Tetesi: ESTIM kujenga barabara Kimara - Kibaha

Tetesi: ESTIM kujenga barabara Kimara - Kibaha

Ata bakhresa walimjengea nyumba yake anayoishi hadi hii leo masaki, ni muhindi mmoja anaitwa giri, anakaa mikocheni b.
 
Inakusaidia nini kuwa na njia sita kuanzia kimara-kibaha wakati huohuo kuingia mjini kuna barabara moja zinakuja 6 inatoka 1 msongamao hautapungua hapo ni matumizi mabaya ya fedha za mikopo
 
Estim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.
wahidni kibao nawaona pale wanasimamia
 
1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.

2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.

Haya yamesemwa na mkuu wa tanroads Dar akihojiwa na mwananchi.

TANROADS wameamua kucheza na akili zetu na kuchezea fedha zetu na maisha yetu.
Mwendo kasi kibo hadi kimara unaposema upanuzi unamaanisha nini??
 
1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.

2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.

Haya yamesemwa na mkuu wa tanroads Dar akihojiwa na mwananchi.

TANROADS wameamua kucheza na akili zetu na kuchezea fedha zetu na maisha yetu.
Una wasiwasi na Estim ama hutaki kwa vile ni ya kitanzania. Huoni miradi iliyofanya ama, Bagamoyo Msata kajenga nani? Massana Mbezi, Kinyrezi Kifurj, na zingine nyingi.
Lakini pia hela itabaki hapa Tanzania.
 
ESTIM wako vizuri sana kuna jengo pale Morocco wamejitahidi kwenye ujenzi. Pia suala la usalama kwa wafanyakazi wanajitahidi.
 
1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.

2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.

Haya yamesemwa na mkuu wa tanroads Dar akihojiwa na mwananchi.

TANROADS wameamua kucheza na akili zetu na kuchezea fedha zetu na maisha yetu.
Hongera sana Rostam Aziz.

Licha ya scandal zote bado anazidi kuula tu.
 
mwendo kasi sidhani kama unapuniliwa ..hiyo inayopanuliwa kibo -ubungo ni morogoro road na inatokana na interchange ya ubungo...yani hyo njia inayopanuliwa ndo inaungana na samnujoma road ukiwa unatokea kimara ww hutapanda zile barabara za juu kama unaelekea mwenge utachepukia kwanzia kibo..... kuhusu six lane hao jamaa wanaweza wameshafanya miradi kadhaa na wameifanya kwa kiwango thats why wamepewa hyo tenda na ni kampuni ya wazawa...
Sasa nimeelewa, nilikuwa sielewi mwendo kasi inatanuliwa vipi.
 
Estim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.

jengo la umoja wa vijana
makao makuu ya uhamiaji
 
Mie sijui nani anamiliki Estim Construction japo naona wahindi wengi, jambo moja nna uhakuka nalo, wako vizuri kwenye kazi zao, Konoike anawapa sana kazi kwenye miradi yake. Hata kwenye pesa na mambo mengine wapo safi.

Hapa kama kuna cha kujadili, tuongelee tija ya mradi au jinsi mchakato wa tender ulivyoendeshwa lakini sio kutilia shaka ufanisi wa Estim.
 
Estim wapo vizuri kupita makampuni yote ya Tanzania hata africa mashariki.

Ukiangalia madaraja ya bonde la bagamoyo japo sijapita baada ya barabara kuisha hasa majira ya mvua wamejitahidi.

Tatizo kubwa walilo nalo kidogo ni kwenye ubunifu kidogo .

Mfano barabara ya goba kwenye kona max speed ni ndogo sana, ukizidi kidogo unamwaga gari.

Makumbusho wamefanya kazi nzuri sana lakini kwenye junction kidogo wangeweka ubunifu kuruhusu magari kupishana kwa urahisi ila kazi yao ipo bora kupita hata wachina na wajapan.

Tuwaunge mkono kwa sababu pesaa inabaki bongo na waongeze watalaam hasa kwenye design. Ujenzi wapo njema sana.

Kuhusu mradi wa kimara kibaha cha msingi consultant awe mzoefu na mambo ya highway design.

Estim kama contructor ana uwezo wa kudeliver on time.

Mungu ibariki tz.
 
Back
Top Bottom