Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeipata jf teyari ujumbe umekufikiaMi sijapata tangazo kwenye MAGRUPU yangu ya Wasap Wala sijaliona FB
Hayo magup yenu yanaishia UYOLE[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Aisee mimi ningemtafuta physically angekoma na kujibu yoteMkuu acha tu, inauma sana wahusika wafanye kazi yao binti apatikane. Na huyo mwalimu Jimmy nashindwa hata kumuelewa
Huyu bwana kuna namna anahusika cover-up ya shule inatia walakini.Aisee mimi ningemtafuta physically angekoma na kujibu yote
Wanakaa Mbeya mjini.Hii habari iongezewe nyama....marafiki zake wanasemaje? Mara ya mwisho alionekana wapi? Ni mwenyeji huko Mbeya au ndio ameenda nk
Ualimu ni kazi ngumu sana mitoto ikitaka kuacha shule inasingizia walimuKuna audio hapa ya mama yake analalamika anaomba msaada na anadai wameenda polisi,kwa mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa lakini hakuna msaada.Mwanafunzi inadaiwa kaacha ujumbe na anamtaja mwalimu Jimmy kwamba kafanya maisha yake kuwa magumu.Huyu mwalimu Jimmy alimfanya aje? Audio nashindwa kuiweka hapa.
Picha nyingine hiiWanakaa Mbeya mjini.
Inasemakana dogo alikamatwa anacheat kwenye mtiahani aliiingia na kitabu so teacher alimkamata akamcahania mtihani kisha akamwambia aanze upya na akamteport kwa teacher wa nidhani ndio shida ilianzia hapo ...Ualimu ni kazi ngumu sana mitoto ikitaka kuacha shule inasingizia walimu
Duh dogo kaacha msala kwa uyo Ticha.Inasemakana dogo alikamatwa anacheat kwenye mtiahani aliiingia na kitabu so teacher alimkamata akamcahania mtihani kisha akamwambia aanze upya na akamteport kwa teacher wa nidhani ndio shida ilianzia hapo ...
Sasa kosa la mwalimu ni lipi?Inasemakana dogo alikamatwa anacheat kwenye mtiahani aliiingia na kitabu so teacher alimkamata akamcahania mtihani kisha akamwambia aanze upya na akamteport kwa teacher wa nidhani ndio shida ilianzia hapo ...
Watoto wakisure hawapendi kusemwasemwa hata wakikosea,na ukiwasema wanasepa zao kusikojulikana!!Sasa kosa la mwalimu ni lipi?
Hasira hasara siku zote!!Mhhh kazi ipo..huyo binti arudi aache ujinga kuwaweka watu roho juu
Sheria mkononi inaathari zake piaAisee mimi ningemtafuta physically angekoma na kujibu yote