Estonia (mwanachama wa NATO) yahofia kushambuliwa na Urusi muda wowote; yasema Urusi inafanya missile simulations dhidi yake (Estonia)

Estonia (mwanachama wa NATO) yahofia kushambuliwa na Urusi muda wowote; yasema Urusi inafanya missile simulations dhidi yake (Estonia)

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Estonia imelalamika kuwa Urusi inapanga kuishambulia nchi hiyo (Estonia-nchi mwanachama wa NATO) kwa mvua za makombora. Malalamiko yamegusia kuwa Urusi iko inafanya missile simulations juu ya namna ya kuichapa makombora Estonia.

Estonia imekuwa na mdomomdomo mrefu ktk kipindi hiki cha operesheni maalumu ya Russia nchini Ukraine.

WaMarekani wa Kibaigwa iambieni Estonia iache kuogopa, Estonia ikishambuliwa si NATO itaikingia kifua?🤣🤣😅😅😅😂😀😀

SmartSelect_20220621-203025_Chrome.jpg
SmartSelect_20220621-203206_Chrome.jpg
SmartSelect_20220621-203331_Chrome.jpg
SmartSelect_20220621-203400_Chrome.jpg
 
Russia ajarihu aine. Pale Ukraine NATO walisita kuingia mara 1 maana wazungu wanaheshimu sheria. Ukrain hajawa mwanachama wao.
Sasa ikitokea basi watakuwa wanatengeneza wao NATO ili mrusi aingie ili achapwe sasa hadharani

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Russia ajarihu aine. Pale Ukraine NATO walisita kuingia mara 1 maana wazungu wanaheshimu sheria. Ukrain hajawa mwanachama wao.
Sasa ikitokea basi watakuwa wanatengeneza wao NATO ili mrusi aingie ili achapwe sasa hadharani

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Huo ni mtego wanamtega Urusi ili anase NATO waingie kumchapa.Putin mwaka huu lazima atoke madarakani kwa njia yoyote ile wakubwa wa Dunia waneshaamua.
 
Russia jeuri mno haogopi kuingia vitani na yeyote!
Kumbe Warusi wafanyeje?? Any level headed person cannot blame them Russias - NATO especially Biden na waziri wake wa ulinzi walishasema kwamba wanachotaka wao ni kuendelea kuipatia Ukraine silaha kali to kill million Russians - hapo unafikiri Urusi ikizidiwa ita react vipi - ni wazi watatumia an overwheming force kukata kichwa cha Taifa linalo wapatia silaha jeshi la Ukraine - uwezo huo Urusi inao saana, nashindwa kuelewa NATO wanawaza nini!!!

Hivi NATO na kiranja wao inawaingia akilini kwamba wanaweza kumshinda Putin halafu waka-survive to tell the tale the morning after? Personally I don't think so.
 
Huo ni mtego wanamtega Urusi ili anase NATO waingie kumchapa.Putin mwaka huu lazima atoke madarakani kwa njia yoyote ile wakubwa wa Dunia waneshaamua.
Mbuzi kama hizi ni zakusindikiza tuu..wakubwaa wa dunia ndo kina nani hao! Huu ugali tunaokula wabongo unatuharibu IQ zetu! Sasa kama hili libaba zima linasema wakubwaa wa dunia je mitoto yake
 
Back
Top Bottom