Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Huwezi kuwakwepa wachina kwa sasa nchi yoyote duniani maana ndio wenye pesaMbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi Watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.
My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Mmh. Unajuaje labda na yeye anaisupport hiyo project ya Bandari ya Bagamoyo iendelee...na wapiga debe wamewekwa strategically?Hizi propaganda zimechachamaa baada ya chuma kuondoka! Hizi nguvu lazima kuna watu wana deals zao hapo. Mama Samia tumia vizuri vyombo vya usalama utajua ukweli!
Ukisikiliza wanasiasa wengi wana ajenda zao! Ukiharibu jumba bovu ni lako peke yako kama sasa hivi inavyotokea kwa JPM!
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi Watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.
My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Mkuu mimi nadeclare kuunga mkono huu mradi licha ya kuwa opposition
1. Miaka 99 ni leasing period na ipo kisheria hata wakatoliki wa nje walipofika kujenga mission zao walipewa hizo duration. Kwa kuuliza tu hvi mradi wa trillion 20+ kufikia maximum utilization ni miaka chini ya 100?
2. Kuhusu kodi miaka 33 ni break even..... Hta makampuni ya madini hayalipi kodi miaka ya mwanzo mpaka wa break even kwanza ili kurudisha gharama za uendesgaji na uwekezaji. Mfano mradi wa trillion 20 mpaka urudishe gharama na faida juu ni chini ya miaka 30??
Nadhani tusijadili kwa mihemko bali reasoning tu.... kingine uwekezaji wa aina hii tusifocus kwenye kodi tu bali MULTIPLIER EFFECT!! embu fikirieni DSE itatanukaje, mabenki ya ndani kupata ukwasi, ajira kutokana na service industry kupanuka mfano kampuni za bima, logistics, shipping kujenga ofisi/Subsidiary hapa Tz. Hayo pekee yakilipa kodi ni matrillion kuliko hata sahvi ambapo hayapo.
Nadhani mjadala u focus hapo kuliko direct benefits
Sio Kawaida kusikia ushauri mzuri namna huu kutoka upande wa upinzani. Hapa namuunga mkono sana Matiku. Ni mwenda wazimu tu (kama alivyosema Magufuli na kusifiwa Africa nzima) anayeweza kuendelea na ule mkataba wa masharti ya kinyonyaji namna ile. Watu wanaounga mkono ujenzi wa ile bandari blindly (kama Ndugai) wanashangaza sana!Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Esther Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi Watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.
My take:
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa Wachina.
Bandari ya Dsm ina kina kifupi sana kuna meli kubwa haziwezi kufika zinaishia Darban kule South Africa na pia hata meli za kawaida hupanga foleni kwenye maji kusubiria kushusha mizigo kwa kifupi Bandari ya Dsm ilijengwa kwenye uchochoro ni gharama kubwa kuipanua zaidi.
Kufidia kivipi? Hvi una una fremu zinakuingizia laki 5 kwa mwezi mtu akaomba kiwanja chako ajenga supermarket. Which in turn boda boda za mtaani kwenu zitaongeza wateja, utapewa kodi ya 3m kwa mwezi. Bado watoto wako waajiriwe humo.Tunafidia vipi kuhusu bandari zingine kutofanya kazi kwa muda wote huo?
Kama alisema uongo wewe uweke hapa kwenye jamvi tuone kama vipengele hivyo havimo kwenye mkataba,au Mwambie Jk hajitokeze kupinga Maneno ya Magufuri na Kakonko kwamba vipengele hivyo havimo kwenye mkataba,ningekuona wa maana kama ingeliweka ha kipande tu cha mashariti yaliopo kwenye mkataba, lakini Wewe unakuja na blablaa.Sasa Hivi Watanzania hatuibiwi kizembekizembe tulisha jua janja yenu.Mungu ibariki TanzaniaMarehemu magufuli alitaka Rushwa toka kwa Wachina wakagoma kutoa Rushwa kwa sababu walisema wanaleta maendeleo makubwa Tanzania pindi Bandari ikikamilika na pia watatoa ajila kwa wazawa tenda kwa kampuni za watanzania , magufuli alipoona Wachina wamekuwa wagumu kutoa Rushwa na mkataba upo ikulu na hakuna wa kuthubutu kuomba asome vizuri ndipo akaamua kuwatishia Wachina ili waogope watoe Rushwa lakini Wachina wakawa wagumu kutoa Rushwa, alipoona hakuna kitu akaamua kutengeneza propaganda kuwa mikataba ina miaka 99 kodi wanachukua Wachina akiwa na Lengo la kusaka huruma toka kwa wananchi aonekane ni Mzalendo wakati hakuwa mzalendo alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine tu.
KWAN NI LAZIMA TUJENGE BANDARI YA BAGAMOYO?Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa Wachina.
Chadema haina Wabunge wa Viti Maalum mbona Hamsikii?Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Esther Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi Watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.
My take:
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa Wachina.