Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Tuachie kibaigwa yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USA, Canada, England, France, Italy & Germanywakubwa wa dunia ndio kina nani ? Wanakaa wapi ? Ukubwa wao ni kiasi gani ?
Mzee Baba aliwe mande na magasho???Hana huo ubavu wa kushambulia mwanachama wa NATO, ataliwa mande.
Unalazimika ufumbe macho ili ukwepe lawama[emoji41][emoji41][emoji41][emoji28][emoji28] Imagine unaona mimeli vita ya Russia inapita [emoji28][emoji28][emoji119]
kwani alivyompiga gadafi kule libya, libya alikua mwanachama wa nato??Russia ajarihu aine. Pale Ukraine NATO walisita kuingia mara 1 maana wazungu wanaheshimu sheria. Ukrain hajawa mwanachama wao.
Sasa ikitokea basi watakuwa wanatengeneza wao NATO ili mrusi aingie ili achapwe sasa hadharani
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
RUssia uchumi wake ni imara sana, zana zake hazitumiki hovyo halafu ni very unique!! kwanza hana gharama za kufuga Majambazi wanao sumbua ulimwengu km kina Boko Haram, al shaabab!! Ma-zion! Sudan nk!! yaani NATO vurugu tupu!Russia jeuri mno haogopi kuingia vitani na yeyote!
Wakurya woote wake kwa waume, wahehe, wanyamwezi, wasukuma kidoogo wanya kyusa wangewakomboa vibaya sana!! yaani mpaka tone la mwisho la damu yao!!kama wakubwa wa Dumia wangekalia Tanzania, waswahili wengi wangekaa kimya kabisa kwa kuhofia kupambana na "mkubwa wa DUNIA!!"
Mkuu nashangaa kidogo kuhusu tamko lako. Je Urusi haitumii nguvu sana kushambulia Ukraine? Na katika miezi minne hawakushinda bado ingawa wana jeshi kubwa zaidi, vifaru na ndegevita kibao? Wakipigana na Ukraine yenye vifaa vingi vya zamani hasa ?Kumbe Warusi wafanyeje?? Any level headed person cannot blame them Russias - NATO especially Biden na waziri wake wa ulinzi walishasema kwamba wanachotaka wao ni kuendelea kuipatia Ukraine silaha kali to kill million Russians - hapo unafikiri Urusi ikizidiwa ita react vipi - ni wazi watatumia an overwheming force kukata kichwa cha Taifa linalo wapatia silaha jeshi la Ukraine - uwezo huo Urusi inao saana, nashindwa kuelewa NATO wanawaza nini!!!
Hivi NATO na kiranja wao inawaingia akilini kwamba wanaweza kumshinda Putin halafu waka-survive to tell the tale the morning after? Personally I don't think so.
mbNATO= nato.....wa
Endelea kujidanganya,kama ni hivyo Urusi isingepiga kelele na kuanzisha vita kisa uanachama wa NATO kwa UkraineHakuna nchi itayonyNyua mdomo kujiingiza kwenye vita urusi kwa ajili ya nchi nyingine. Hiyo NATO ipo kwa ajili ya vinchi vidogo ila kwa Russia hata marekani yenyewe haitaingia
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani wewe wa buza unajua ni mtego ila putin hajuiHuo ni mtego wanamtega Urusi ili anase NATO waingie kumchapa.Putin mwaka huu lazima atoke madarakani kwa njia yoyote ile wakubwa wa Dunia waneshaamua.
fair operation hyo unahis mrusi angefanya kama marekani Iraq hujali raia si wangekua washakaa kyivMkuu nashangaa kidogo kuhusu tamko lako. Je Urusi haitumii nguvu sana kushambulia Ukraine? Na katika miezi minne hawakushinda bado ingawa wana jeshi kubwa zaidi, vifaru na ndegevita kibao? Wakipigana na Ukraine yenye vifaa vingi vya zamani hasa ?
Unaamini kweli jeshi hili la Urusi tuliloona hadi sasa inaweza kufanya chochote dhidi ya maungano ya chii za NATO? (wakati wanahangaika kuteka Severodonetsk baada ya miezi hii yote??)
Unaeleza hao wa NATO wanawaza nini. Si rahisi kujua kweli, lakini wanachosema wanataka kusaidia Ukraine kuwaondoa Warusi katika maeneo waliyochukua.
Dozi inategemea na hali ya mgonjwa ww unafikiri silaha inayotumika Ukraine itatumika dhidi USA au UK hao wana vitu vyao vipo vinawasubiriaMkuu nashangaa kidogo kuhusu tamko lako. Je Urusi haitumii nguvu sana kushambulia Ukraine? Na katika miezi minne hawakushinda bado ingawa wana jeshi kubwa zaidi, vifaru na ndegevita kibao? Wakipigana na Ukraine yenye vifaa vingi vya zamani hasa ?
Unaamini kweli jeshi hili la Urusi tuliloona hadi sasa inaweza kufanya chochote dhidi ya maungano ya chii za NATO? (wakati wanahangaika kuteka Severodonetsk baada ya miezi hii yote??)
Unaeleza hao wa NATO wanawaza nini. Si rahisi kujua kweli, lakini wanachosema wanataka kusaidia Ukraine kuwaondoa Warusi katika maeneo waliyochukua.
Sasa wazanzibar si tulisha kubaliana kuwa kazi yao ni kula rojo ...nani kawaingiza jeshini [emoji1787][emoji1787] na wazaramo kazi yao tuliyo kubaliana ni kuvua ngadu mto msimbazi [emoji1787][emoji1787]Wakurya woote wake kwa waume, wahehe, wanyamwezi, wasukuma kidoogo wanya kyusa wangewakomboa vibaya sana!! yaani mpaka tone la mwisho la damu yao!!
sasa nyie cha kufanya ni muwapikie ugali tu wa ulezi! na nyama zozote mkausho na siraha km zoote, pinde, mikuki, bunduki baasi! muone muziki wake! tena peku peku!
hayo mengine sijui vijigari buti, combat, mahema, mnawachelewesha tu! si makmbuka kipigo cha lukaya!!!...yaani kule bana ilikuwa hivi waleee wanajeshi wa idd amini wapoona vijamaa vina kuja mbio
tena km haitoshi kwa morali wa hali ya juu mbaya zaidi viko peku peku!! na combat chakavu, wanajeshi wa idd amini hawakuamini macho yao!! ilibidi watimue mbiyooo!! wakaacha mimali mingi sana ya kijeshi!
JWTZ wakayatumia mwanya huo!! na hayo hayo magari ya uganda yalotelekezwa kuteka miji zaidi ya nchi ya uganda!1 hiyo hali ikazidi kuwashangza wa jeda wa Uganda!
WAkajiuliza inakuwaje hivi vimtu vya TZ! vinavyotembea peku vinajua tumia siraha zetu kwa umakini na haraka kuliko sie wenye mafunzo???!
hicho kitendo tu!! kika mfikia Rais wa Kenya bana wa wkt huo sasa alicho kifanya ni kuwapa ajira wakurya wooote walioko Kenya ajira Jeshini walio taka mpaka leo hii!! mkurya jeshini Kenya ni Lulu!!
Mkiwapunguza JWTZ Hapo Bongo kule Kenya na sasa Rwanda ni lulu!! wana chukuliwa faster!! bila inter view!! ili mradi ajulikane ni Mkurya tu! ndo maana Kagame aliweza Mengi nchini kwake ajili ya hii mijamaa!
N a Kagame anawajua wakurya/wanyamwezi Barabara walivyo na roho ngumu na nidhamu jeshini maana alikuwa nao kulee Uganda!!...ndo maana aliweza sumbua sana DRC pamoja na ukubwa wake wote!
Kabila kwa msaada wa kikwete alichukua wana jeshi wapya wa JWTZ ambao wengi siku hizi wamejaa wazaramo/wazanzibar tupu!! wao wanajali pesa kwanza lkn wakurya wao wanajali ushindi tu, na mbinu bora!
Mkuu tukiacha silaha za nyuklia (ambazp pande zote zina akila ya kutosha kutotumia) sioni sababu kwa nini wasitumie silaha zozote zinazowawezesha kushinda haraka. Siwezi kuamini kwamba unaacha vifaa vya nguvu na badala yake kupoteza askari maelfu jinsi inavyotokea.Dozi inategemea na hali ya mgonjwa ww unafikiri silaha inayotumika Ukraine itatumika dhidi USA au UK hao wana vitu vyao vipo vinawasubiria
Mkuu siwezi kuona kwamba jeshi la Urusi linatumia upole kushinda. Pale wanapoweza kupeleka silaha kuu kama mizinga karibu na mstari wa mapambano wanasaga miji kuwa vumbi jinsi iivyotokea Mariupol au sasa Severodonetsk. Bila upole wowote.fair operation hyo unahis mrusi angefanya kama marekani Iraq hujali raia si wangekua washakaa kyiv
Tatizo la hawa jamaa ni TAMAA KALI!! lkn ikitokea vita wanaikimbia hao!!! heee!!! wkt wa vita ya kagera wazaznzibar na wazaramo wengi karibu wote walipotelea misitu ya pugu!!Sasa wazanzibar si tulisha kubaliana kuwa kazi yao ni kula rojo ...nani kawaingiza jeshini [emoji1787][emoji1787] na wazaramo kazi yao tuliyo kubaliana ni kuvua ngadu mto msimbazi [emoji1787][emoji1787]
Vipi kuhusu nyie waabudu wazungu wa Russia?!What a laughable comment!! Please revisit my post,soma kwa umakini nilicho kisema-goodday Amigo.
Haki ni Mungu wenu Putin kuvamia nchi za watu?Sisi atumuabudu mbwaa yoyote wala mavii ya ccm ...ila tunataka haki duniani haki ya kweli siyo ya kinafiki ....