Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Labda ni baada ya wastaafu kuanza KUWASHWA WASHWAKwenye video hii hapa chini, Magufuli aliusifu sana mradi wa bandari ya Bagamoyo, akamsifu Kikwete kwa kuuanzisha na akasema nothing will change, cha ajabu akaja kubadilika baadae
View attachment 1751075