Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Kama huyo Esther Matiko amesema hivyo basi ni Mbunge mwenye upeo mdogo na hajitambui kabisa!
Bandari ya Bagamoyo ni investment proposal ya investors na siyo demand ya Nchi.
Kwa hiyo kusema Serikali itangaze tenda ni kama vile Sisi tunahitaji hiyo Bandari.Wabunge wajaribu kuwa makini.
Bandari ya Bagamoyo ni investment proposal ya investors na siyo demand ya Nchi.
Kwa hiyo kusema Serikali itangaze tenda ni kama vile Sisi tunahitaji hiyo Bandari.Wabunge wajaribu kuwa makini.