amoc thedon
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 345
- 531
Jimmy hana kosa wala hausiki na mtot kuondoka ,, sema ualim ni kaz ngum sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Jimmy Ni mchumi mzuri sana Ila kakosa kazi Ndo kaenda pandahill kufundishaNchi hii iko na mambo ya ajabu sana .. mwalimu katajwa kwa barua aliyoandika huyo mwanafunzi lakini bado serikali imekula buyu.
walimu sidhani kama mtakuja kuwa na maisha mazuri kiukweli kama hali itaendelea kuwa hivi.
ualimu umekuwa kama genge la wahuni daah inauma.
itoshe basi.
View attachment 2665851nziu
Kashenzi hakaAsee watoto hawa.View attachment 2666526
Baba jose akimbilie malawi tu maana mvua ya 30yrs ishakuwa yake.Asee watoto hawa.View attachment 2666526
HOJA IMEJIBIWAHuyu mama amejieleza vizuri sana tena precisely kwa hoja zenye mashiko, sasa na hao wenye shule nao wajitokeze wajibu maswali ya huyo mzazi, ila kiukweli walimu timizeni wajibu wenu kama walezi wa watoto wa wenzenu nanyi mtakuja kulipwa kipimo sawia na hicho mnachowapimia watoto wa wenzenu
Kapatikana leo, kumbe kweli aliolewa kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ikute kaolewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esther alikua kwa baba Jose.Huyu dogo,itakuwa yupo sehem ka chili tu,
Sasa msala kamuachia mwalimu jimmy,
Au jimmy kampa mimba??
Au?
Ukakasi tu,mara kiduku mara kucha ndefu, dogo arudi tu.
Yaani siku zote kumbe Watu wanaangaika kutafuta ka Malaya kaliko fichwa ndani!!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esther alikua kwa baba Jose.
Mie nilishasemaga dogo kaenda kwa bwana,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Esther alikua kwa baba Jose.
Huko nako kuna baba Jose kasipokuwa makiniPolisi wakikamaliz watakakabidhi kw wazazi wake.
Bado unawalaumu walimu tu?Huyu mama amejieleza vizuri sana tena precisely kwa hoja zenye mashiko, sasa na hao wenye shule nao wajitokeze wajibu maswali ya huyo mzazi, ila kiukweli walimu timizeni wajibu wenu kama walezi wa watoto wa wenzenu nanyi mtakuja kulipwa kipimo sawia na hicho mnachowapimia watoto wa wenzenu
- Mwanafunzi Ester Noah aliyepotea Mei 18, 2023 katika shule ya sekondari ya Panda Hill iliyopo Mbeya amekutwa Ifisi, MbeyaJamiiForums tumefanikiwa kuzungumza na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin KuzagaKamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema alikuwa likizo na ndio amerudi kazini, amesema kuhusiana na Ester kupotea walianza kufanyia kazi tangu tarehe 19, 06, 2023.