Estonia (mwanachama wa NATO) yahofia kushambuliwa na Urusi muda wowote; yasema Urusi inafanya missile simulations dhidi yake (Estonia)

Estonia (mwanachama wa NATO) yahofia kushambuliwa na Urusi muda wowote; yasema Urusi inafanya missile simulations dhidi yake (Estonia)

Dictator Putin kaingia Cha kike, lazima achuchumae.
 
Marekani wako most fare especially kwa raia wao. Ukiona wanapigana vita wao hupigana na kukupa msaada yaani wanakupiga na huku anakusaidia chakula madawa Nk. Wazungu wengi wao wanapenda maisha uendelee ndio maana wanatusaidia na wanathanini haki za binadamu.
Ebu tofautisha wageni wanaoenda kuhemia uarabuni kama Oman NK. Na wale wanaoenda huko nchi za magaribi kwa wazungu
Pia rejea historia ya watumwa baby zetu walioperekwa kwa wazungu, huruma zao imefanya uzao wao upo wenzetu Weusi wapo tunawaona, Lakini waarabu wa babu zetu waliasiwa na mabibi walipasuliwa tumbo.
Sasa ni akili gani ya kumchukia anaekusaidia? Wazungu ndio source ya msaada kwetu

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mtu kamili unafurahia misaada
Kuna waafrika mnatakiwa mkamatwe muburuzwe mitaani mkiwa mnachapwa bakora zakutosha ili muwe na akili zilizokamilika
Wazungu watetea haki za binaadam c hawa wanaotaka muoane Me kwa Me na Ke kwa Ke
Wazungu wote washenzi tu kwenye masuala mengi sana kuliko mazuri
RUSSIA washenzi kwaubaguzi ila walau wanajitambua hawataki watu wakulane makalio
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nyinyi watu wenye akili ndogo mnatembea na majibu bila ya kujua kuwa mnamajibu...hichi ulicho andika hapa ndiyo kinafanya nato kuiogopa urussi maana urusi ananguvu sana kwenye silaha kubwa za maangamizi kuliko nchi yoyote duniani, hivyo kushindwa kwa siraha ndogo ndiyo mwanzo wa hofu ya NATO na USA kwa sababu kunamlazimisha mrusi kutumia silaha kali ......ndiyo maana ukaona Russia inataka kuchezewa na ukrain mara baada ya mapigano kuanza ...kwa kuwa ukraine alipokea silaha za hali ya juu zisizo kubwa mfano drone za aina mbali mbali na juvelline nk ..sasa hapo utaonda bei ya drone ni ndogo kuliko kombora la mrusi la kulidungua...kwa kuwa makombora ya mrussi kutumika kudungua drone ni hasara maana yaliundwa kudungua silaha za bei ya juu ....ndiyo maana kwenye vita kuna silaha feki zinazo tumika kummalizia Adui silaha zake mfano unatumia drone moja ya kijeshi kwenye madrone 15 feki hivyo unamfanya adui kulipua drone feki na kupoteza siraha zake bure wakati drone ya ukweli inashabulia ....na hii ndiyo maana russia mara nyingi amekuwa anasubiri drone ifanye shambulio moja ndiyo waidungue ...pia mabomu ambayo urusi inayatumia yana weza kutambua mlipuko wake yenyewe na mlipuko wa drone yenye silaha maana zipo drone za upelelezi tu na zipo zenye uwezo wa kushambulia na kupeleleza na zipo drone feki za kumchanganya adui na kummalizia siraha zake
Shukrani sana kwa kuelimisha akina: "doubting THOMAS" wengine ni overly arguem
entative by default na hawataki kujifunza Kabisa!!!
 
Vyanzo mbali mbali vinarepory kuwa, zaid ya wanajesh wa Ukr-naz 2000 waliozingirwa uko Gorskoe and Zolotoe, wanatoa ishara za kujisalimisha.
 
Mkuu nashangaa kidogo kuhusu tamko lako. Je Urusi haitumii nguvu sana kushambulia Ukraine? Na katika miezi minne hawakushinda bado ingawa wana jeshi kubwa zaidi, vifaru na ndegevita kibao? Wakipigana na Ukraine yenye vifaa vingi vya zamani hasa ?
Unaamini kweli jeshi hili la Urusi tuliloona hadi sasa inaweza kufanya chochote dhidi ya maungano ya chii za NATO? (wakati wanahangaika kuteka Severodonetsk baada ya miezi hii yote??)

Unaeleza hao wa NATO wanawaza nini. Si rahisi kujua kweli, lakini wanachosema wanataka kusaidia Ukraine kuwaondoa Warusi katika maeneo waliyochukua.
Mkuu,ni hivi: Ukraine na Urusi ni kama ndugu ie wamechangia damu,ndio maana Putin hakutaka kutumia nguvu nyingi,yeye alikuwa anashambulia infrastructures za kijeshi na wanajeshi sio raia ,wanajeshi wa Russia Walio kuwa wanaingia mijini walikuwa wanapigana nyumba hadi nyumba ili kupunguza vifo vya raia wasio na hatia, tofauti kabisa na mbinu zinazo tumiwa na jeshi la USA ambazo utumia ndege za vita (Bombers na jet fighters) kudondosha mabomu mfurulizo (carpet bombing) zinaharibu infrastructures, killing civilians wengi wasio na hatia pamoja na wanajeshi - lengo la mbinu hizo za Kimerikani ni kuweka mazingira ambayo wanajeshi wao waliingia mjini kupigana wasipate upinzani mkubwa kutoka kwa maadui zao, Warusi hawakutumia mbinu hizo za Merikani ndio maana vita inaonekana inaendeshwa taratibu sana.

Kama jeshi la Urusi lingehamua kufanya kweli bila simile/kutumia nguvu zote za kijeshi nawa hakikishieni Ukraine ingesambaratishwa ndani ya mwezi mmoja na Zelensky ange hama nchi.

Leo hii tumemsikia Zelensky akilalamika sana kwamba hivi sasa jeshi la Urusi limeanza kutumia nguvu nyingi kushambulia jeshi la Ukraine - hii inatokana no Urusi kukasirishwa na Ukraine kushambulia kisima cha mafuta na gesi baharini karibu na Crimea - bottom line is:kumbukeni Urusi ina uwezo mkubwa kijeshi ikihamua kuzitumia kikamilifu NATO haiwezi kuona ndani itapigika kweli kweli - Urusi si Taifa la mchezo mchezo, kama NATO itafanya makosa ya kushambulia/vamia Urusi - ikae ukijuwa Urusi itawashangaza wengi kwa uhimili wake katika masuala ya VITA - NATO wasi jidanganye.
 
Russia ajarihu aine. Pale Ukraine NATO walisita kuingia mara 1 maana wazungu wanaheshimu sheria. Ukrain hajawa mwanachama wao.
Sasa ikitokea basi watakuwa wanatengeneza wao NATO ili mrusi aingie ili achapwe sasa hadharani

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kam hao wazungu wanaheshimu Sheria vita vya Ukraine visingetkea coz Kuna mkataba wa NATO na Russia kutojitanua kuelekea urusi lakin wao wamefanya ,pili vita ya Iraq, marekani na kundi lake waliivamia Iraq huku UN ikiwa kwenye sintofahamu,So unachokiongea hukijui

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Warusi wafanyeje?? Any level headed person cannot blame them Russias - NATO especially Biden na waziri wake wa ulinzi walishasema kwamba wanachotaka wao ni kuendelea kuipatia Ukraine silaha kali to kill million Russians - hapo unafikiri Urusi ikizidiwa ita react vipi - ni wazi watatumia an overwheming force kukata kichwa cha Taifa linalo wapatia silaha jeshi la Ukraine - uwezo huo Urusi inao saana, nashindwa kuelewa NATO wanawaza nini!!!

Hivi NATO na kiranja wao inawaingia akilini kwamba wanaweza kumshinda Putin halafu waka-survive to tell the tale the morning after? Personally I don't think so.
If russia goes down it goes down with them

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,binafsi usikitishwa sana na baadhi ya Waafrika wenzetu ambao uabudu sana wazungu specifically taifa la Merikani as far as some Tanzanians are concern the "World is America" hata uwape somo gani hawakuelewi kabisa,wengine wanakasirika na kutukana-uwambii kitu wakakuelewa!! Wengine wanakuwa overly petrified na Uncle SAM mpaka wanafikia hatua ya kufuta comments ambazo wanahisi zina critisize mfalme wao wa Dunia-cha kushangaza you can call China or Russia names under the SUN, lakini comments zako hazifutwi kabisa!!

Naunga mkono comments zako zenye mshiko,sasa tujiulize swali lenye mantiki: hivi taifa dogo la VietNam wangekuwa na akili za kijinga wakashindwa kuchukuwa silaha kwa kuogopa kile waswahili wanacho kiita "wakubwa wa DUNIA" si VietNam ingekaliwa na the US daima duni!! Afghanistan, je?kama Wataliban wangeogopa kupambana na "wakubwa wa Dunia" matokeo yake yange kuwa nini? Ninacho kiona mimi kama wakubwa wa Dumia wangekalia Tanzania, waswahili wengi wangekaa kimya kabisa kwa kuhofia kupambana na "mkubwa wa DUNIA!!"
Mkuu hakuna kitu kibaya na hatari kama utumwa wa fikira....ni ajabu sana kuona mwafrika anamhusudu mtu kama mmarekani. Hawa jamaa wametufanyia uovu mwingi kwenye hii rangi yetu hukuti jema hata moja
--wamekuwa wakiua sana viongozi wetu wanaoonesha kujali masilahi ya wananchi wao e.g p lumumba, tomas sankala, gaddafi n.k
-----wamekuwa wakiharibu sana uchumi wa nchi zinazoendela kwa kuzilazimisha kuchukua mikopo world bank na imf na kuzibebesha madeni yasiyolipika na mwisho kuchukua na kudhibiti kabisa rasilimali na watu wake...waweza kusoma kitabu kinaitwa "confession of economic hitman"
-----wamekuwa wakitufanyia majaribio ya hatari kisayansi yaani tumekuwa kama panya au sungura wa maabara eg tuskeege experiment ambapo familia nyingi za watu weusi waliambukizwa syphilis kwa makusudi ili serikali marekani na shetani wake CDC wawezeke kutambua na kuzisoma athari za ugonjwa huo, kuna kitabu kinaitwa medical apartheid kinaelezea namna wanawake wakiafrika walivofanyiwa majaribia ya hatari na maumivu makari kwenye viungo vyao vya uzazi
-----lynching(unyongaji wa kadamnasi), ubakaji(kwa wanawake na wanaume) na mengine mengi yasiyozunguzika yaliofanyika kipindi cha utumwa na baada ya utumwa mpaka leo hii.
Kiufupi orodha ya uovu wa hawa watu ni ndefu mno. Sasa sijui akili ya kuwapenda hawa watu mnaitoa wapi au ndio upumbavu na ujinga wa viwango vya juu..yaani ni mwenye matatizo tu ya akili au awe hataki kufatilia historia ndio anaweza kuwa na mahaba na hawa watu

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kibaya na hatari kama utumwa wa fikira....ni ajabu sana kuona mwafrika anamhusudu mtu kama mmarekani. Hawa jamaa wametufanyia uovu mwingi kwenye hii rangi yetu hukuti jema hata moja
--wamekuwa wakiua sana viongozi wetu wanaoonesha kujali masilahi ya wananchi wao e.g p lumumba, tomas sankala, gaddafi n.k
-----wamekuwa wakiharibu sana uchumi wa nchi zinazoendela kwa kuzilazimisha kuchukua mikopo world bank na imf na kuzibebesha madeni yasiyolipika na mwisho kuchukua na kudhibiti kabisa rasilimali na watu wake...waweza kusoma kitabu kinaitwa "confession of economic hitman"
-----wamekuwa wakitufanyia majaribio ya hatari kisayansi yaani tumekuwa kama panya au sungura wa maabara eg tuskeege experiment ambapo familia nyingi za watu weusi waliambukizwa syphilis kwa makusudi ili serikali marekani na shetani wake CDC wawezeke kutambua na kuzisoma athari za ugonjwa huo, kuna kitabu kinaitwa medical apartheid kinaelezea namna wanawake wakiafrika walivofanyiwa majaribia ya hatari na maumivu makari kwenye viungo vyao vya uzazi
-----lynching(unyongaji wa kadamnasi), ubakaji(kwa wanawake na wanaume) na mengine mengi yasiyozunguzika yaliofanyika kipindi cha utumwa na baada ya utumwa mpaka leo hii.
Kiufupi orodha ya uovu wa hawa watu ni ndefu mno. Sasa sijui akili ya kuwapenda hawa watu mnaitoa wapi au ndio upumbavu na ujinga wa viwango vya juu..yaani ni mwenye matatizo tu ya akili au awe hataki kufatilia historia ndio anaweza kuwa na mahaba na hawa watu

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Marekani wako most fare especially kwa raia wao. Ukiona wanapigana vita wao hupigana na kukupa msaada yaani wanakupiga na huku anakusaidia chakula madawa Nk. Wazungu wengi wao wanapenda maisha uendelee ndio maana wanatusaidia na wanathanini haki za binadamu.
Ebu tofautisha wageni wanaoenda kuhemia uarabuni kama Oman NK. Na wale wanaoenda huko nchi za magaribi kwa wazungu
Pia rejea historia ya watumwa baby zetu walioperekwa kwa wazungu, huruma zao imefanya uzao wao upo wenzetu Weusi wapo tunawaona, Lakini waarabu wa babu zetu waliasiwa na mabibi walipasuliwa tumbo.
Sasa ni akili gani ya kumchukia anaekusaidia? Wazungu ndio source ya msaada kwetu

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Aise kweli jf ina kila aina ya watu sikuwahi fikiri kuwa kuna vilema wa ufahamu kwa level hii....mtu bila haya bila uoga anasema marekani ipo fea...mh hili ni janga la taifa kweli

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Kaka unaongea marekani mwenye Rais mpya tofauti na akiwa na chama jipya kila baada ya mutual, Marekani alivamiwa na magaidi wakajitambulisha wako Iraq na Afghanistan na kwingineko.
Ndipo wakatangaza kwenda kuwasambaratisha magaidi, sasa wangefanyaje?
Marekani na washirika wake wanasisitiza na kusimamia hali usawa wa dunia.
Wao wanapambana na adui bila kuchaguaadui wao ni yupi waarabu weusi au wachina ama Mrusi but ukienda kwao hao wote kupewa uraia kwa anaewaunga.
Sasa ebu linganisha nchi zingine demokrasia Kwanza raia walio wachagua ndio adui namba moja wa kupambana nao

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Wakurya woote wake kwa waume, wahehe, wanyamwezi, wasukuma kidoogo wanya kyusa wangewakomboa vibaya sana!! yaani mpaka tone la mwisho la damu yao!!

sasa nyie cha kufanya ni muwapikie ugali tu wa ulezi! na nyama zozote mkausho na siraha km zoote, pinde, mikuki, bunduki baasi! muone muziki wake! tena peku peku!

hayo mengine sijui vijigari buti, combat, mahema, mnawachelewesha tu! si makmbuka kipigo cha lukaya!!!...yaani kule bana ilikuwa hivi waleee wanajeshi wa idd amini wapoona vijamaa vina kuja mbio

tena km haitoshi kwa morali wa hali ya juu mbaya zaidi viko peku peku!! na combat chakavu, wanajeshi wa idd amini hawakuamini macho yao!! ilibidi watimue mbiyooo!! wakaacha mimali mingi sana ya kijeshi!

JWTZ wakayatumia mwanya huo!! na hayo hayo magari ya uganda yalotelekezwa kuteka miji zaidi ya nchi ya uganda!1 hiyo hali ikazidi kuwashangza wa jeda wa Uganda!

WAkajiuliza inakuwaje hivi vimtu vya TZ! vinavyotembea peku vinajua tumia siraha zetu kwa umakini na haraka kuliko sie wenye mafunzo???!

hicho kitendo tu!! kika mfikia Rais wa Kenya bana wa wkt huo sasa alicho kifanya ni kuwapa ajira wakurya wooote walioko Kenya ajira Jeshini walio taka mpaka leo hii!! mkurya jeshini Kenya ni Lulu!!

Mkiwapunguza JWTZ Hapo Bongo kule Kenya na sasa Rwanda ni lulu!! wana chukuliwa faster!! bila inter view!! ili mradi ajulikane ni Mkurya tu! ndo maana Kagame aliweza Mengi nchini kwake ajili ya hii mijamaa!

N a Kagame anawajua wakurya/wanyamwezi Barabara walivyo na roho ngumu na nidhamu jeshini maana alikuwa nao kulee Uganda!!...ndo maana aliweza sumbua sana DRC pamoja na ukubwa wake wote!

Kabila kwa msaada wa kikwete alichukua wana jeshi wapya wa JWTZ ambao wengi siku hizi wamejaa wazaramo/wazanzibar tupu!! wao wanajali pesa kwanza lkn wakurya wao wanajali ushindi tu, na mbinu bora!
Innalilah wa innalilah rajun
 
Mkuu,ni hivi: Ukraine na Urusi ni kama ndugu ie wamechangia damu,ndio maana Putin hakutaka kutumia nguvu nyingi,yeye alikuwa anashambulia infrastructures za kijeshi na wanajeshi sio raia ,wanajeshi wa Russia Walio kuwa wanaingia mijini walikuwa wanapigana nyumba hadi nyumba ili kupunguza vifo vya raia wasio na hatia, tofauti kabisa na mbinu zinazo tumiwa na jeshi la USA ambazo utumia ndege za vita (Bombers na jet fighters) kudondosha mabomu mfurulizo (carpet bombing) zinaharibu infrastructures, killing civilians wengi wasio na hatia pamoja na wanajeshi - lengo la mbinu hizo za Kimerikani ni kuweka mazingira ambayo wanajeshi wao waliingia mjini kupigana wasipate upinzani mkubwa kutoka kwa maadui zao, Warusi hawakutumia mbinu hizo za Merikani ndio maana vita inaonekana inaendeshwa taratibu sana.

Kama jeshi la Urusi lingehamua kufanya kweli bila simile/kutumia nguvu zote za kijeshi nawa hakikishieni Ukraine ingesambaratishwa ndani ya mwezi mmoja na Zelensky ange hama nchi.

Leo hii tumemsikia Zelensky akilalamika sana kwamba hivi sasa jeshi la Urusi limeanza kutumia nguvu nyingi kushambulia jeshi la Ukraine - hii inatokana no Urusi kukasirishwa na Ukraine kushambulia kisima cha mafuta na gesi baharini karibu na Crimea - bottom line is:kumbukeni Urusi ina uwezo mkubwa kijeshi ikihamua kuzitumia kikamilifu NATO haiwezi kuona ndani itapigika kweli kweli - Urusi si Taifa la mchezo mchezo, kama NATO itafanya makosa ya kushambulia/vamia Urusi - ikae ukijuwa Urusi itawashangaza wengi kwa uhimili wake katika masuala ya VITA - NATO wasi jidanganye.
Mkuu siwezi kuona kwamba jeshi la Urusi linatumia nguvu ndogo iwezekanavyo katika mashambulio yake Ukraine. Nikiangalia picha za miji mbalimbali, naona ilisagwa kuwa vumbi, nyumba baada ya nyumba. Idadi ya vifo vya kiraia huku Mariupol ni makumielfu.
 
Kumbe Warusi wafanyeje?? Any level headed person cannot blame them Russias - NATO especially Biden na waziri wake wa ulinzi walishasema kwamba wanachotaka wao ni kuendelea kuipatia Ukraine silaha kali to kill million Russians - hapo unafikiri Urusi ikizidiwa ita react vipi - ni wazi watatumia an overwheming force kukata kichwa cha Taifa linalo wapatia silaha jeshi la Ukraine - uwezo huo Urusi inao saana, nashindwa kuelewa NATO wanawaza nini!!!

Hivi NATO na kiranja wao inawaingia akilini kwamba wanaweza kumshinda Putin halafu waka-survive to tell the tale the morning after? Personally I don't think so.
Wewe ni mwehu asee
 
Tatizo la hawa jamaa ni TAMAA KALI!! lkn ikitokea vita wanaikimbia hao!!! heee!!! wkt wa vita ya kagera wazaznzibar na wazaramo wengi karibu wote walipotelea misitu ya pugu!!

train ilipo fika pale wakajifanya waenda kojoa ndo nitoleee!!...wkt Kuree Musoma walijiandikisha wooote hadi watoto wa kike mpaka mikono ikauma!...wengine wakatorokea mikoa ya jirani kujiandikisha huko!

Mstari wa mbele walio jitoa ni wakurya/wahehe si wazanzibar, hata kukombolewa kwao kutoka kwenye makucha ya waarabu siyo wao hao wazanzibar bali Mjaluo wa Mara maarufu km Tito Okello aliongoza mapambano ya ushindi!!

lkn hawataki kulijua hilo! wanaficha ficha na hawajaandika historia hii popote!....... leo kuna amani sana na wajeda wakurya wanafaidi mafao ya jeshi. wazaznbar wakaanza Oooh!! nyerere kajaza ndg zake jeshini!!

hapo akaja mwinyi na Nkapa wakasema isiwe taabu njooni rekebisha hilo!!....lkn leo kagame akija Bongo atawatandika km mbuzi wa kafara! make wakurya makini wote wako kwake!!

kwa Bongo hii vyanajeshi vya siku hizi vioga sana!! vinakula mayai tuuu offcers Mess na kuvembewa... hata Somalia hapo umevisikia vilienda??.....Msumbiji ndg zetu wa damu havijaenda!! vinaogopa bali wanya rwanda tuuu!!

sasa juzi juzi hapa Huko DRC wameuawa na waasi km nzige!! Somalia wanaogopa kwenda, Nsumbiji hapo juzi juzi tu Kagame ndo katoa wanajeshi weeengi kumbuka huko Rwanda wamejaa wajeda wakuryatupu wameoa watusi!

ndo unaona Nsumbiji sasa kumetulia!! wakurya wanyarwanda hao wanavo jua mbinu!...angalia Kenya sasa shwaaaliii AL shaabab wako wapi wanaipata ajili ya wakurya!!..km weye mkurya Kenya unapata post jeshini faster!!

km ni ke unaolewa na wakenya faster!! nyie ni mali adimu sana kwa sasa!...Tarime SERENGETI wakurya ni adimu mnooo!!! chunguza uone!! sasa Siku hizi wanachukuliwa saaana na jeshi la USA!! kule wanapewa kila kitu muhimu!

wanaptia kenya haooooooooo!! ..wakimaliza mkataba wanakaa huko huko!! wanatuma hela kwa ndg zao!! USA haibagui mtu hasa ukitaka kuwa Mjeda wa uapnde wao! wanakuheshimu mnooo!! mke/mapesa unapewa bure!

kwa kulijua hili ndo maana wakurya jeshini wamepungua sana wamewaachi wazaznbari/wazaramo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wa kupuliza
Usijifanye huoni kumbe PK anajidaia wakurya kwenye jeshi lake
 
Back
Top Bottom