Esther Matiko: Tenda za ujenzi wa bandari ya Bagamoyo zitangazwe upya

Esther Matiko: Tenda za ujenzi wa bandari ya Bagamoyo zitangazwe upya

Kuna mchezo wa 10% hapo unaelekea kwa kikundi fulani kama kwa zile ndege za njano njano.....
 
Wachina walitaka kuwekeza kwa masharti ya kinyonyaji. Kwa mujibu wa Magufuli, hao mabepari walitaka lease kwa 99 years, hakuna kudevelop bandari nyingine, hakuna wa kuwadai kodi kwa miaka 33 etc

Kwa kuwa hakuna aliyedispute maelezo ya JPM mpaka leo na kwa kuwa hakuna maelezo mengine tofauti, kuupigia chapuo huu mradi bila kuweka details ni ukichaa aliousema Magufuli
Mkuu mimi nadeclare kuunga mkono huu mradi licha ya kuwa opposition

1. Miaka 99 ni leasing period na ipo kisheria hata wakatoliki wa nje walipofika kujenga mission zao walipewa hizo duration. Kwa kuuliza tu hvi mradi wa trillion 20+ kufikia maximum utilization ni miaka chini ya 100?

2. Kuhusu kodi miaka 33 ni break even..... Hta makampuni ya madini hayalipi kodi miaka ya mwanzo mpaka wa break even kwanza ili kurudisha gharama za uendesgaji na uwekezaji. Mfano mradi wa trillion 20 mpaka urudishe gharama na faida juu ni chini ya miaka 30??

Nadhani tusijadili kwa mihemko bali reasoning tu.... kingine uwekezaji wa aina hii tusifocus kwenye kodi tu bali MULTIPLIER EFFECT!! embu fikirieni DSE itatanukaje, mabenki ya ndani kupata ukwasi, ajira kutokana na service industry kupanuka mfano kampuni za bima, logistics, shipping kujenga ofisi/Subsidiary hapa Tz. Hayo pekee yakilipa kodi ni matrillion kuliko hata sahvi ambapo hayapo.

Nadhani mjadala u focus hapo kuliko direct benefits
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina

Hawa wachina wasio aminika, wanaowapenda wahamie China. Watuachie Tanzania yetu
 
Kwani bandari ya Dar Ina shida gani?
Bandari ya Dar haijafikia full capacity, bado Kuna TANGA na Mtwara. Bagamoyo mnataka ipokee mzigo gani??
Hizo ulizotaja hazina kina cha kuingiza meli kubwa za urefu wa mita mpaka 300..... Bagamoyo ndio itakua ya kwanza kwa ukanda huu
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Wao hawana huyo mtu.
 
Watu wataacha jadili hoja, wataanza jadili uhalali wa msemaji...
 
Wachina walitaka kuwekeza kwa masharti ya kinyonyaji. Kwa mujibu wa Magufuli, hao mabepari walitaka lease kwa 99 years, hakuna kudevelop bandari nyingine, hakuna wa kuwadai kodi kwa miaka 33 etc

Kwa kuwa hakuna aliyedispute maelezo ya JPM mpaka leo na kwa kuwa hakuna maelezo mengine tofauti, kuupigia chapuo huu mradi bila kuweka details ni ukichaa aliousema Magufuli

Tuluambiwa masharti yalikuwa ya kinyonyaji. Kwanini tusiyaone hayo masharti?
 
Kila vigogo watakao fanikisha tenda ya bandari ya bagamoyo kujengwa na wachina,

Wachina hao wapo tayari kuwalipa vigogo hao asilimia kadhaa kwa miaka 50
 
Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.

My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Hivi ni kuna MTU mwingine amegundua wabunge wa ndugai wanawakirisha mawazo yake..nimestaajabishwa Sana Leo Bungeni halima mdee alivyovumiliwa na ndugai..Kwa maneno aliyoyasema kuhusu wabunge wa CCM na miradi ya Ndege miezi 5 iliyopita angeondolewa na sergeant at arms mara moja...but Leo kaongea dakika 16 na kutumia sekunde 45 kumshukuru spika ndugai kwa kumpa fursa na kumvumilia.
 
Nadhani tusijadili kwa mihemko bali reasoning tu.... kingine uwekezaji wa aina hii tusifocus kwenye kodi tu bali MULTIPLIER EFFECT!!
Kuikataa ile proposal ya Wachina ni jambo moja ila kuufutilia mbali ule mradi completely ni jambo tofauti.

Labda ilikuwa sahihi kuikataa kwanza ile proposal ya wachina ili tupate proposal kutoka kwingine na kucompare advantages. Ni jambo jema kutake step back na kujipanga
 
Uhalali wa kutangaza upya Tender uende sambamba na uhalali wa Wabunge walioko Bungeni,otherwise uwezi kuharalisha vitu vikubwa wakati vitu vidogo haviko halali.
 
Back
Top Bottom