbia shule maana yake shule kuna mateso ya kipumbavu, kila mwaka utasikia mwanafunzi afariki baada ya kipigo cha mwalimu. Elimu ya kitanzania mateso sana ndiyo maana wakiajiriwa wanalipiza kwa WIZI NA RUSHWA.
Wee nae kwan hujaona huyo mwanamke alokutwa na Esther kasema aliambiwa ni mkewe wa baba josee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom