Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wahidni kibao nawaona pale wanasimamiaEstim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.
Mwendo kasi kibo hadi kimara unaposema upanuzi unamaanisha nini??1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.
2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.
Haya yamesemwa na mkuu wa tanroads Dar akihojiwa na mwananchi.
TANROADS wameamua kucheza na akili zetu na kuchezea fedha zetu na maisha yetu.
Una wasiwasi na Estim ama hutaki kwa vile ni ya kitanzania. Huoni miradi iliyofanya ama, Bagamoyo Msata kajenga nani? Massana Mbezi, Kinyrezi Kifurj, na zingine nyingi.1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.
2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.
Haya yamesemwa na mkuu wa tanroads Dar akihojiwa na mwananchi.
TANROADS wameamua kucheza na akili zetu na kuchezea fedha zetu na maisha yetu.
Hongera sana Rostam Aziz.1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.
2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.
Haya yamesemwa na mkuu wa tanroads Dar akihojiwa na mwananchi.
TANROADS wameamua kucheza na akili zetu na kuchezea fedha zetu na maisha yetu.
Sasa nimeelewa, nilikuwa sielewi mwendo kasi inatanuliwa vipi.mwendo kasi sidhani kama unapuniliwa ..hiyo inayopanuliwa kibo -ubungo ni morogoro road na inatokana na interchange ya ubungo...yani hyo njia inayopanuliwa ndo inaungana na samnujoma road ukiwa unatokea kimara ww hutapanda zile barabara za juu kama unaelekea mwenge utachepukia kwanzia kibo..... kuhusu six lane hao jamaa wanaweza wameshafanya miradi kadhaa na wameifanya kwa kiwango thats why wamepewa hyo tenda na ni kampuni ya wazawa...
unahoji?? subiri wakuweke lopango huruhusiwi kuhoji ni ya nani au nani anahisa huko 😱😱Hii kampuni ni ya Nani?
Mbona mnafukuza Wakurugenzi kwa kutotangaza tenda? Au kuna watu wako juu ya sheria?Cha muhimu barabara ijengwe hii michakato ya tenda sometimes ni ubabaishaji tu
Hongera sana Rostam Aziz.
Licha ya scandal zote bado anazidi kuula tu.
Hiyo tender ilitangazwa lini na wapi?
Estim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.